22 February 2025, 6:08 pm

PM Majaliwa ashuhudia makabidhiano ya zana za kilimo Ruangwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Februari 22, 2025 ameshuhudia makabidhiano ya trekta tano kati ya Wizara ya Kilimo na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ikiwa ni utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mpango wa Serikali wa kukabidhi zana za kilimo…

On air
Play internet radio

Recent posts

22 February 2025, 6:08 pm

PM Majaliwa ashuhudia makabidhiano ya zana za kilimo Ruangwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Februari 22, 2025 ameshuhudia makabidhiano ya trekta tano kati ya Wizara ya Kilimo na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ikiwa ni utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mpango wa Serikali wa kukabidhi zana za kilimo…

19 February 2025, 8:14 pm

Mama Samia Legal Aid yafikia wananchi zaidi ya millioni1

Na Loveness Daniel Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia ni ubunifu wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan uliolenga kuongeza wigo wa upatikanaji haki kwa wananchi wasio na uwezo wa kumudu…

8 January 2025, 11:58 am

Ruangwa yaongoza matokeo kidato cha pili mkoa wa Lindi

Hali ya elimu wilaya ya Ruangwa inazidi kuimarika kulinganisha na mwaka 2023 kimkoa ilikua ya mwisho, kwa mwaka 2024 imekua ya kwanza kimkoa. Na Joshua Jeremiah Kati ya wilaya sita zinazopatikana mkoa wa Lindi wilaya ya Ruangwa imeshika nafasi ya…

17 December 2024, 11:45 am

Kaliua wasafiri Km. 1,500 kujifunza mfumo wa stakabadhi ghalani Ruangwa

Mkuu wa wilaya ya Kaliua Dkt Mongella akizungumza katika mafunzo. Na loveness Daniel “Tumetembea km1500 kutoka Kaliua Tabora kuja kujifunza mfumo wa stakabadhi za ghala katika wilaya hii ya ruangwa iliyopga hatua katika mfumo na kuleta tija”amesema DC Mongella Hayo…

8 December 2024, 7:24 pm

Kilele cha maadhimisho miaka 63 ya Uhuru yafanyika Ruangwa

Na Mwanne Jumaah Maadhimisho ya  miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara yamefanyika leo, tarehe 8 Desemba 2024, katika Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi,Sherehe hizo zimefanyika katika viwanja vya Likangara, ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea,…

1 November 2024, 3:15 pm

Walimu wakuu 554 mkoani lindi wapewa mafunzo ya uongozi

Na Mwanne Jumaah Wakala wa Maendeleo ya usimamizi wa Elimu (ADEM) kupitia Mradi wa boost wamewajengea uwezo walimu wakuu 554 juu ya uongozi, usimamizi na uendeshaji wa shule kutoka Katika Wilaya tano za Mkoa wa Lindi  Mratibu wa Mafunzo hayo…

Mission and Vision

VISSION

The vision of Ruangwa Fm Radio is to see the community of Ruangwa District and nearly areas have access to information and increase capacity to play a meaningful role for their own development through Media.


MISSION
To enable local community to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.


VALUE AND PRINCIPLES
We believe in building strong community by expressing their opinions through media

OBJECTIVES
– To promote community development by supporting the Education, Agriculture, and Health of the Ruangwa Community.


– Giving a voice to people of Ruangwa who do not have access to mainstream media to express their viewers on community development.
– Promoting the right to communicate, expediting the process of informing the community, assisting the free flow of information and acting as a catalyst of change
– To upholds creative growth and democratic spirit at the community level.