Recent posts
15 February 2024, 10:28 pm
Ruangwa wazindua zoezi la chanjo ya surua, rubela
Ruangwa yazindua zoezi la chanjo ya surua na rubela
15 February 2024, 8:49 pm
CBT yawanoa VEOs, maafisa ugani, makarani kidigtali zaidi
Bodi ya Korosho Tanzania yawanoa maafisa ugani,watendaji kata na makarani Ruangwa.
10 September 2023, 10:11 pm
Tuendelee kumpa ushirikiano Rais wetu – Majaliwa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wananchi kuendelea kumwamini Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa sababu ana dhamira na malengo makubwa ya kuendelea kuboresha maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini yakiwemo na ya wilaya ya Ruangwa. “Tujenge imani ya Serikali yetu, tujenge…
9 September 2023, 10:11 pm
Waziri mkuu ahamasisha wananchi kushiriki michezo
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka wananchi kwenye maeneo mbalimbali nchini washiriki katika michezo kwa kuwa michezo ni ajira, uchumi na huimarisha afya. “Tunapa faida nyingi kwa kufanya michezo, tushiriki katika michezo pamoja na kukimbia riadha kwa kuongeza vipaji tulivyonavyo kwani…
4 August 2023, 1:02 pm
Elimu maalum Namakonde wapewa vitanda, magodoro waishi shule
Wanafunzi wenye ulemavu wanaosoma shule ya Msingi Namakonde wilayani Ruangwa mkoani Lindi, wamepatiwa msaada wa magodoro na vitanda kutoka kampuni ya Uranex inayojihusha na uchumbaji wa madini ya kinywe (graphite) wilayani humo kwa ajili ya kutumia katika mabweni yaliojengwa na…
10 July 2023, 9:21 pm
CRDB yatoa msaada wa samani shule za Mtopitopi, Bekenyera
Benki ya CRDB imetoa msaada wa madawati 20 kwa ajili ya shule ya msingi Mtopitopi, meza 40 na viti 40 kwa shule ya sekondari Mbekenyera wilayani Ruangwa mkoani Lindi, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Programu yake maalumu ya KETI…
7 July 2023, 4:51 pm
Wananchi kata ya Mbekenyera waridhia kutoa eneo ujenzi shule ya sekondari
Wananchi kata ya Mbekenyera wilayani Ruangwa mkoani Lindi wameridhia kutoa maeneo zaidi ya hekari 30 pamoja na kushiriki katika nguvu kazi za ujenzi wa shule ya sekondari tarajiwa inayotajwa huenda ikaja kuitwa shule ya sekondari Nambawala. Hatua hiyo inakuja kufuatia…
18 May 2023, 7:41 pm
Aga Khan Foundation yaja na mafunzo endelevu ya walimu kazini kukuza taaluma Rua…
Kaimu mkurugenzi halmashauri ya wilaya ya Ruangwa ambaye pia ni afisa elimu msingi wilaya ya Ruangwa Mwl. George Mbesigwa amewataka walimu kutumia mafunzo yaliyoletwa na Aga Khan foundation wilaya ya Ruangwa kupitia MEWAKA kuyatumia vizuri katika kukuza taaluma mashuleni kwa…
8 May 2023, 6:48 pm
Ruangwa yapata milioni 965.9 kutekeleza ujenzi wa miundombinu elimu awali &…
Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi imepokea 965,900,000/= Milioni mia tisa na sitini na tano na laki tisa, kutoka Serikali kuu kupitia mradi wa kuboresha upatikanaji wa fursa sawa katika ujifunzaji bora wa Elimu ya Awali na Msingi Tanzania…
20 April 2023, 10:31 pm
Nje ya ufuta na korosho hakuna halmashauri za Ruangwa, Liwale na Nachingwea
Na Loveness Daniel Mkuu wa wilaya ya Ruangwa Mhe. Hassan Ngoma amewataka wakuu wa wilaya zote zinazounda ushirika wa chama kikuu cha RUNALI kusimamia kwa umakini na kuweka jitihada kubwa katika zao la korosho na ufuta katika halmashauri zao kwani…