Uncategorised
25 March 2024, 3:36 pm
Unakabiliana vipi na mila na desturi zinazokwamisha wanawake kushiriki kwnye vyo…
Na mwandishi wetu. Wanawake hawana nafasi kubwa ya kushiriki katika mikutano,mijadala na hawana ujasiri wa kutoa maoni yao haswa wanawake wa jamii ya kifungaji,na hii ni kutokana na mila na desturi kandamizi. Lakini zipo familia ambazo zimeweza kuachana na mila…
25 March 2024, 3:17 pm
MAKALA; Kutana na Neema mwanamke aliyeshinda mila zinazomzuia mwanamke kushiriki…
“Kuna wanawake ambao wameweza kukabiliana na mila na tamaduni kandamizi na wanashiriki kwenye vyombo vya maamuzi” Na Dorcas Charles. Katika jamii ya kimaasai wanawake mara nyingi hawananafasi ya kutoka majumbani na kwenda kushiriki katika mikutano mikuu ya vijiji ama vitongoji…
13 March 2024, 7:56 pm
Mama mjamzito apigwa nusura ujauzito utoke
Ukatili wa kijinsia bado unaendelea kuwa tishio kwa maisha ya wanawake wengi hasa kwenye jamii ya kimaasai, kufuatia vipigo kutumika kama sehemu ya adhabu inayotumiwa na baadhi ya wanaume wa jamii hii kwa wake zao. Na Joyce Elius. Bi. Penina…
9 March 2024, 10:09 am
NCAA yapokea gari la kutatua migogoro kati ya binadamu, wanayamapori
Na mwandishi wetu. Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongro (NCAA) imepokea gari aina ya Suzuki Jimny kutoka shirika lisilo la kiserikali la Elephant Protection Initiative (EPI) ya nchini Uingereza kupitia mbia wake Kampuni ya ulinzi ya GardaWorld Tanzania kwa lengo la…
16 February 2024, 8:12 am
Ni muhimu kuwepo na uwiano wa kijinsia katika nafasi za uongozi?
Pamoja na jitihada na utekelezaji wa sera katika kuhakikisha kunapatikana usawa wa kjinsia katika nafasi za kiuongozi mashirika ya kijamii pia yananafasi kubwa mno haswa kuhamasisha jinsia ambazo hazishiriki kwa sehemu kubwa katika kutafuta nafasi hizo za kiuongozi. Na Wanahabari…
3 January 2024, 11:41 am
DC Serera aagiza TAKUKURU kuwachukulia hatua waliouza ardhi ya kijiji Loiborsire…
“Jitihada hizi shirikishi zitachangia kuboresha usimamizi mzuri wa ardhi ya Vijiji na hatimaye itumike kwa maslahi ya Vijiji na Wananchi na si kwa Watu wachache wenye kujilimbikizia ardhi kinyemela bila kuiendeleza.” Dkt.Suleiman Serera ameandika katika ukurasa wake wa mtandao wa…
15 December 2023, 5:56 am
Ubunifu wa mashine ya kuchakata mazao aina 9 unavyowasaidia wakulima Arusha
Kwa mujibu wa Wizara ya Kilimo kupitia taarifa yake ya mwaka 2021 uzalishaji wa mazao ulikadiriwa kufikia tani mil.4 kwa mwaka lakini tani mil.1.5 hupotea kutokana na teknolojia duni. Uchakataji wa mazao nchini hasa kwa wakulima wadogo bado imeendelea kuwa…
13 December 2023, 3:27 pm
Biashara ya nyama choma kijiji cha Terrat
Biashara ya nyama choma ni moja ya biashara inayofanya vizuri haswa katika maeneo ya mijini lakini je Vijijini hali ikoje ? Kijiji cha Terrat kilichopo wilaya ya Simanjiro Mkoa wa Manyara huwa na Soko kila siku ya alhamisi ambapo wachuuzi…
15 June 2023, 9:19 am
MAKALA:Jinsi uchangiaji damu ulivyo na faida kwako mchangiaji.
Kuchangia damu kunafaida si kwa wale wanaokwenda kusaidiwa kwa ile damu uliyochangia lakini pia kwako mchangiaji,kwani unapata namba na cheti cha kuonesha kuwa ni mchangiaji damu kitakachokufanya utambulike kama mchangiaji damu. Na Isack Dickson Kila tarehe 14 ya kila mwaka…
17 March 2022, 9:58 pm
Msaada watolewa kwa watoto yatima karatu Arusha
Na Nyangusi ole sang’da Arusha,Wanawake kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa niaba ya wanawake wengine wa Taasisi zilizoko chini ya Wizara ya Maliasili na utalii leo tarehe 17 Machi, 2022 wametembelea kituo cha Watoto yatima cha Jesus life…