Adhana FM
Adhana FM
9 June 2024, 3:53 pm
Na Nishan Khamis. Mkuu wa mkoa wa Kaskazini Unguja, Rashid Hadid Rashid amewapongeza umoja wa klabu ya michezo ya Wazee wa Arusha na klabu ya michezo ya baraza la wawakilishi kwa kutembelea ya mkoa huo. Hadid ameyasema hayo leo huko…
8 June 2024, 5:19 pm
Na Abdul Sakaza, Mkoa Kaskazini Unguja Masheha katika mkoa wa kaskazini Unguja wametakiwa kufanya kazi kwa kufuata misingi, sheria na uadilifu ili kukuza utawala bora katika jamii. Hayo yamesemwa na mkuu wa mkoa Kaskazini Unguja Hadidi Rashid Hadidi wakati alipokua…
5 June 2024, 9:25 am
Na Abdul Sakaza, Mkoa Wa Kaskazini Unguja Mkuu wa mkoa Kaskazini Unguja Rashid Hadid Rashid, amewataka wafanyabiashara wa eneo la Fungurefu kudumisha usafi wa mazingira ili kujikinga na maradhi ya mripuko. Ameyasema hayo katika ziara maalumu ya kutembelea eneo hilo…
4 June 2024, 7:34 pm
Na Abdul Sakaza, Wilaya ya Kaskazini “A” Kijana anayefahamika kwa jina la Nada Faki Khamis (38) mkazi wa Kinyasini wilaya ya Kaskazini “A” mkoa Kaskazini Unguja umekutwa ukielea katika bwawa la Bandamaji baada ya kufariki dunia. Akithibitisha tukio hilo, kamanda…
2 June 2024, 9:34 pm
Na Nishan Khamis, Kaskazin Unguja Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amewahimiza watu wenye ulemavu kuchangamkia na kuzifikia fursa za kimaendeleo nchini kwani wana haki kuzifikia fursa hizo kwa misingi ya kujiinua kiuchumi na maendeleo…
2 June 2024, 4:09 pm
Na Juma Haji, Adhana FM Waziri wa Maendeleo ya Jamii, jinsia, wazee na watoto Zanzibar Riziki Pembe Juma, amesema waratibu wa shehia wana nafasi kubwa ya kushikamana katika kutatua changamoto za wanawake na watoto ili kuwaepusha na janga la ukatili…
2 June 2024, 3:05 pm
Na Juma Haji, Adhana FM. Mbunge wa jimbo la Chaani Juma Usonge amekabidhi vifaa vya ujenzi, vikiwemo matofali, mchanga, saruji, mawe, na nondo kwa ajili ya ujenzi wamadarasa matatu ya skuli ya misingi Chaani kikobweni . Amesema kuwa, miongoni mwa…
2 June 2024, 1:27 pm
Na Nishan Khamis, Kaskazin Unguja . Mkuu wa wilaya ya kaskazini “A” Unguja Othman Ali Maulid amesema kuwa kuwafungia ndani watu wenye ulemavu na mahitaji maalumuni kosa kisheri na kuwakosesha haki zao za kimsingi katika nyanza zote. DC Othman ameyasema…
1 June 2024, 12:19 pm
Na Nishan khamis, Kaskazin Unguja Mkuu wa mkoa wa Kaskazini Unguja Rashid Hadid Rashid amefanya ziara ya kustukiza katika hospital ya wilaya ya Kivunge kwa lengo na kusikiliza kero na changaomoto zinazowakabili wagonjwa na watendaji wa hospital hiyo. Katika ziara…
31 May 2024, 8:51 am
Na Nishan Khamis, Wilaya ya Mjini. Mkuu wa mkoa wa Mjini Magharib Idrisa kitwana Mustafa amewahimiza waandishi wa habari Zanzibar kuongeza elimu ili kuendana na mabadiliko ya siku hadi siku. Kitwana amesema hayo katika shughuli ya utoaji wa tunzo kwa…
PROFILE OF RADIO ADHANA FM
In 2006 Adhana FM Radio (104.9 FM) became in operation in Zanzibar and the first community radio
station of its kind to operate in Zanzibar. It was established by East Africa Adhana Broadcasting Services
which has been registered in Dar es Salaam and given the certificate of compliance by Revolutionary
Government of Zanzibar and started its operation in Zanzibar. Firstly the offices and studio of Radio
Adhana was situated at Migombani opposite Mnara wa Mbao. Currently, our station is located at Rahaleo in Istiqama Building opposite to Jumuiya Mosque.
The Radio Adhana FM is Involves the provision of broadcasting by production equipments and
techniques by its practitioners in ethical, professional and gender-responsiveness as well as supporting
advocacy and knowledgeable dialogues programs. In Zanzibar the programme marks continued
transformation in the isles’ media landscape.
MISSION
The spring of knowledge ( Chem chem Ya Elimu )
VISSION
To be the first credible radio station in Zanzibar
LOCATION AND COVERAGE
Adhana FM Radio is located at Rahaleo in the building of Istiqama at Urban west region of Zanzibar. It
provides services through frequency of 104.9. The station was located in Zanzibar ostensibly to give the
voice to voiceless on how to bring ahead the development in Country. The radio was setting to serve
Zanzibar and Tanzania at large whereby it’s covering Unguja, Pemba Bagamoyo and Tanga.
PROGRESS AND SUCCESS
The concept of community radio has been accepted and thrives
The people utilizes the radio to advance their activities, function such as sending publicizing
information like death announcements, business announcement and special announcements.
Residents have come to realize that the radio is in fact a community based , not aligned to any
of the strong political parties in Zanzibar and people feel it is “theirs” (ownership)