Recent posts
19 September 2025, 9:39 pm
Tanesco kuanza mradi mpya wa umeme kuelekea mgodini Namungo
Na Loveness Daniel. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilaya ya Ruangwa limeanza rasmi utekelezaji wa mradi mkubwa wa laini ya umeme wa msongo wa kilovoti 33 (KV 33), kutoka mjini Ruangwa kuelekea kijiji cha Namungo kupitia Chingumbwa – eneo muhimu…
3 September 2025, 2:08 pm
DC Ruangwa azindua chanjo, utambuzi wa mifugo
Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Mhe. Hassan Ngoma, leo Septemba 2, 2025, amezindua rasmi zoezi la uchanjaji na utambuzi wa mifugo katika Kijiji cha Nangumbu, Kata ya Malolo wilayani Ruangwa, zoezi hilo ni hatua muhimu ya kulinda afya ya mifugo…
27 August 2025, 11:12 pm
DC Ngoma apongeza kiwango cha mafunzo yanayotolewa na jeshi la akiba Ruangwa
Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Mhe. Hassan Ngoma, amepongeza kiwango cha mafunzo yaliyotolewa kwa Askari wa Jeshi la Akiba katika Kata ya Mandawa, akisema yamekuwa ya mfano na chachu ya kuimarisha ulinzi na mshikamano wa wananchi. Mhe. Ngoma ametoa kauli…
26 August 2025, 5:08 pm
Mmuya achukua fomu ya uteuzi nafasi ya ubunge INEC Ruangwa
Ruangwa, Lindi – Agosti 26, 2025: Mgombea mteule wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Ruangwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kaspar Kaspar Mmuya, leo amechukua fomu ya uteuzi katika ofisi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) zilizopo katika…
18 August 2025, 11:50 pm
Tuanzie Nyumbani Kuleta Tumaini Jipya kwa Elimu Vijijini Ruangwa
Ruangwa, Lindi Katika harakati za kuhakikisha watoto wa vijijini wanapata haki yao ya msingi ya elimu, Umoja wa Wadau wa Elimu Wilaya ya Ruangwa (UWERU) imeanza rasmi kuitekeleza kampeni ya “Tuanzie Nyumbani” yenye lengo la kuelimisha jamii juu ya umuhimu…
4 August 2025, 11:27 pm
Kaspar Mmuya ashinda kwa kishindo kura za Maoni Ruangwa
Mgombea wa Ubunge CCM, Kaspar Kaspar Mmuya, ameibuka kidedea katika kura za maoni jimbo la Ruangwa, akijizolea kura 5,966 kati ya kura halali 9,547, leo Agosti 4. Mmuya amewashinda wapinzani wake watatu kwa mbali ikiwa ni Ushindi huu unaimarisha nafasi ya Mmuya kupeperusha bendera ya…
25 July 2025, 12:59 pm
Migogoro ya ardhi kupungua Ruangwa
“Tusiangalie hati hizi kama karatasi tu, hizi ni nyenzo za maendeleo zitunzeni na msizitumie kama dhamana kwa mikopo isiyokuwa na tija bali mikopo yenye malengo ya kuinua maisha yenu na familia zenu.” DED Ruangwa Frank Chonya. Na mwandishi wetu Mkurugenzi…
25 July 2025, 12:44 pm
Jela miaka 30 kwa kumbaka mtoto wa kumzaa Lindi
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Alli Ibrahimu Malinda (30), mkazi wa Kijiji cha Ng’apa, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wake wa kumzaa mwenye umri wa miaka 10. Hukumu hiyo…
2 July 2025, 8:56 pm
TASAF Kutoa million 114,220,000 Ruzuku kwa kaya 3,896 Ruangwa kuanzia leo July…
Na Loveness Josefu.Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, umeanza leo Jumatano, tarehe 2 Julai 2025, zoezi la malipo ya ruzuku kwa kaya 3,896 za walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kutoka…
2 July 2025, 8:39 pm
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza rasmi kutogombea tena Ubunge Ruangwa
Na Loveness Joseph. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Mheshimiwa Kassim Majaliwa, leo Julai 2, 2025, ametangaza rasmi kutogombea tena nafasi ya ubunge wa jimbo hilo katika uchaguzi mkuu ujao, baada ya…