Orkonerei FM

USAWA WA KIJINSIA

13 March 2024, 7:56 pm

Mama mjamzito apigwa nusura ujauzito utoke

Ukatili wa kijinsia bado unaendelea kuwa tishio kwa maisha ya wanawake wengi hasa kwenye jamii ya kimaasai, kufuatia vipigo kutumika kama sehemu ya adhabu inayotumiwa na baadhi ya wanaume wa jamii hii kwa wake zao. Na Joyce Elius. Bi. Penina…