Maendeleo
21 September 2025, 8:13 am
Equity Bank yazindua tawi Geita , RC asisitiza utofauti wa huduma
Equity Benki imejipanga kuhakikisha wananchi wa Geita hususani wachimbaji wadogo na wakati wa madini ya dhahabu wananufaika na huduma rafiki . Na Mrisho Sadick: Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela, ameutaka uongozi wa Equity Bank kuhakikisha unaleta ubunifu mpya…
26 May 2025, 4:35 pm
BIG-Z yawezesha mafunzo ya kuboresha ukusanyaji mapato Zanzibar
Na Mary Julius. Washiriki mafunzo ya kujenga uwezo wa fedha za mamlaka za serikali za mitaa wametakiwa kuyatumia vema mafunzo hayo ili kujiongezea ujuzi ambao utasaidia kuboresha utendaji kazi na kuongeza ufanisi katika maeneo yao ya kazi.Mkurugenzi wa Idara ya…
31 January 2024, 19:14
Matinyi: Shirikianeni na vyombo vya habari kueleza kazi zinazofanywa na serikali
Na Hobokela Lwinga Mkuu wa mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera amesema jengo jipya liliojengwa na serikali katika hospitali ya wazazi Kanda ya Mbeya “Meta“ linahudumia zaidi ya wanawake wajawazito 200. Hayo yamebainishwa katika mkutano na waandishi wa habari uliondaliwa…
30 January 2024, 17:38
Kamati zote zijengewe uwezo usimamizi miradi
Na mwandishi wetu Mkuu wa wilaya ya Chunya Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiaji Mhe. Mbaraka Alhaji Batenga ameagiza kamati zote za ujenzi zinazosimamamia Miradi mbalimbali ya Ujenzi wilayani Chunya zijengewe uwezo wa kusimamia miradi husika ili watakapokiuka maelekezo waweze kuchukuliwa hatua…
16 January 2024, 10:19
Wananchi wajenga shule ya sekondari, serikali yatia mkono
Na mwandishi wetu Isaka sekondari, shule mpya katika kata ya Nkunga ambayo imesajiliwa kwa namba S. 6491 na tayari imeanza kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza. Kuanzishwa kwa shule hii kumesaidia kuondoa msongamano wa wanafunzi darasani katika shule ya sekondari…
12 January 2024, 18:02
Tengeni maeneo ya kujenga miundombinu ya maendeleo kwenye maeneo yenu
Na mwandishi wetu,Chunya Kamati ya fedha, Uchumi na Mipango ya Halmashauri ya wilaya ya Chunya ikiongozwa na Makamu mwenyekiyi wa Halmashauri imeagiza viongzoi wa vijiji na kata zote kutenga maeneo ya kujenga miundombinu ya maendeleo katika vijiji na kata zao…
11 January 2024, 18:09
Mwangasa:Vijana shikamaneni acheni makundi
Katika kuiimarisha jumuiya ya vijana Uvccm hapa wilayani Kyela mjumbe wa mkutano mkuu mkoa wa mbeya Sarah Mwangasa amewataka vijana wilayani hapa kuachana makundi ili kukijenga jumuiya imara. Na Nsangatii Mwakipesile Mjumbe wa UWT mkoa kutoka wilayani Kyela Sarah Mwangasa…
9 January 2024, 18:19
Serikali yawapa tabasamu wakazi wa kata ya Lupepo wilayani Rungwe
Na mwandishi wetu Adha ya kutembea umbali mrefu kwa wanafunzi wa sekondari sasa imemalizika kwa wakazi wa kata ya Lupepo kufuatia kukamilika kwa ujenzi wa vyumba vya madarasa , Maabara, Maktaba, vyoo na jengo la Utawala katika shule Mpya ya…
8 January 2024, 15:47
Kyela waunda Chamata
Wakati Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiendelea na jukumu la kuwaletea maendeleo wananchi wa Tanzania, wadau mbalimbali wa maendeleo hapa wilayani Kyela wameunda umoja wao unaotambulika kwa jina la Chamata Tanzania ukiwa na lengo la…
12 December 2023, 19:09
TANROAD Songwe yakabidhiwa gari mpya kuimarisha miundombinu ya barabara
Na mwandishi wetu, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis K. Michael katika kuimarisha sekta ya miundombinu ya barabara amekabidhi gari aina ya Toyota Landcruiser ambalo limetolewa na serikari kupitia Wizara ya Ujenzi katika ofisi ya Wakala wa…