On air
Play internet radio

Recent posts

9 January 2024, 6:54 pm

Wenyeji 960 wapewa ajira kwenye mradi wa ujenzi wa barabara Zanzibar.

Na Najat Omar Kampuni ya CCECC inayojenga barabara za mjini na vijijini visiwani Zanzibar, imewapatia ajira wazanzibar wapatao 960 kwenye mradi huo. Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa hoteli ya Serena Zanzibar, Mkurugenzi wa CCECC Afrika Mashariki Zhang…

9 December 2023, 11:34 am

Mkutano Mkuu wa Umoja wa Wajane Afrika kufanyika Zanzibar 2024

Na Najat Omar Mkutano Mkuu wa Umoja wa Wajane Afrika kufanyika Zanzibar 2024. Zanzibar : Kwa mara ya kwanza Zanzibar itapokea ugeni wa nchi 54 katika Mkutano mkuu wa Umoja wa wajane Afrika ambao unatarajiwa kufanyika Zanzibar mwezi June kuanzia…

7 September 2023, 1:50 pm

Tume ya Utangazaji Zanzibar yasitisha matangazo ya Adhana FM

Ni Baada ya Masafa yake Kuingiliana Masafa ya Anga Na Harith Subeit Zanzibar Kituo cha Radio Adhana Fm kilichopo mtaa wa Rahaleo Zanzibar kimesitisha matangazo yake kupitia masafa ya 104.09 FM kutokana na masafa hayo kuingiliana na masafa ya mawasiliano…

5 September 2023, 1:27 pm

Tamwa yasikitishwa na tukio la kuzuiwa Mjumbe wa Zec kutoa maoni yake

Ni Baada ya Uteuzi wa Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi Uliofanywa na Rais wa Zanzibar Na Harith Subeit, Zanzibar CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA Zanzibar), Baraza la Habari Tanzania (MCT), Jumuiya ya Waandishi wa Habari za Maendeleo…

4 September 2023, 10:53 am

Zanzibar Yakabiliwa na Upungufu wa Vifaa Vya Uchunguzi wa Hiv

VIJANA WASHINDWA KUCHUNGUZA AFYA ZAO Na Harith Subeit Zanzibar  Kumekuwa na uhaba wa  wa kifaa cha uchunguzi wa Virusi Vya UKIMWI ( HIV Kits) katika vituo vya afya vya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar jambo ambalo limepelekea huduma ya upimaji…

10 August 2023, 2:41 pm

SOS yatoa mafunzo ya kukabiliana na udhalilishaji Zanzibar

Kutokana nakuongezeka vitendo vya udhalilishaji SOS yaamua kutoa mafunzo hayo Na Ali Khamis Jamii imetakiwa kuyaendeleza mafunzo wanayotolewa na wadau mbalimbali hasa katika kudhibiti masuala ya udhalilishaji ili kuona viashiria na vitendo hivyo vinaondoka nchini. Mratibu wa Program ya malezi…

Radio Adhana

PROFILE OF RADIO ADHANA FM

In 2006 Adhana FM Radio (104.9 FM) became in operation in Zanzibar and the first community radio
station of its kind to operate in Zanzibar. It was established by East Africa Adhana Broadcasting Services
which has been registered in Dar es Salaam and given the certificate of compliance by Revolutionary
Government of Zanzibar and started its operation in Zanzibar. Firstly the offices and studio of Radio
Adhana was situated at Migombani opposite Mnara wa Mbao. Currently, our station is located at Rahaleo in Istiqama Building opposite to Jumuiya Mosque.

The Radio Adhana FM is Involves the provision of broadcasting by production equipments and
techniques by its practitioners in ethical, professional and gender-responsiveness as well as supporting
advocacy and knowledgeable dialogues programs. In Zanzibar the programme marks continued
transformation in the isles’ media landscape.

MISSION

The spring of knowledge ( Chem chem Ya Elimu )

VISSION

To be the first credible radio station in Zanzibar

LOCATION AND COVERAGE
Adhana FM Radio is located at Rahaleo in the building of Istiqama at Urban west region of Zanzibar. It
provides services through frequency of 104.9. The station was located in Zanzibar ostensibly to give the
voice to voiceless on how to bring ahead the development in Country. The radio was setting to serve
Zanzibar and Tanzania at large whereby it’s covering Unguja, Pemba Bagamoyo and Tanga.

PROGRESS AND SUCCESS
 The concept of community radio has been accepted and thrives
 The people utilizes the radio to advance their activities, function such as sending publicizing
information like death announcements, business announcement and special announcements.
 Residents have come to realize that the radio is in fact a community based , not aligned to any
of the strong political parties in Zanzibar and people feel it is “theirs” (ownership)