On air
Play internet radio

Recent posts

1 April 2025, 7:03 am

Waumini wa dini ya kiislamu watakiwa kuyaendeleza mema ya Ramadhan

Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Iddi. Sala Hiyo imefanyika Msikiti wa Jamiu Zenjibar Kiembe Samaki Wilaya ya Magharibi B.…

13 December 2024, 6:46 pm

Mbunge wa Bububu atembelea vikundi vya wakulima Mbuzini

Na Mwandishi Wetu. Mbunge wa Jimbo la Bububu, Mwantakaje Haji Juma, amefanya matembezi, kuangalia hatua za maendeleo na kutathimini changamoto kwa wakulima wa mboga mboga wa Mbuzini na Dole wilaya ya Magharibi A Unguja. Akiwa katika shamba la kikundi cha…

11 December 2024, 3:53 pm

JUMAZA yatoa zaka Kusini Unguja

Ni kawaida ya Jumaiya ya Maimamu Zanzibar (JUMAZA) kukusanya zaka kutoka kwa waumini wa dini ya Kiislam na kuwapatia wahitaji mbalimbali Zanzibar. Na Ali Khamis Bodi ya ZAKA na SADAKA ya Jumuiya ya Maimanu Zanzibar (JUMAZA) imetoa zaka ya mali…

11 December 2024, 3:22 pm

Call to Muslims intending to make the Hajj

By Our Correspondent, Zanzibar In a recent press briefing held at Jamiu Mosque Zinjibar, Sheikh Ali Adam, the Chairperson of The Union of Hajj Travelling Agencies of Zanzibar known as UTAHIZA-(Umoja wa Taasisi za Hijja Zanzibar) informed and explained some…

24 October 2024, 10:51 pm

Wanaokusudia kwenda hija kukamilisha taratibu kabla ya Feb. 14, 2025

Na Mwandishi wetu Umoja wa taasisi za kusafirisha mahujaji Zanzibar UTAHIZA, umetoa taarifa kwa waislamu wanaokusudia kwenda kutekeleza ibada ya hija ya mwaka 1446/2025 kuwa mwezi 25 shaaban 1446 hijiria ni mwisho wa kusajili mahujaji katika mfumo wa hija inayofuata.…

7 July 2024, 7:06 am

CCM Kaskazini Unguja yashauriwa kutatua changamoto za wakulima

Na Juma Haji Adhana FM. Mbunge Wa Jimbo La Chaani Juma Usonge ameishauri Halmashauri Kuu ya CCM mkoa wa waskazini Unguja kutatua changamoto za wakulima wa bonde la mpunga Kibokwa ili kufikia lengo la serikali kupitia sekta ya Kilimo hapa…

5 July 2024, 5:37 pm

CCM Kaskazini Unguja yaridhishwa utekelezaji miradi ya maendeleo

Na Juma Haji Adhana FM Halmashauri Kuu ya CCM  Mkoa wa Kaskazini Unguja imesema imeridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi inayoendelea kufanywa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika Mmkoa huo. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi…

15 June 2024, 10:35 pm

Mahujaji waliosafiri na Jumuiya ya Istiqama, wawasili Muzdalifa

Na Mwandishi Wetu Kiongozi wa Kamati ya Hijja ya Jumuiya ya Istiqama, Sultan Khamis Al Mazroui amewaongoza mahujaji waliosafiri na kundi lao kuondoka viwanja vya Arafa na kuwasili Muzdalifa baada ya kukamilisha nguzo kuu ya Hijja. Sheikh Sultan amesema kuwa,…

Radio Adhana

PROFILE OF RADIO ADHANA FM

In 2006 Adhana FM Radio (104.9 FM) became in operation in Zanzibar and the first community radio
station of its kind to operate in Zanzibar. It was established by East Africa Adhana Broadcasting Services
which has been registered in Dar es Salaam and given the certificate of compliance by Revolutionary
Government of Zanzibar and started its operation in Zanzibar. Firstly the offices and studio of Radio
Adhana was situated at Migombani opposite Mnara wa Mbao. Currently, our station is located at Rahaleo in Istiqama Building opposite to Jumuiya Mosque.

The Radio Adhana FM is Involves the provision of broadcasting by production equipments and
techniques by its practitioners in ethical, professional and gender-responsiveness as well as supporting
advocacy and knowledgeable dialogues programs. In Zanzibar the programme marks continued
transformation in the isles’ media landscape.

MISSION

The spring of knowledge ( Chem chem Ya Elimu )

VISSION

To be the first credible radio station in Zanzibar

LOCATION AND COVERAGE
Adhana FM Radio is located at Rahaleo in the building of Istiqama at Urban west region of Zanzibar. It
provides services through frequency of 104.9. The station was located in Zanzibar ostensibly to give the
voice to voiceless on how to bring ahead the development in Country. The radio was setting to serve
Zanzibar and Tanzania at large whereby it’s covering Unguja, Pemba Bagamoyo and Tanga.

PROGRESS AND SUCCESS
 The concept of community radio has been accepted and thrives
 The people utilizes the radio to advance their activities, function such as sending publicizing
information like death announcements, business announcement and special announcements.
 Residents have come to realize that the radio is in fact a community based , not aligned to any
of the strong political parties in Zanzibar and people feel it is “theirs” (ownership)