Storm FM
Storm FM
10 December 2025, 14:13
Wakati madiwani wa Halmashauri mbalimbali za Mkoa wa Kigoma wakiwa wameshakula kiapo cha kuanza kuwatumikia wananchi kwa kipindi cha miaka mitano msisitizo upo kwenye ukusanyaji wa mapato ili yaweze kusaidia katika utekelezaji wa miradi mbalimbali Na Hagai Ruyagila Kaimu Katibu…
4 December 2025, 14:36
Katibu tawala Mkoa wa Kigoma amewataka madiwani katika Halmashauri ya Wilaya Kasulu kuhakikisha wanawatumikia wananchi katika utekelezaji wa majukumu yao Na Emmanuel Kamangu Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na kusimamia vyema…
9 September 2025, 8:41 pm
Leonard Victor afisa elimu manispaa ya Mpanda.Picha na Sumaiya Emmanuel “Nimejiandaa vizuri na nafurahi kuhitimu elimu yangu ya msingi” Na Sumaiya Emmanuel Jumla ya wanafunzi 5312 wanatarajiwa kufanya mitihani ya kumaliza elimu ya msingi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi. Akizungumza…
August 17, 2025, 4:32 pm
Ujenzi wa kituo hicho umegharimu kiasi cha shiringi milioni 84.8 Na Sebastian Mnakaya Wafugaji wa Nyuki katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuwatumia wataalamu mbambili wa ufugaji wa nyuki ili kupata asili yenye ubora na yenye kuongeza…
28 May 2025, 6:52 pm
Siku ya Hedhi Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 28 Mei, ni jukwaa la kimataifa linalotumika kuongeza uelewa kuhusu hedhi kama hali ya kawaida ya kibaiolojia. Na Adelinus Banenwa Lengo kuu la maadhimisho haya ni kuondoa unyanyapaa unaozunguka hedhi, kuhamasisha…
28 May 2025, 4:21 pm
Karibu usikilize makala maalum inayohusu nafasi ya mwanamke katika uongozi inavyosaidia kuondoa mila potofu katika jamii kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika october mwaka huu. Na Mzidalfa Zaid Makala hii imezungumza na viongozi wanawake, viongozi wa mila, wanawake pamoja na wanaume…
10 May 2025, 6:42 pm
Kufuatia kukithiri kwa ajali za barabarani nchini Chuo cha udereva cha Nyota Kilichopo jijini mwanza kimeanzisha darasa la udereva linalotembea, ambapo kimekita kambi wilaya ya Sengerema kufundisha udereva na sheria za usalama barabarani. Na.Elisha Magege Vijana wanao endesha vyombo vya…
21 January 2025, 10:53 am
Wafugaji katika mtaa wa Msufini, Msalala road wahimizwa kuzingatia sheria ili kuondoa changamoto ya kupoteza mifugo yao kwenye mazingira mbalimbali. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwanaume mmoja kwa jina Mfaume Felix mkazi wa Msufini mtaa wa Msalala road manispaa ya…
29 October 2024, 19:24
Mikutano ya injili ambayo imekuwa ikifanyika maeneo mbalimbali imekuwa na matokeo chanya hali hiyo imekuwa ikisaidia kuhamasisha watu kuishi kwa amani na upendo. Na Iman Anyigulile Waumini wa dini ya kikristo mkoani Mbeya wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuhudhuria mikutano ya…
23 May 2022, 1:42 pm
KATAVI Umaskini wa kipato umetajwa Kuwa chanzo moja wapo cha kinachopelekea mimba za utotoni kwa baadhi ya familia mkoani katavi. Wakizungumza na mpanda redio fm baadhi ya wazazi hao wameeleza namna umaskini wa familia unavyosababisha mabinti wengi kupata mimba kabla…