On air
Play internet radio

Recent posts

20 October 2025, 12:19 pm

Mahujaji watarajiwa watakiwa kuisoma ibada ya hijja.

Na Juma Haji wa Adhana FM Wasilamu wenye nia ya kwenda kuhijji Makka, Saudi Arabia mwaka 1448 hijiria wametakiwa kujiandaa kusoma elimu ya hijja kabla ya ili kupunguza changamoto zinazojitokeza wakati wa utekelezaji wa ibada hiyo. Akizungumza na waandishi wa…

30 May 2025, 7:20 pm

CCM waondoka kifua mbele Dodoma, tayari kwa ushindi

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Chama Cha Mapinduzi kimesema Wajumbe wake wa Mkutano Mkuu wa Taifa , wanaondoka katika Jiji la Dodoma huku wakiwa wamebeba matumaini ya kupata ushindi kuliko wakati wowote. Mamia ya Wajumbe hao toka Mikoa ya Tanzania Bara…

1 April 2025, 7:03 am

Waumini wa dini ya kiislamu watakiwa kuyaendeleza mema ya Ramadhan

Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Iddi. Sala Hiyo imefanyika Msikiti wa Jamiu Zenjibar Kiembe Samaki Wilaya ya Magharibi B.…

13 December 2024, 6:46 pm

Mbunge wa Bububu atembelea vikundi vya wakulima Mbuzini

Na Mwandishi Wetu. Mbunge wa Jimbo la Bububu, Mwantakaje Haji Juma, amefanya matembezi, kuangalia hatua za maendeleo na kutathimini changamoto kwa wakulima wa mboga mboga wa Mbuzini na Dole wilaya ya Magharibi A Unguja. Akiwa katika shamba la kikundi cha…

11 December 2024, 3:53 pm

JUMAZA yatoa zaka Kusini Unguja

Ni kawaida ya Jumaiya ya Maimamu Zanzibar (JUMAZA) kukusanya zaka kutoka kwa waumini wa dini ya Kiislam na kuwapatia wahitaji mbalimbali Zanzibar. Na Ali Khamis Bodi ya ZAKA na SADAKA ya Jumuiya ya Maimanu Zanzibar (JUMAZA) imetoa zaka ya mali…

Radio Adhana

PROFILE OF RADIO ADHANA FM

In 2006 Adhana FM Radio (104.9 FM) became in operation in Zanzibar and the first community radio
station of its kind to operate in Zanzibar. It was established by East Africa Adhana Broadcasting Services
which has been registered in Dar es Salaam and given the certificate of compliance by Revolutionary
Government of Zanzibar and started its operation in Zanzibar. Firstly the offices and studio of Radio
Adhana was situated at Migombani opposite Mnara wa Mbao. Currently, our station is located at Rahaleo in Istiqama Building opposite to Jumuiya Mosque.

The Radio Adhana FM is Involves the provision of broadcasting by production equipments and
techniques by its practitioners in ethical, professional and gender-responsiveness as well as supporting
advocacy and knowledgeable dialogues programs. In Zanzibar the programme marks continued
transformation in the isles’ media landscape.

MISSION

The spring of knowledge ( Chem chem Ya Elimu )

VISSION

To be the first credible radio station in Zanzibar

LOCATION AND COVERAGE
Adhana FM Radio is located at Rahaleo in the building of Istiqama at Urban west region of Zanzibar. It
provides services through frequency of 104.9. The station was located in Zanzibar ostensibly to give the
voice to voiceless on how to bring ahead the development in Country. The radio was setting to serve
Zanzibar and Tanzania at large whereby it’s covering Unguja, Pemba Bagamoyo and Tanga.

PROGRESS AND SUCCESS
 The concept of community radio has been accepted and thrives
 The people utilizes the radio to advance their activities, function such as sending publicizing
information like death announcements, business announcement and special announcements.
 Residents have come to realize that the radio is in fact a community based , not aligned to any
of the strong political parties in Zanzibar and people feel it is “theirs” (ownership)