Uncategorized
4 April 2024, 5:31 pm
Jamii ya wafugaji, wadzabe wanufaika na mafunzo ya sheria ya ardhi
Jamii ya wafugaji na Wahadzabe wamenufaika na mafunzo ya Sheria ya Ardhi kwa lengo la kuzisaidia jamii hizo kujua hatua za utatuzi wa migogoro kwenye maeneo yao. Na,Alex Sayi Shirika la DANMISSION kwa ushirikiano na kanisa la KKKT Jimbo la…
21 March 2024, 7:05 pm
TARURA kutumia zaidi bil. 4.1 ukarabati wa miundombinu Maswa
Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA)Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wanatarajia kuzifanyia marekebisho Barabara zenye mtandao wa Km,227.21 zilizoathiriwa na Mvua za msimu. Na. Alex Sayi Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini (TARURA) imeendelea na matengenezo ya barabara…
11 March 2024, 5:43 pm
Ongezeko la mamba mto Simiyu latishia maisha ya wananchi
Na,Alex Sayi-Simiyu Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania TAWA Kanda ya Ziwa, wabainisha kuwa uwepo wa mtawanyiko wa Maji kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha kwa hivi sasa kumechangia ongezeko la Mamba mto Simiyu hivyo kuhatarisha maisha ya wananchi wanaoishi karibu na…
18 February 2024, 3:43 pm
Baraza la madiwani laridhia kuvunjwa mamlaka ya mji mdogo Maswa
Na Nicholaus Machunda Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kwa Kauli moja limeridhia kuvunjwa kwa Mamlaka ya Mji mdogo Maswa kwakushindwa kukidhi vigezo na Kuazimia kuanzisha Mchakato wa Kupata Halmashauri mbili.https://maswadc.go.tz/ Azimio hilo lilitolewa na Mkrugenzi Mtendaji …
1 February 2024, 8:09 pm
DC Kaminyoge: Elimu ya Kisheria iendelee kutolewa kwa Wananchi
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe, Aswege Kaminyoge amewataka wadau wa Sheria kuendelea kutoa Elimu kwa Wananchi kwani wanawategemea sana katika Utoaji wa Haki. Hayo ameyasema katika kilele cha Wiki ya Sheria katika Viwanja vya Mahakama ya Wilaya …
26 January 2024, 6:03 pm
Dalali, Nyerere jela miaka 30 kwa kubaka na kukutwa na dawa za kulevya
Dalali na Nyerere Wahukumiwa Jela miaka 30 kila mmoja kwa makosa ya kubaka binti wa miaka 7 mwanafunzi wa darasa la kwanza na kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi kilo 35 zikiwa zimehifadhiwa nyumbani. Na,Daniel Manyanga Watu wawili…
16 November 2023, 8:38 pm
DC Maswa atekeleza agizo la Makonda, akabidhi ng’ombe 20
Na Nicholaus Machunda Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Mh. Aswege Kaminyoge ametekeleza agizo lililotolewa na Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa katika ziara yake wilayani Busega la kumkabidhi Felister Jayunga mama aliyeibiwa ng’ombe wake. Mwenyekiti …
16 November 2023, 8:22 pm
DC Maswa aonya wanaohujumu miundombinu ya maji
Na Nicholaus Machunda Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Mh, Aswege Kaminyoge ameonya wananchi wanaohujumu miundombinu ya maji yanayotoka Ziwa Viktoria kuja kata ya Sengwa iliyopo wilayani hapa kupitia wilaya ya Kishapu. Mh Kaminyoge amesema hayo wakati Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ilipotembelea mradi huo ambao umekuwa ukihujumiwa mara kwa mara …
18 August 2023, 10:05 am
Takukuru Simiyu yaokoa milioni 500 za mfanyabiashara
TAKUKURU mkoa wa Simiyu imeokoa mamilioni ya fedha za mfanyabiashara ambaye mali zake zingepigwa mnada kwa bei ya kutupwa. Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU mkoa wa Simiyu imefanikiwa kudhibiti upotevu wa zaidi ya Shilingi …
8 August 2023, 7:24 pm
Itilima:Jela miaka 30 kwa Kubaka,Kumtorosha na Kumshawishi kumuoa mwanafunzi
Mahakama ya wilaya ya Itilima imemuhukumu ,Malimi Masunga kwenda jela miaka 30 kwa makosa matatu,Kubaka ,Kumtorosha na kumshawishi kumuoa mwanafunzi chini ya miaka 16. Na,Daniel Manyanga Mahakama ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela, Malimi…
10 July 2023, 3:22 pm
Sibuka Fm: Kongole TADIO, Vikes kwa elimu ya kutangaza kidijitali
Waandishi wa habari wa kituo cha Radio Sibuka Fm wamepatiwa mafunzo ya kuandaa na kutangaza habari za mtandao ili kuendana na kasi ya ushindani wa teknolojia, mafunzo yaliyofanyika katika ofisi za Sibuka Fm zilizopo mjini Maswa mkoani Simiyu. Na Nicholaus…
4 July 2023, 11:37 am
Mawakala wa usafirishaji waitaka halmashauri kuboresha stendi Maswa
Na Nicholaus Machunda Mwenyekiti wa Umoja wa Mawakala wa Usafirishaji mjini hapa ameutaka uongozi wa halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu kuhakikisha wanaboresha miundombinu maeneo ya stendi mpya. Suala la usafi ni wajibu wa kila mtu Baadhi ya wafanyabiashara wanaofanya biashara…
2 June 2023, 7:16 pm
Miradi mitatu iliyochunguzwa na Takukuru Simiyu yakutwa na dosari
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mkoa wa Simiyu imebaini kuwa miradi 3 kati ya 14 yenye thamani ya zaidi ya bilioni 1 iliyofuatitiliwa imebainika kuwa na dosari katika utekelezaji wake . Akitoa taarifa katika kipindi cha robo ya …
22 May 2023, 12:30 pm
Halmashauri Kuu CCM wilaya Maswa yaridhishwa utekelezaji ilani ya cham…
Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Maswa imeridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025. Akitoa taarifa kwa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, mkuu wa wilaya ya Maswa Mhe, Aswege Kaminyoge amesema kuwa katika kutekeleza ilani ya …
1 February 2023, 2:38 pm
Bilioni 4.2 Kutengeneza na Kukarabati Barabara wilayani Maswa
Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini ( TARURA) Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imepanga kutumia Zaidi ya Tsh, Bilioni 4.22 kwa mwaka wa Fedha 2023/ 2024 katika Kukarabati na Kutengeneza Mtandao wa Barabara.. Akiwasilisha Taarifa ya Makadirio hayo ya Fedha…
30 January 2023, 4:29 pm
Takukuru yatambulisha Programu ya ”TAKUKURU-Rafiki’
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Wilayani Maswa Imezidua na Kutambalisha kwa Madiwani Programu ya TAKUKURU- RAFIKI ikiwa na lengo la Kuongeza Ushiriki wa Kila Mwananchi na Wadau mbalimbali katika kukabiliana na tatizo la Rushwa katika Utoaji wa Huduma…
25 July 2022, 6:51 pm
MASHIMBA NDAKI AWAONYA WATENDAJI WANAOTAFUNA FEDHA ZA MICHANGO YA MAE…
Waziri wa Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi Mh Mashimba Mashauri Ndaki amewaonya watendaji wa vijiji na Kata wanaotafuna Fedha za Michango ya Maendeleo ya Wananchi wanazowachangisha kisha kutowasomea Mapato na Matumizi na kuwapa Mrejesho. Waziri …
25 March 2021, 3:58 pm
Maelfu ya wananchi Mkoa Simiyu wamlilia JPM
Maelfu ya wananchi mkoani Simiyu wamejitokeza kwa wingi katika misa takatifu ya kumuombea aliyekuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania hayati Dkt.John Pombe Magufuli ikiwa na lengo la kumuombea kwa MUNGU apumzike kwa amani milele. Akiongoza maelfu ya wananchi…
24 March 2021, 12:24 pm
Wananchi wilayani maswa wamlilia Dr Magufuli
Wananchi wilayani Maswa mkoani Simiyu wameeleza kuhuzunishwa na kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati mh Dokta John Joseph Pombe Magufuli.. Wakiongea na Sibuka fm kwa nyakati tofauti wamesema kuwa Hayati Magufuli amefanya mambo mengi kwa…