Ruangwa FM
Ruangwa FM
27 June 2025, 1:24 pm
Na khadja Omari Mkuu wa Wilaya ya Lindi Bi Victoria Mwanziva, amesema Serikali ya awamu ya sita inatambua na itaendelea kufanya jitihada mbalimbali za kuwawezesha wajane kama ilivyo kwa makundi mengine, kuwapa stahiki zao ikiwa pamoja na utatuzi wa matatizo…
18 June 2025, 2:00 pm
Mkulima kijana kutoka Kijiji cha Mbangala, Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Omari Said Jimajima (28), amefariki dunia baada ya kunywa sumu ya kuua wadudu aina ya Ninja, inayotumika kwenye mashamba, tukio lililotokea kwa huzuni kubwa na kuacha maswali kwa familia…
13 June 2025, 10:04 pm
Watanzania watakiwa kuiona sekta ya madini kama dira ya maendeleo na fursa za mabadiliko ya kiuchumi Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, ametoa wito kwa Watanzania kuipa kipaumbele sekta ya madini, akiielezea kuwa ni mhimili mkubwa unaochochea ustawi wa…
13 June 2025, 8:22 pm
Na loveness josefu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (MB), anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe ya kufunga Maonesho ya Madini na Fursa za Uwekezaji Mkoa wa Lindi (Lindi Mining Expo 2025) Taarifa hiyo imethibitishwa leo 13Jun…
13 June 2025, 5:37 pm
Na Khadja Omari Taasisi ya utafiti wa Kilimo Tanzania Kituo cha ( TARI NALIENDELE) imetoa Mafunzo ya matumizi sahihi na salama ya viwatilifu vya zao la korosho kwa maafisa Ugani wa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi Mafunzo hayo yamefanyika Katika…
12 June 2025, 3:16 pm
Katika Maonesho ya Pili ya Madini ya Mkoa wa Lindi (Lindi Mining Expo 2025), Meneja wa TANESCO Mkoa wa Lindi, Bw.Theodory Hall amewataka wananchi kuachana na matumizi ya mkaa na kuni na badala yake kutumia vifaa vya umeme vya kisasa vya kupikia kama…
12 June 2025, 3:05 pm
Na Loveness Josefu“Wananchi tuimarishe afya zetu kwa kufanya mazoezi na kuzingatia ulaji unaofaa” Hayo yamebainishwa na Mkuu wa mkoa Wa Lindi Mhe. Zainabu Telack leo 12 Jun 2025 katika mbio za ridhaa zilizofanyika asubuhi mapema kwa kuianza siku ya pili…
11 June 2025, 10:02 pm
Na Loveness JosephMkoa wa Lindi umeandika historia tena kwa kuzindua rasmi Maonesho ya Madini na Fursa za Kiuchumi 2025, tukio kubwa linalolenga kuhamasisha uwekezaji na kuibua fursa katika sekta ya madini kwa maendeleo ya kiuchumi ya mkoa na taifa kwa…
8 May 2025, 7:33 pm
“tumeazimia kuongeza nguvu katika usajili wa wanachama wapya ambapo Mpango huu unalenga kuongeza idadi ya wanachama wa SMAUJATA na kuhakikisha kuwa vijana wengi zaidi wanajumuishwa katika shughuli za maendeleo ya kijamii na uhamasishaji wa haki na usawa” Na Mwandishi wetu…
22 February 2025, 6:08 pm
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Februari 22, 2025 ameshuhudia makabidhiano ya trekta tano kati ya Wizara ya Kilimo na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ikiwa ni utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mpango wa Serikali wa kukabidhi zana za kilimo…
VISSION
The vision of Ruangwa Fm Radio is to see the community of Ruangwa District and nearly areas have access to information and increase capacity to play a meaningful role for their own development through Media.
MISSION
To enable local community to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.
VALUE AND PRINCIPLES
We believe in building strong community by expressing their opinions through media
OBJECTIVES
– To promote community development by supporting the Education, Agriculture, and Health of the Ruangwa Community.
– Giving a voice to people of Ruangwa who do not have access to mainstream media to express their viewers on community development.
– Promoting the right to communicate, expediting the process of informing the community, assisting the free flow of information and acting as a catalyst of change
– To upholds creative growth and democratic spirit at the community level.