Radio Tadio

mitaa

24 Aprili 2026, 2:02 um

DC Kaganda aamuru waliojenga eneo la mwekezaji kuhama

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Emmanuela Mtatikolo Kaganda amewataka Wananchi wa Vijiji vya Kiru, Masware na Marangi waliojenga makazi yao ndani ya eneo la muwekezaji kubomoa nyumba zao na kuacha eneo hilo likiwa wazi kwani eneo hilo sio lao…

5 Mei 2022, 07:40

Elimu ya mipaka itolewe kwa viongozi wa mitaa

Na;Yussuph Hassan. Elimu ya mipaka ya ardhi katika kipindi cha Sensa ya watu na makazi imetajwa kuwa muhimu katika kuhakikisha kila eneo linafahamu kwa kina mipaka yake. Akizungumza na kituo hiki Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Nzije Jijini hapa…