Nuru FM
Nuru FM
17 June 2025, 05:46
Kufuatia tamko la waziri wa TAMISEMI mh Mohamed Mchengerwa kuagizi ifikapo june 20 kuvunjwa kwa mabaraza ya madiwani Mkuu wa mkoa wa Mbeya akutana na madiwani Halmashauri ya jiji la na kuwapongeza Na Ezra Mwilwa Halmashauri ya Jiji la Mbeya…
16 June 2025, 9:47 PM
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla wamekumbushwa wajibu wao kwa watoto kwa kuzitambua haki za mtoto ili kuwalinda dhidi ya ukatili na kuwapa haki zao za msingi Na Lilian Martin Katika maadhimisho ya mtoto wa Afrika yaliyofanyika Wilayani Masasi na…
16 June 2025, 5:37 pm
Picha ya Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja akiwa na wandishi wa habari kwenye kikao cha kutoa tarifa juu ya ujio wa mwenge wa uhuru Kaskazini Unguja. Picha na Vuai Juma “Miradi ambayo inapitiwa na Mwenge wa uhuru ni alama ya…
3 June 2025, 6:58 pm
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), mtu mzima anapaswa kunywa angalau lita 200 za maziwa kwa mwaka. Hata hivyo, takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa wastani wa unywaji wa maziwa kwa Mtanzania ni lita 67.2 kwa mwaka, kiwango…
3 June 2025, 11:45 am
Taasisi ya CAHE imekuwa ikisaidia na kutatua changamoto za kijamii, hasa zinazowakumba watoto Na Ayoub Sanga Taasisi isiyo ya kiserikali ya Caring Hearts (CAHE) imeadhimisha miaka mitatu tangu kusajiliwa kwake kwa kutembelea Kituo cha kulelea watoto yatima na wenye mahitaji…
31 May 2025, 9:48 pm
Mara nyingi huduma hizi ninapatikana katika hospitali kubwa za kanda lakini leo tumefanikiwa kufanya upasuaji huu mkubwa hapa, ni upasuaji wa kwanza hapa Maweni. Na Abdunuru Shafii Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni Kigoma imetoa huduma ya upasuaji kwa mgonjwa…
18 May 2025, 8:51 pm
Mwalim Silvester aliyekosa tabasamu kwa miaka 6 baada ya kupata ajali iliyompa ulemavu ameanza safari mpya ya maisha baada ya kupatiwa kitimwendo cha umeme, miguu saidizi na toyo ya kumuingizia kipato. Na Hafidh Ally na Fredrick Siwale Hatimaye Mwalimu wa…
18 May 2025, 6:00 pm
Na Joel Headman Saa chache baada ya kupatikana kwa mchungaji wa kanisa la huduma ya Kristo lililopo Kata ya Muriet mtaa wa FFU mkoani Arusha Steven Jacob, mapya yameibuka leo kanisani kwake Ibada ya leo Jumapili iliyofanyika kanisani hapo, imeshuhudiwa…
12 May 2025, 2:36 pm
Toka kuundwe kwa dawati la kijinsia katika shule hiyo wanafunzi wamepata elimu ya kufahamu madhara ya mimba za utotoni na kufahamu namna ya kuepuka vishawishi Na Theresia Damasi Katika kuhakikisha ukatili dhidi ya watoto unakomeshwa na kupingwa vikali katika jamii,Shule…
12 May 2025, 2:09 pm
Suala la lishe nchini limekuwa ni tatizo kubwa ambalo serikali imejizatiti ili kuondoa kadhia hiyo ambayo imekuwa ikisababisha wananchi kupata matatizo ya kiafya kutokana na kukithiri kwa lishe duni . Na Asha Madohola Katika kuhakikisha wanafunzi wote wanapata chakula cha…