Radio Tadio

Madini

14 January 2024, 12:42 pm

22 wafariki kwa kuporomokewa na kifusi mgodini Simiyu

Tumefanikiwa kuokoa miili ishirini na mbili ya wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika mgodi wa Ikinabushu kufuatia kuporomoka kwa duara wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji Na,Daniel Manyanga Watu ishirini na mbili  wamefariki dunia  kwa kufukiwa  (kuporomokewa) na kifusi…

9 January 2024, 18:08

Madini yasababisha uhaba wa wanawake Chunya mkoani Mbeya

Na Hobokela Lwinga Wakati Takwimu sehemu Nyingi za Tanzania na Nchi nyingi za Afrika zikionyesha Wanawake kuwa wengi kuliko Wanaume Hali ni tofauti kwa Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya ambapo imeripotiwa kuwa Wanawake ni Wachache kuliko Wanaume. Sababu za Wanawake…

2 October 2023, 10:44 am

Sekta ya madini kutengeneza mabilionea wanawake nchini

Sekta ya Madini imeendelea kukua kila siku huku kundi la wanawake likionesha nia kubwa ya kuwekeza katika sekta hiyo huku serikali ikiahidi kuwapa kipaumbele. Na Mrisho Sadick: Chama cha wachimbaji wadogo wanawake nchini TAWOMA kimeanzisha Tuzo za Malkia wa Madini…

24 September 2023, 2:08 pm

Serikali kukamilisha tafiti za madini nchini

Mpaka sasa utafiti wa kina wa jiofizikia kwa kutumia ndege umefanyika kwa asilimia 16. Na Zubeda Handrish- Geita Serikali kupitia Wizara ya Madini ipo katika mpango wa kukamilisha utafiti wa kina wa jiofizikia kwa kutumia ndege kupitia Taasisi ya Jiolojia…

13 September 2023, 16:39

Maabara ya madini Chunya

Hii hi maabara ya upimaji wa sampuli mbalimbali za madini ,minelabs iliyopo Halmashauri ya wilaya ya chunya mkoani Mbeya Mwanahabari : samweli mpogole Zaidi ya shilingi milioni 900 zimetumika kujenga miundombinu ya maabara ya upimaji wa sampuli za madini (Minelabs)…

2 August 2023, 9:13 am

Wachimbaji watakiwa kuacha kutunza fedha kwenye mabegi

Baadhi ya wachimbaji wadogo wamekuwa na utamaduni wa kuweka pesa ndani, jambo linalotishia usalama wa fedha zao na fursa hiyo kutumiwa na benki ya TCB huku ikija na mpango wa mikopo nafuu kwa wachimbaji. Serikali mkoani Geita imewataka wachimbaji wadogo…

11 July 2023, 10:32 am

Wachimbaji Dhahabu wakubali kukatwa 2% ya mauzo

Kutokuwepo kwa mfumo rasmi wa utunzaji wa kumbukumbu za manunuzi na mauzo kwa wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu hali ambayo ilikuwa ikichangia wengi wao kukwepa kodi, serikali imefanya mabadiliko ya sheria ili kila mchimbaji aweze kulipa kodi. Na Mrisho…

5 July 2023, 5:08 pm

Wachimbaji wadogo washauriwa kutumia mitambo mipya

Moja ya teknlojia ambayo inatajwa kuwa bora na rahisi mabayo wachimbbaji wadogo wa madini wanaweza kuitumia kuchenjulia dhahabu ni CIACIP. Na Fred Cheti. Wachimbaji wadogo wa madini aina ya dhahabu wameshauriwa kutumia mitambo mipya kwa ajili ya kuchenjulia dhahabu na…