SIBUKA FM
24 December 2021, 6:52 pm
mtu mmoja afariki na wanne kujeruhiwa baada magari mawili kugongana uso kwa uso
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Mtu mmoja afariki na wengine wanne kujeruhiwa kufuaatia gari lenye namba za usajili T435 AAZ Scania mali ya kampuni ya Turu best na gari lenye namba za usajili T 153 DVX tata mali ya kampuni…
27 November 2021, 6:28 pm
Mkoa wa Simiyu wapunguza vifo vitokanavyo na Uzazi kwa Asilimia 50% …
Mkoa wa Simiyu umefanikiwa Kupunguza vifo vitokanavyo na Uzazi kwa Asilimia 50% kwa Robo ya mwezi Julai, August na mwezi Septemba 2021 huku Upatikanaji wa Dawa Ukiongezeka kutoka Asilimia 70% hadi kufikia Asilimia 90%. Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa …
6 November 2021, 4:58 pm
TANROAD simamieni kwa ukaribu ujenzi wa miundombinu ya barabara
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila amemtaka wakala wa barabara TANROAD mkoani hapo kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara ili kubaini mapungufu mapema na kuepusha gharama zaidi za ukarabati.…
2 November 2021, 1:58 pm
mwalimu mkuu mikononi mwa polisi kwa udanganyifu wa mitihani ya darasa la nne
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Bariadi Mwalimu mkuu shule ya msingi Shimbale katika halmashauri ya Bariadi mkoani Simiyu Gaudensia Anyango mwenye umri wa miaka 45 Mjaruo na mkazi wa mtaa Shimbale anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kufanya udanganyifu…
30 October 2021, 7:59 am
zaidi ya bilion 10.8 kutatua changamoto ya maji hasa vijijini mkoani simiyu
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Zaidi ya bilioni 10.8 zilizotolewa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe,Samia Suluhu Hassan zikiwemo zaidi ya bilioni 8 za bajeti ya kawaida na zaidi ya bilioni 2 ambazo ni fedha za uviko…
27 October 2021, 2:51 pm
walimu wilaya ya itilima waomba kutatuliwa changamoto zao.
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga ,Simiyu Walimu wilayani Itilima mkoani Simiyu wameiomba serikali kuona umuhimu wa kutatua changamoto zao ili kuongeza hali ya utedaji kazi. Wameyasema hayo kwenye semina ya kuwajengea uwezo kwenye majukumu yao viongozi na wawakilishi wa shule…
25 October 2021, 1:18 pm
mvua iliyo ambatana na upepo mkali imeezua nyumba zaidi 50 wilayani bariadi
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Zaidi ya 50 zilizopo kata ya Ngulyati iliyopo wilayani Bariadi mkoani Simiyu zimeezuliwa na upepo mkali ulioambatana Mvua. Kutokana na hali hiyo mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ambaye pia ni mkuu wa…
22 October 2021, 8:14 pm
Ugonjwa wa akili wapelekea kujinja watoto wake wawili kisha naye kujichinja.
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu. Mama mmoja aitwaye Ng’washi Makigo mwenye umri miaka 35 Msukuma na mkazi wa kijiji Gula wilayani Maswa mkoani Simiyu amewaua watoto wake wawili kwa kuwachinja kwa kutumia kisu kisha naye kijichinja. Kamanda wa polisi mkoa…
19 October 2021, 3:38 pm
watu watatu wajeruhiwa na chui
Watu watatu wakazi wa Kijiji Mwabulimbu kata ya Mwan’gonoli tarafa ya Sengerema wilayani Maswa mkoani Simiyu wamejeruhiwa na mnyama aina ya chui sehemu mbalimbali za miili yao. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa Simiyu ACP Blasius…
19 October 2021, 3:25 pm
Wivu wa mapenzi wapelekea kumuua mke wake kwa kumkata mapanga.
Mwanamke mmoja aitwae Pili Masonga mwenye umri wa miaka 28,msukuma mkazi wa Kijiji cha Kulimi wilayani Maswa mkoani Simiyu ameuwawa na mme wake kwa kukatwa mapanga sehemu mbali mbali za mwili wake. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi…
18 October 2021, 1:30 pm
Mkuu wa mkoa wa Simiyu ashangazwa na wahitimu wa (JWTZ) kushindwa kujitegemea.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh,David Kafulila ameshangazwa na kitendo cha wahitimu wa wafunzo ya (JWTZ)kushindwa kujitegemea baada ya kuhitimu mafunzo yao licha ya Serikali kutumia gharama kubwa kwa ajili ya mafuzo hayo David Kafulila ameyasema hayo wakati wa kongamano…
13 October 2021, 2:30 pm
hakielimu yatoa mafunzo na vyerehani kwa watoto wa kike ili kushona taulo za kik…
Katika kukabiliana na changamoto za watoto wa kike kutohudhuria kikamilifu masomo yao hakielimu kupitia mradi wa The Girls Retention and Transition Initiative (G.R.T.I ) imetoa vyerehani na mafunzo kwa wanafunzi kutegeneza taulo za kike ili waweze kujihifadhi kipindi cha hedhi…
12 October 2021, 9:44 am
mkoa wa simiyu na mkakati wa kuzalisha tani laki tano za pamba msimu wa kilimo 2…
Mkuu wa mkoa wa Simiyu David Kafulila amewaomba wadau mbalimbali wa zao la pamba mkoa hapo kuhakikisha mkakati wa zao hilo wa kuzalisha tani laki tano za pamba unatekelezwa kwa vitendo na siyo kwa makaratasi lengo nikuongeza thamani ya zao…
8 October 2021, 7:15 pm
NMB yatoa Msaada wa vifaa vya ujenzi Shule za Msingi na Sekondari …
Benki ya NMB imekabidhi vifaa vya Ujenzi kwa Shule za Msingi na Sekondari Wilayani Maswa Mkoani Simiyu vyenye thamani ya Shilingi Milioni Ishirini na Nne.. Akikabidhi vifaa hivyo mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh Aswege Kaminyoge , Meneja …
1 October 2021, 1:31 pm
afariki dunia baada ya kudondokewa na matofali ya udongo
Mtoto wa miaka 03 Agnes Charles Masanja mkazi wa Kijiji cha Mwanzangamba kata ya Mwanyahima wilaya ya Meatu mkoani Simiyu amefariki dunia baada ya kudondokewa na matofali ya udongo katika nyumba yao. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi…
26 September 2021, 11:15 am
Asilimia 40% ya vifo vya Watoto nchini vinatokana na watoto kuzaliwa…
Imeelezwa kuwa asilimia Arobaini ya vifo vya Watoto nchini vinatokana na watoto kuzaliwa kabla ya siku zao (Njiti). Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na maendeleo ya Jamii na Mbunge wa Jimbo la Maswa …
17 September 2021, 4:56 pm
RC Kafulila; Bei ya Pamba yavunja rekodi Msimu wa 2020/2021.
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh, Davidi Zacharia Kafulila amesema kuwa bei ya Pamba kwa mwaka huu wa 2021 imevunja rekodi ya zaidi ya miaka Ishirini iliyopita kutokana na Usimamizi Bora wa mifumo ya ununuzi wa zao la Pamba.. Mh …
16 September 2021, 4:02 pm
Waziri Mashimba Ndaki akabidhi Komputa kwa shule za Sekondari jimboni kwake.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amewataka Wakuu wote wa shule za sekondari katika jimbo la Maswa Magharibi Mkoani Simiyu kuanzisha madarasa ya kompyuta ili wanafunzi kupata maarifa zaidi. Waziri Ndaki ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo amesema…
9 September 2021, 1:20 pm
Mtoto afariki baada ya kujeruhiwa na Fisi-Maswa.
Mtoto mwenye umri wa miaka 5 anayejulikana kwa jina la Masule. S. Cosmas mkazi wa kijiji cha zawa kata ya mwanghonori wilayani Maswa Mkoani Simiyu amefariki baada ya kujeruhiwa na fisi sehemu mbalimbali za mwili wake. Tukio hilo limetokea Siku…
28 August 2021, 8:36 pm
TARURA Maswa Kuboresha Barabara zote za Kiuchumi
Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mjini Wilayani Maswa Mkoani Simiyu Mhandisi David Msechu amewaomba Madiwani Kushirikiana na kamati za maendeleo za kata ili kulinda Miundo mbinu ya Barabara zinazojengwa ili zidumu zaidi.. Hayo ameyasema katika kikao cha …