Adhana FM

Recent posts

8 August 2023, 8:54 am

Makala: Kilimo cha migomba nchini Tanzania

Radio Adhana FM inakukaribisha kusikiliza makala ya Elimika kuhusu kilimo cha Migomba, sikiliza sauti hapo juu ili kupata faida kuhusu ukulima wa migomba.

7 August 2023, 10:25 am

SMZ yapandisha bei ya karafuu Zanzibar

Karafuu ni zao kuu la biashara Zanzibar na sasa bei ya zao hilo imeongezwa ili kukuza kipato cha wakulima visiwani humo. Na Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepandisha bei ya karafuu kutoka shilingi 14,000 hadi…

17 October 2021, 4:22 pm

Wadau wa utalii Zanzibar wametakiwa kubuni mbinu mpya za kuwavutia watalii

Na Kassim Abd OMPR Makamo wa pili wa rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amewataka wadau wa utalii kubuni mbinu mpya zitakazoleta ushindani kwa kuibua vivutio vipya sambamba na kuviimarisha vivutio vyengine ili viwe na mazingira yatakayowashawishi watalii kurudi tena…

6 October 2021, 8:15 am

Walimu watakiwa kuchangamkia fursa zilizopo

Na mwandishi wetu Mkurugenzi mtendaji wa Mamlaka ya mafunzo ya  amali Zanzibar mhandisi Bakari Ali Silima amewataka  walimu kuzifahamu fursa zilizopo katika uchumi wa bluu ili kuwaelekeza vijana kufikia lengo la ukuaji wa uchumi nchini. Akizungumza katika siku ya maadhimisho…

Radio Adhana

PROFILE OF RADIO ADHANA FM

In 2006 Adhana FM Radio (104.9 FM) became in operation in Zanzibar and the first community radio
station of its kind to operate in Zanzibar. It was established by East Africa Adhana Broadcasting Services
which has been registered in Dar es Salaam and given the certificate of compliance by Revolutionary
Government of Zanzibar and started its operation in Zanzibar. Firstly the offices and studio of Radio
Adhana was situated at Migombani opposite Mnara wa Mbao. Currently, our station is located at Rahaleo in Istiqama Building opposite to Jumuiya Mosque.

The Radio Adhana FM is Involves the provision of broadcasting by production equipments and
techniques by its practitioners in ethical, professional and gender-responsiveness as well as supporting
advocacy and knowledgeable dialogues programs. In Zanzibar the programme marks continued
transformation in the isles’ media landscape.

MISSION

The spring of knowledge ( Chem chem Ya Elimu )

VISSION

To be the first credible radio station in Zanzibar

LOCATION AND COVERAGE
Adhana FM Radio is located at Rahaleo in the building of Istiqama at Urban west region of Zanzibar. It
provides services through frequency of 104.9. The station was located in Zanzibar ostensibly to give the
voice to voiceless on how to bring ahead the development in Country. The radio was setting to serve
Zanzibar and Tanzania at large whereby it’s covering Unguja, Pemba Bagamoyo and Tanga.

PROGRESS AND SUCCESS
 The concept of community radio has been accepted and thrives
 The people utilizes the radio to advance their activities, function such as sending publicizing
information like death announcements, business announcement and special announcements.
 Residents have come to realize that the radio is in fact a community based , not aligned to any
of the strong political parties in Zanzibar and people feel it is “theirs” (ownership)