Radio Tadio

watoto

19 January 2024, 1:29 pm

Waliomteka mtoto na kudai milioni 4 watiwa mbaroni Mbogwe

Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limejipanga kukabiliana na matukio ya ukatili kwa watoto ikiwemo ya kubakwa na kuuawa. Na Mrisho Shabani – Geita Jeshi la polisi Mkoa wa Geita limewakamata watu watatu wilayani Mbogwe kwa tuhuma za kumteka mtoto…

10 January 2024, 12:04 am

Ajira katika umri Mdogo zinavyo kwamisha ndoto za mabinti

Kama mwajiri atatoa madai kwamba hakufahamu kwamba mtu aliyemuajiri ni mtoto wakati wa kumpa ajira au kudai kupewa taarifa zisizo sahihi watakua na wajibu wa kuthibitisha kua ilikua sahihi kwa wao au mtu mwingine yeyote mwenye akili timamu kuamini kwamba…

13 November 2023, 4:31 pm

Ubakaji, ulawiti kwa watoto wakithiri Dodoma

Ripoti hiyo ni kwa mujibu wa Kituo cha One stop center kwa mwezi Septemba 2023 ambapo takwimu zimebainisha kuwa mkoa wa Dodoma matukio ya ukatili wa kijinsia kwa  watoto 130  kwa matukio ya ubakaji huku watoto 69 wakilawitiwa. Na Seleman…

12 October 2023, 11:05 am

Wilaya ya Geita kufanya msako wa wazazi waliotelekeza familia

Wakati serikali ikiendelea kupambania haki sawa kwa mtoto wa kike wananchi na wadau wametakiwa kuiunga mkono katika mapambano hayo. Na Mrisho Sadick: Watendaji wa Mitaa na Kata wilayani Geita wameagizwa kufanya msako nakuwachukulia hatua kali wazazi na walezi ambao wamewatelekezea…