SIBUKA FM
1 March 2024, 5:03 pm
Wanawake jamii ya kihadzabe Meatu waomba msaada wa Rais Samia
Jamii ya kihadzabe inayoishi pembezoni mwa pori la hifadhi Makao Wilayani Meatu Mkoani Simiyu yahofia kutoweka kutokana na mabadiliko ya tabia ya Nchi. Na,Alex Sayi Wanawake wa jamii ya kihadzabe wamuomba Rais Dkt,Samia kulinusuru kabila hilo ili lisiweze kutoweka kutokana…
28 February 2024, 11:15 am
DC Kaminyoge atoa ufafanuzi changamoto ya sukari wilayani Maswa
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mh, Aswege Kaminyoge ametoa ufafanuzi kuhusu Changamoto ya Kupanda kwa bei ya Sukari na kutoa maelekezo ya Serikali kuhusu upatikanaji wa Bidhaa hiyo. Kaminyoge amesema hayo wakati akizungumza na Wafanyabiashara wa Maswa na …
25 February 2024, 6:29 pm
Takukuru Simiyu yaokoa zaidi ya shilingi milioni 70
Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mkoa wa Simiyu imefanikiwa kuokoa fedha  zaidi ya shilingi milioni sabini zilizotaka kufanyiwa ubadhirifu katika Chuo cha Maafisa Tabibu wilayani  Maswa. Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari, Naibu Mkuu wa Takukuru mkoani …
25 February 2024, 6:14 pm
CHADEMA Simiyu yajipanga kuingia kwa kishindo uchaguzi serikali za mita…
Chama cha Demokrasia na Maendeleo  Chadema Mkoa wa Simiyu kimesema kuwa kimejipanga kuingia kwa kishindo katika uchaguzi wa serikali za mitaa utaofanyika mwishoni mwa mwaka huu wa 2024. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Simiyu  Musa …
8 February 2024, 8:50 pm
Zaidi ya watoto laki moja kupata chanjo ya surua, rubela Maswa
Watoto wenye  umri wa kuanzia miezi tisa hadi chini ya miezi hamsini na tisa kupatiwa chanjo ya ugonjwa wa Surua na Rubela katika kampeni ya kitaifa ya siku nne. Na,Daniel Manyanga Zaidi ya Watoto Laki Moja walio na umri chini…
7 February 2024, 1:56 pm
DC Maswa atahadharisha wanaotorosha mazao ya nafaka
Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu Mhe  Aswege Kaminyoge amewatahadharisha Wafanyabiashara wa Mazao ya Nafaka utoroshaji na kukwepa kulipa Ushuru wa Mazao hayo. Mhe Kaminyoge amesema hayo katika kikao cha Wadau wa Kilimo na Mazao Mchanganyiko kilichofanyika Katika ukumbi wa …
28 March 2022, 10:19 am
Vijana Jitokezeni katika Vituo vya Huduma Rafiki  ya Afya ya Uzaz…
Vijana wameaswa kujitokeza katika Vituo rafk vya kutolea huduma za Afya ili kupata Elimu zaidi kuhusu masuala mbalimbali ya Afya na Afya ya Uzazi. Hayo yamesemwa na Dr Godfrey Christopher kutoka Kituo cha Afya Muungano kilichopo Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu…
21 March 2022, 8:18 pm
WENYEVITIÂ WAÂ VITONGOJIÂ ZAIDIÂ YAÂ 40 WILAYANIÂ MASWAÂ WAGOMEAÂ POSHOÂ…
Wenyeviti wa vitongoji zaidi ya Arobaini wanaounda Mamlaka ya Mji mdogo Maswa wamegoma kushiriki zoezi la Uandikishaji wa anuani za Makazi kutokana na Kupunjwa Posho katika Zoezi la Uandikishaji wa Anuani za Makazi hivyo kupelekea kuomba Mwongozo wa Halmashauri kuhusu …
7 March 2022, 7:38 pm
Maswa:Mauwasa kutumia milioni 500 kusambaza maji safi na salama mjini Maswa.
Na mwandishi,Daniel Manyanga,Simiyu Mamlaka  ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Maswa(Mauwasa) mkoani Simiyu imekusudia kutumia kiasi cha Sh 509,884,320 katika kukamilisha mradi wa usambazaji wa maji  mjini  humo. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mauwasa, Mhandisi Nandi Mathias mbele…
28 February 2022, 3:45 pm
Wadau wa afya waombwa kujitokeza kusaidia upatikanaji wa vifaa vya kulel…
Taasisi na wadau mbalimbali wa afya wameombwa kujitokeza kusaidia upatikanaji wa vifaa vya kulelea watoto njiti katika hospitali ya wilaya ya Maswa ili kupunguza vifo vya Watoto na kuiongezea hospitali hiyo uwezo wa kuwahudumia watoto wengi wanaohitaji huduma hiyo kwa…
25 February 2022, 5:50 pm
Serikali  Mkoani Simiyu kujenga Mabweni ya wanafunzi wa kike il…
Serikali Mkoani Simiyu inatarajia kutumia zaidi ya shilingi Bilion 6 kujenga mabweni kwa ajili ya kuwanusuru na Mimba za Utotoni watoto wanaotoka kwenye kaya masikini wanaosoma Shule za Sekondari Mkoani hapa. Akizungumza na wakazi wa Wilayani Maswa Mkoani Simiyu kwenye…
25 February 2022, 12:30 pm
Katibu Tawala Wilaya ya  Maswa awaasa   viongozi kuwatumikia …
Katibu Tawala wilaya ya Maswa Agnes Alex amewataka viongozi waliopewa Dhamana ya Kuwatumikia wananchi wanawatumikia kikamilifu ili kukidhi matarajio yao. Katibu Tawala ameyasema hayo wakati wa Uzindunduzi wa Kikao cha Uraghbidhi kilichofanyika Februari 22, katika Ukumbi wa Halmashauri ya Maswa …
25 February 2022, 12:08 pm
SHIRIKA LA TWAWEZA E.AFRIKA WAKISHIRIKIANA NA SHIRIKA LA KASODEFA LA WILAYANI MA…
Shirika la Twaweza wakishirikiana na shirika la Kasodefo la Wilayani Maswa Mkoani Simiyu February 21 mwaka huu wamefanya kikao cha pamoja na waraghbishi toka kata 18. Huku kikao hicho kikilenga kufanyia tathmini ya awali ya shughuli za kiraghbishi zinazotekelezwa katika…
22 February 2022, 6:02 pm
Taasisi ya TWAWEZA yatoa Mafunzo  Kwa Waraghabishi Wilayani Mas…
Jumla ya Waraghabishi Thelathini na sita (36) kutoka kata 18 za wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu wamepewa Mafunzo ya kuwawezesha kuibua changamoto na Vipaumbele vya Maendeleo kwenye maeneo ya vijiji vyao. Akizungumza na Sibuka Fm  Meneja Programu kutoka Shrika la …
21 February 2022, 3:47 pm
Simiyu:serikali ya mkoa wa Simiyu kufufua viwanda viwili vya pamba
Na mwandishi,Daniel Manyanga,Simiyu Serikali mkoani Simiyu inatarajia kufufua viwanda viwili ambavyo vilijengwa wakati wa ukoloni lengo likiwa ni kuwawezesha wananchi hususani wakulima wa zao la pamba kupata huduma na soko la karibu. Hayo yameelezwa na mkuu wa mkoa wa Simiyu…
8 February 2022, 9:44 am
KILELEÂ CHAÂ WIKIÂ YAÂ SHERIA , MAHAKAMAÂ Â YAÂ WILAYAÂ MASWAÂ YAPOKEAÂ …
Mahakama ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu imepokea jumla ya malalamiko 345 katika wiki ya sheria huku malalamiko ya utelekezwaji wa watoto yakiongoza yakifuatiwa na Migogoro ya Ardhi. Akitoa taarifa kwa mgeni rasimi, Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya wilaya …
30 January 2022, 2:59 pm
kata saba wilayani bariadi kuunganishwa na miundombinu ya barabara
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Bariadi wameshauri kuunganishwa kwa kata saba kwa njia ya barabara ili kuwapunguzia adha wananchi kutumia muda mrefu kufika makao makuu halmashauri hiyo yaliyopo Dutwa.Wameyasema hayo wakati wakipokea taarifa kwenye…
26 January 2022, 7:56 pm
IDADI YA Â WAJAWAZITO Â WANAOJIFUNGULIAÂ Â KWENYE VITUOÂ VYAÂ AFYAÂ YAFIKIAÂ…
Idadi ya akina mama wanaojifungulia kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeongezeka kutoka Asilimia 55 kwa Mwezi Januar -June, 2021 hadi kufikia Asilimia 96.4% kwa Mwezi Julai –Decemba, 2021 huku hamna kifo kitokanacho na Uzazi …
6 January 2022, 11:19 am
WAWILI WAPOTEZA MAISHA ,WANNE WAJERUHIWA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI MGODINI
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Watu wawili wamepoteza maisha huku wengine wanne wakijeruhiwa baada ya kufunikwa na kifusi kwenye mgodi wa dhahabu wa Halawa no 2 uliopo halmashauri ya wilaya ya Bariadi . Akithibitisha kupokea miili na majeruhi wa tukio…
29 December 2021, 11:50 am
WILAYA YA MASWA YATAJWA KUONGOZA KWA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI …
Imeelezwa kuwa wilaya ya maswa inaongoza kwa maambukizi ya Virusi ya Ukimwi (VVU) Ikifuatiwa na Wilaya Busega katika mkoa wa Simiyu. Hayo yameelezwa na Mratibbu wa Ukimwi mkoa wa Simiyu Dr Hamis Kulemba wakati akizungumza na Radio Sibuka. Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Dr …