Recent posts
20 October 2025, 12:19 pm
Mahujaji watarajiwa watakiwa kuisoma ibada ya hijja.
Na Juma Haji wa Adhana FM Wasilamu wenye nia ya kwenda kuhijji Makka, Saudi Arabia mwaka 1448 hijiria wametakiwa kujiandaa kusoma elimu ya hijja kabla ya ili kupunguza changamoto zinazojitokeza wakati wa utekelezaji wa ibada hiyo. Akizungumza na waandishi wa…
29 June 2025, 8:39 pm
Vyombo vya habari ni mwarobaini dhidi ya unyanyapaa kwa watu wenye ulemavu
Na Khamis Ali Wahariri na wasimamizi wa tovuti ya taasisi ya habari za maendeleo TADIO kutoka kanda ya Zanzibar wameshauriwa kuwazingatia watu wenye ulemeavu ili kuondoa dhana potofu kwa jamii. Akitoa mada ya vyombo vya habari na watu wenye ulemavu,…
28 June 2025, 1:11 pm
Wanabahari pazeni sauti kuwalinda wanawake dhidi ya udhalilishaji kuelekea uch…
Na Nishan Khamis Waandishi wa habari nchini wametakiwa kutumia kalamu kutetea haki za wanawake wanaojitokeza kugombea nafasi za uongozi, kwa kuripoti na kukemea vitendo vya vurugu na udhalilishaji, kuelekea uchaguzi mkuu. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi…
13 June 2025, 12:01 pm
Wajasiriamali wa kilindi wapewa majiko ya gesi ili kuongeza usalama wa mazingira…
Pichani, wa kwaza kulia ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja Bibi Mariam Said Khamisi akikabidhi majiko kwa kina mama wajasiriamali wa Nungwi Wilaya ya kaskazini “A”. Picha na Juma Haji. “Ujio wa majiko ya gesi utalinda afya za akina mama…
30 May 2025, 7:20 pm
CCM waondoka kifua mbele Dodoma, tayari kwa ushindi
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Chama Cha Mapinduzi kimesema Wajumbe wake wa Mkutano Mkuu wa Taifa , wanaondoka katika Jiji la Dodoma huku wakiwa wamebeba matumaini ya kupata ushindi kuliko wakati wowote. Mamia ya Wajumbe hao toka Mikoa ya Tanzania Bara…
18 April 2025, 5:10 pm
Kampeni ya msaada wa kisheria ya mama Samia kuanza kwa Mikoa mitatu Zanzibar : A…
Na Juma Haji – Zanzibar Afisi ya Raisi, Katiba Sheria Utumishi na Utawala Bora Zanzibar inakusudia Kufanya Uzinduzi na Utekelezaji wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa kisheri ya Mama Samia katika Mikoa Mitatu ya Zanzibar iliyobakia kufikiwa na Kampeni…
3 April 2025, 5:28 pm
UTAHIZA yatangaza tarehe ya mwisho kutia visa za Ibada ya hijja ya 1446H
Na Juma Haji Adhana FM Umoja wa Taasisi za Hijja Zanzibar (UTAHIZA) umetangaza kuwa ifikapo18 April 2025 kuwa mwisho wa kupokea maombi ya VISA kwa waumini wanaotaka kwenda kutekeleza Ibada ya hija ya mwaka 1446 hijria. Akitoa taarifa kwa waandishi…
1 April 2025, 7:03 am
Waumini wa dini ya kiislamu watakiwa kuyaendeleza mema ya Ramadhan
Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Iddi. Sala Hiyo imefanyika Msikiti wa Jamiu Zenjibar Kiembe Samaki Wilaya ya Magharibi B.…
13 December 2024, 6:46 pm
Mbunge wa Bububu atembelea vikundi vya wakulima Mbuzini
Na Mwandishi Wetu. Mbunge wa Jimbo la Bububu, Mwantakaje Haji Juma, amefanya matembezi, kuangalia hatua za maendeleo na kutathimini changamoto kwa wakulima wa mboga mboga wa Mbuzini na Dole wilaya ya Magharibi A Unguja. Akiwa katika shamba la kikundi cha…
11 December 2024, 3:53 pm
JUMAZA yatoa zaka Kusini Unguja
Ni kawaida ya Jumaiya ya Maimamu Zanzibar (JUMAZA) kukusanya zaka kutoka kwa waumini wa dini ya Kiislam na kuwapatia wahitaji mbalimbali Zanzibar. Na Ali Khamis Bodi ya ZAKA na SADAKA ya Jumuiya ya Maimanu Zanzibar (JUMAZA) imetoa zaka ya mali…