Sibuka FM
Sibuka FM
4 July 2025, 4:18 pm
“Hakuna maendeleo ya vitu bila watu lazima tuendelee kutoa elimu ya usalama kwa wachimbaji wadogo wa madini ili kupunguza au kumaliza matukio ya wachimbaji wadogo maana kila kukicha tunaona vifo,majeruhi na ulemavu wa kudumu hivyo mamlaka husika zinao wajubu mkubwa…
3 July 2025, 8:25 pm
“Hatuwezi kufikia malengo kwa sitaili hii lazima tuheshimiane kwa kuzingatia sheria,miongozo na miiko ya kazi hivyo lazima katika safari ya mafanikio kuna watu tunapaswa tuachane nao kabisa ili safari hii iweze kwenda mbele kwa kasi tunayotakiwa ili kufikia malengo ya…
3 July 2025, 7:27 pm
Kwa mujibu wa Chonya idadi hiyo inaonesha mwitikio mkubwa wa wanachama wa CCM kushiriki katika mchakato wa kisiasa, hali inayoakisi ukuaji wa demokrasia ndani ya chama. Na Adelinus Banenwa Jumla ya wagombea 42 wametia nia ya kuomba kuteuliwa kwenyenafasi ya …
2 July 2025, 13:26
Wafanyabiashara na wadau mbalimbali mkoani mbeya wameiyomba serikali mkoani mbeya kuharakisha ujenzi wa barabara ili waendeleze shughuli zao. Na Samwel Mpogole Wito huo umetolewa katika mkutano uliohusisha wafanyabiashara na wadau mbalimbali kutoka sekta za umma, ambapo Rose Muliahela kutoka Chama…
30 June 2025, 12:25 pm
Bulaya amesema ameamua kurejea nyumbani baada ya kutafakari kwa kina, akieleza kuwa alihamia CHADEMA kwa kile alichokiita “mkopo wa kisiasa.” Na Adelinus Banenwa Aliyewahi kuwa Mbunge wa Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Esther Bulaya, amerejea rasmi…
28 June 2025, 1:11 pm
Na Nishan Khamis Waandishi wa habari nchini wametakiwa kutumia kalamu kutetea haki za wanawake wanaojitokeza kugombea nafasi za uongozi, kwa kuripoti na kukemea vitendo vya vurugu na udhalilishaji, kuelekea uchaguzi mkuu. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi…
June 23, 2025, 5:45 pm
Halmashauri ya wilaya ya Missenyi mkoani Kagera imesaini mkataba wa ujenzi wa soko la Bunazi katika kata ya Kassambya utakaogharimu shilingi billion 17.5, unaotarajiwa kukuza uchumi wa mwananchi mmojammoja na wilaya kwa ujumla. Na. Elisa Kapaya Wananchi wilayani Missenyi mkoani…
19 June 2025, 10:57 am
Miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilion 5.7 imetekelezwa Bunda stoo kwa miaka mitano. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa vijana kutoogopa kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi October mwaka huu. Wito huo…
June 18, 2025, 3:03 pm
Mikakati hiyo ya serikali imetajwa kuwa itasaidia kukabiliana na wimbi la udumavu,utapiamlo na ukondefu hususani kwa watoto chini ya miaka 5 Na:Joel Kibona Serikali itaendelea kuimarisha ustawi wa jamii kupitia utekelezaji wa agenda ya lishe bora kwa watoto, ili kukabiliana…
18 June 2025, 2:50 pm
“Wanawake wengi hukumbana na ukatili wa maneno, vitisho na hata kushambuliwa mitandaoni wanapojaribu kuwania nafasi za uongozi. Tunahitaji mabadiliko ya kimfumo na kijamii ili kuwalinda wanawake hawa na kuhakikisha wanashiriki siasa kwa usalama,” alisema Sizarina. Na Abdul Sakaza Shirika la…
16 June 2025, 2:40 pm
“Tuwalinde ,tuwapende ,tuwatimizie mahitaji ya msingi watoto wetu hii ni njia pekee ya kukomesha ukatili kwa watoto hivyo kumaliza changamoto ya watoto mitaani ambao baadae hujeuga na kuwa wezi,vibaka na chokoraa tukifanya hivyo kila mzazi au mlezi kwa nafasi yake…
13 June 2025, 5:37 pm
Na Khadja Omari Taasisi ya utafiti wa Kilimo Tanzania Kituo cha ( TARI NALIENDELE) imetoa Mafunzo ya matumizi sahihi na salama ya viwatilifu vya zao la korosho kwa maafisa Ugani wa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi Mafunzo hayo yamefanyika Katika…
13 June 2025, 5:06 pm
“Hatuwezi kuwavumilia watu au taasisi ya mikopo inayowakandamiza wakopaji kwa kuwatoza riba kubwa ya marejesho na kwa muda mfupi sana ambapo ni kinyume cha sheria na taratibu za mikopo kulingana na vibali vya benki kuu ya Tanzania BOT hivyo lazima…
13 June 2025, 10:51 am
Chama cha wananchi CUF ni miongoni chama kikongwe cha kisiasa ambacho kwa upande wa Zanzibar kilikuwa ni chama kikuu cha Upinzani kuanzia mwaka 1995 mpaka mwaka 2000 ambapo kuliingia migogoro ndani ya chama hicho na kusababisha kupotea kwa wanachama wake…
12 June 2025, 5:42 pm
“Rushwa ni adui wa haki na maendeleo kahuna rushwa kubwa wala ndogo nendeni tukawahudumia wananchi walio na changamoto za kunyanyaswa na watu wanaotumia madaraka kwa kuwakandamiza watu ambao walitakiwa wapewe haki hakuna aliye mkubwa zaidi ya sheria na katiba ya…
10 June 2025, 10:24 am
“Hakuna sheria inayobagua watoto kutokana na mapungufu ya kimaumbile, binadamu wote kwa Mungu wetu sote tupo na haki hivyo ni wakati sasa kwa jamii kuachana na imani kuwachukulia watoto wenye mahitaji maalum kama vile ni mkosi, tuwapatie mahitaji yao kama…
June 5, 2025, 9:14 pm
Wananchi wa kitongoji cha Losinoni Kata ya Kisongo mkoani Arusha wanakwenda kunufaika na maji safi na salama baada ya kukosa maji kwa muda mrefu. Na Jenifa Lazaro Akizungumza na Savvy FM mwenyekiti wa Kijiji cha Engorora mhe Onesmo Lameck amesema…
4 June 2025, 8:25 pm
“Rushwa ni adui wa haki na maendeleo lazima kwa nguvu zote viongozi waipinge rushwa maana leo utaona kuna watu wachache wasiokuwa waadilifu wanatumia turufu ya uongozi wao kupora haki za watu kujilimbikizia mali ambazo ni wizi na kuwanyima watu ambao…
4 June 2025, 4:23 pm
Katika kuelekea maadhimisho ya kilele cha wiki ya Mazingira Duniani Wilaya ya Hai imepanda miti zaidi ya elfu moja katika maeneo mbalimbali ndani ya wilaya hiyo. Na Henry Keto Afisa Tawala Wilaya ya Hai Marry Mnyawi amewaasa wananchi wa wilaya…
3 June 2025, 19:14
Wananchi wa Mbeya walia na ukosefu wa vivuko salama wakati ujenzi wa barabara ya njia nne ukiendelea Na Samwel Mpogole Wakati ujenzi Barabara ya njia nne ukiendelea jijini Mbeya, Baadhi ya wananchi wameiomba serikali kuboresha miundombinu ya njia mbadala ikiwemo…