Radio Tadio

madarasa

16 January 2024, 4:48 pm

RC Mwanza aipongeza Sengerema ujenzi wa madarasa.

Mkuu wa mkoa wa mwanza Mh, Amos Mkala  baada ya kutamatisha ziara yake katika Halmshauri ya Sengerema,  ameendelea na ziara yake katika Halmshauri ya Buchosa wilayani Sengerema kwa ajili ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo sekta ya…

22 February 2023, 5:38 pm

Uhaba wa vyumba vya madarasa watajwa kuwa kikwazo

Uhaba wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu imetajwa kuwa kikwazo kikuu cha maendeleo. Na Victor Chigwada. Uhaba wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu imetajwa kuwa kikwazo kikuu cha maendeleo ya elimu katika kata ya Chilonwa Wilaya…

16 September 2022, 4:43 am

Zaidi ya Wanafunzi 5,000 Kusomea Chini Kata ya Shanwe

MPANDA Zaidi ya wanafunzi  5000 katika  Kata ya Shanwe manispaa ya Mpanda mkoani katavi  hawana sehemu ya  kusomea hali ambayo inapelekea kusomea nje. Akizungumza na Mpanda Redio FM Diwani wa Kata ya Shanwe Masumbuko Makolo kolo amesema kuwa shule zilizopo…

30 May 2022, 4:34 pm

Ujenzi wa vyumba vya madarasa waendelea Bahi

Na;Mindi Joseph.    Ujenzi wa madarasa katika shule za sekondari na Msingi kata ya bahi unaendelea ili kuhakikisha wanatatua changamoto ya Madarasa kwa wanafunzi. Akizungumza na Taswira ya habari Diwani wa kata hiyo Bw,Agustino Ndonuu amesema wananchi wameunganisha nguvu kwenye jitihada…