USAWA WA KIJINSIA
8 May 2024, 3:10 pm
Kuna nafasi sawa ya kijinsia katika kumiliki ardhi?
Na Joyce Elius. Baadhi ya maeneo na jamii zimekua haziamini mwanamke katika kumilikisha ardhi na hii inatokana na mila na desturi za jamii husika. Sera ya taifa ya ardhi ya mwaka 1995 inatambua kuwa wanawake na wanaume wana haki sawa…
8 May 2024, 3:04 pm
Je, kuna nafasi sawa ya kijinsia katika kumiliki ardhi?
Na Dorcas Charles Baadhi ya maeneo na jamii zimekua haziamini mwanamke katika kumilikisha ardhi na hii inatokana na mila na desturi za jamii husika. Lakini sera ya taifa ya ardhi ya mwaka 1995 inatambua kuwa wanawake na wanaume wana haki…
5 April 2024, 4:40 pm
Kiongozi wako anatoa nafasi kwa wanawake kufuatilia utekelezaji wa miradi ya afy…
Kwa mujibu wa Sera ya Maendeleo ya Jinsia ya mwaka 1992 inalenga kukuza usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake katika nyanja zote za maendeleo, Sera hii inasisitiza kuwashirikisha wananwake katika kupanga, kutekeleza na kusimamia miradi ya maendeleo katika ngazi…
25 March 2024, 3:36 pm
Unakabiliana vipi na mila na desturi zinazokwamisha wanawake kushiriki kwnye vyo…
Na mwandishi wetu. Wanawake hawana nafasi kubwa ya kushiriki katika mikutano,mijadala na hawana ujasiri wa kutoa maoni yao haswa wanawake wa jamii ya kifungaji,na hii ni kutokana na mila na desturi kandamizi. Lakini zipo familia ambazo zimeweza kuachana na mila…
25 March 2024, 3:17 pm
MAKALA; Kutana na Neema mwanamke aliyeshinda mila zinazomzuia mwanamke kushiriki…
“Kuna wanawake ambao wameweza kukabiliana na mila na tamaduni kandamizi na wanashiriki kwenye vyombo vya maamuzi” Na Dorcas Charles. Katika jamii ya kimaasai wanawake mara nyingi hawananafasi ya kutoka majumbani na kwenda kushiriki katika mikutano mikuu ya vijiji ama vitongoji…
13 March 2024, 7:56 pm
Mama mjamzito apigwa nusura ujauzito utoke
Ukatili wa kijinsia bado unaendelea kuwa tishio kwa maisha ya wanawake wengi hasa kwenye jamii ya kimaasai, kufuatia vipigo kutumika kama sehemu ya adhabu inayotumiwa na baadhi ya wanaume wa jamii hii kwa wake zao. Na Joyce Elius. Bi. Penina…
8 March 2024, 6:27 pm
Unakabiliana vipi na tamaduni zinazomnyima mwanamke fursa ya kushiriki katika mi…
leo ni siku ya maadhisho ya wanawake duniani na kauli mbiu ya mwaka huu inasema ” Wekeza kwa mwanamke kuharakisha maendeleo ya taifa na ustawi wa jamii” Bado kuna mifumo dume na mila potofu zinazoweka vikwazo na masharti kwa wanawake…
16 February 2024, 8:12 am
Ni muhimu kuwepo na uwiano wa kijinsia katika nafasi za uongozi?
Pamoja na jitihada na utekelezaji wa sera katika kuhakikisha kunapatikana usawa wa kjinsia katika nafasi za kiuongozi mashirika ya kijamii pia yananafasi kubwa mno haswa kuhamasisha jinsia ambazo hazishiriki kwa sehemu kubwa katika kutafuta nafasi hizo za kiuongozi. Na Wanahabari…
11 February 2024, 9:45 am
Malaigwanani wabadilisha mtazamo hasi juu ya wanawake jamii ya kimaasai
Na Isack Dickson. Wazee wa kimila wa jamii ya kimaasai malaigwanani (laigwanak) wamefanikiwa kubadilisha mitazamo hasi waliyokuwanayo wanajamii hao juu ya uwezo wa wanawake katika kufanya maamuzi ndani ya familia na hata kwenye jamii. Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa malaigwanani…
9 February 2024, 10:39 am
Familia za jamii ya kimasai zabadilika katika maamuzi ya familia
Wapo wanaoamini kuwa ni muhimu wanawake kushiriki katika kutoa maamuzi kwenye ngazi ya familia na wengine wanaona si muhimu,wakiamini kuwa ni kinyume na mila na tamaduni za jamii ya kimaasai. NA Baraka David Ole Maika Jamii ya kimaasai ni jamii…