22 February 2025, 6:08 pm

PM Majaliwa ashuhudia makabidhiano ya zana za kilimo Ruangwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Februari 22, 2025 ameshuhudia makabidhiano ya trekta tano kati ya Wizara ya Kilimo na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ikiwa ni utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mpango wa Serikali wa kukabidhi zana za kilimo…

Offline
Play internet radio

Recent posts

19 September 2025, 9:39 pm

Tanesco kuanza mradi mpya wa umeme kuelekea mgodini Namungo

Na Loveness Daniel. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilaya ya Ruangwa limeanza rasmi utekelezaji wa mradi mkubwa wa laini ya umeme wa msongo wa kilovoti 33 (KV 33), kutoka mjini Ruangwa kuelekea kijiji cha Namungo kupitia Chingumbwa – eneo muhimu…

3 September 2025, 2:08 pm

DC Ruangwa azindua chanjo, utambuzi wa mifugo

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Mhe. Hassan Ngoma, leo Septemba 2, 2025, amezindua rasmi zoezi la uchanjaji na utambuzi wa mifugo katika Kijiji cha Nangumbu, Kata ya Malolo wilayani Ruangwa, zoezi hilo ni hatua muhimu ya kulinda afya ya mifugo…

26 August 2025, 5:08 pm

Mmuya achukua fomu ya uteuzi nafasi ya ubunge INEC Ruangwa

Ruangwa, Lindi – Agosti 26, 2025: Mgombea mteule wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Ruangwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kaspar Kaspar Mmuya, leo amechukua fomu ya uteuzi katika ofisi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) zilizopo katika…

18 August 2025, 11:50 pm

Tuanzie Nyumbani Kuleta Tumaini Jipya kwa Elimu Vijijini Ruangwa

Ruangwa, Lindi  Katika harakati za kuhakikisha watoto wa vijijini wanapata haki yao ya msingi ya elimu, Umoja wa Wadau wa Elimu Wilaya ya Ruangwa (UWERU) imeanza rasmi kuitekeleza kampeni ya “Tuanzie Nyumbani” yenye lengo la kuelimisha jamii juu ya umuhimu…

4 August 2025, 11:27 pm

Kaspar Mmuya ashinda kwa kishindo kura za Maoni Ruangwa

Mgombea wa Ubunge CCM, Kaspar Kaspar Mmuya, ameibuka kidedea katika kura za maoni jimbo la Ruangwa, akijizolea kura 5,966 kati ya kura halali 9,547, leo Agosti 4. Mmuya amewashinda wapinzani wake watatu kwa mbali ikiwa ni Ushindi huu unaimarisha nafasi ya Mmuya kupeperusha bendera ya…

25 July 2025, 12:59 pm

Migogoro ya ardhi kupungua Ruangwa

“Tusiangalie hati hizi kama karatasi tu, hizi ni nyenzo za maendeleo zitunzeni na msizitumie kama dhamana kwa mikopo isiyokuwa na tija bali mikopo yenye malengo ya kuinua maisha yenu na familia zenu.” DED Ruangwa Frank Chonya. Na mwandishi wetu Mkurugenzi…

25 July 2025, 12:44 pm

Jela miaka 30 kwa kumbaka mtoto wa kumzaa Lindi

Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Alli Ibrahimu Malinda (30), mkazi wa Kijiji cha Ng’apa, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wake wa kumzaa mwenye umri wa miaka 10. Hukumu hiyo…

Mission and Vision

VISSION

The vision of Ruangwa Fm Radio is to see the community of Ruangwa District and nearly areas have access to information and increase capacity to play a meaningful role for their own development through Media.


MISSION
To enable local community to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.


VALUE AND PRINCIPLES
We believe in building strong community by expressing their opinions through media

OBJECTIVES
– To promote community development by supporting the Education, Agriculture, and Health of the Ruangwa Community.


– Giving a voice to people of Ruangwa who do not have access to mainstream media to express their viewers on community development.
– Promoting the right to communicate, expediting the process of informing the community, assisting the free flow of information and acting as a catalyst of change
– To upholds creative growth and democratic spirit at the community level.