Mazingira FM

kijamii

28 April 2024, 3:02 pm

Wananchi Bunda wapewa somo kuepuka athari za kiboko

Kufuatia matukio yaliyoripotiwa wiki iliyopita ya kiboko kujeruhi na kuua, Afisa Wanyamapori TAWA atoa somo namna ya kuepuka athari za mnyama huyo Na Edward Lucas Wananchi wameaswa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Kiboko na kutoa taarifa mapema kwa mamlaka husika…

25 April 2024, 1:11 pm

Ofa ya zuku neema kwa wakazi wa Mara na mikoa jirani

Zuku yaombwa kufikisha huduma vijijini kutatua changamoto ya vingamuzi kuganda kipindi cha masika. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa uongozi wa kampuni ya  zuku kufikisha huduma ya visimbuzi vyao  vijijini ili nao wanufaike na huduma zao. Wito huo umetolewa na…

12 April 2024, 4:36 pm

Mwanamke akutwa amejinyonga chumbani kwake Bunda

Mwanamke mmoja liyetambulika kwa jina la Nyanjara Haruni Rubailo [48] amekutwa amefariki kwa kujinyonga nyumbani kwake Bunda. Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja liyetambulika kwa jina la Nyanjara Haruni Rubailo [48] amekutwa amefariki kwa kujinyonga nyumbani kwake Bunda. Akizungumza na Mazingira…

8 March 2024, 12:51 pm

Wananchi Nyasura washiriki kuchimba mitaro wapate maji

Imeelezwa kuwa ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo ni suala muhimu na la msingi katika kujiletea maendeleo katika vijiji na mitaa. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo ni suala muhimu na la msingi…

2 March 2024, 6:05 pm

Bobaboda wapewa onyo kali kujichukulia sheria mkononi

Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe Jumanne Sagini amekemea madereva pikipiki maarufu kama bodaboda kukiuka sheria za usalama barabarani. Na Adelinus Banenwa Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe Jumanne Sagini amekemea madereva pikipiki maarufu…