kijamii
28 April 2024, 3:02 pm
Wananchi Bunda wapewa somo kuepuka athari za kiboko
Kufuatia matukio yaliyoripotiwa wiki iliyopita ya kiboko kujeruhi na kuua, Afisa Wanyamapori TAWA atoa somo namna ya kuepuka athari za mnyama huyo Na Edward Lucas Wananchi wameaswa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Kiboko na kutoa taarifa mapema kwa mamlaka husika…
25 April 2024, 1:11 pm
Ofa ya zuku neema kwa wakazi wa Mara na mikoa jirani
Zuku yaombwa kufikisha huduma vijijini kutatua changamoto ya vingamuzi kuganda kipindi cha masika. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa uongozi wa kampuni ya zuku kufikisha huduma ya visimbuzi vyao vijijini ili nao wanufaike na huduma zao. Wito huo umetolewa na…
12 April 2024, 4:36 pm
Mwanamke akutwa amejinyonga chumbani kwake Bunda
Mwanamke mmoja liyetambulika kwa jina la Nyanjara Haruni Rubailo [48] amekutwa amefariki kwa kujinyonga nyumbani kwake Bunda. Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja liyetambulika kwa jina la Nyanjara Haruni Rubailo [48] amekutwa amefariki kwa kujinyonga nyumbani kwake Bunda. Akizungumza na Mazingira…
4 April 2024, 6:42 pm
Mbunge Maboto atoa milion 2 kwa umoja wa bajaji Bunda
Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto ametoa shilingi milioni mbili kwa chama cha waendesha bajaji bunda ikiwa ni sehemu ya kuwaunga mkono katika shughuli zao. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert…
4 April 2024, 5:24 pm
Mbunge wa Bunda mjini awataka viongozi wa mitaa na kata kulinda maeneo ya serika…
Mbunge Wa Jimbo La Bunda Mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewaomba viongozi ngazi za serikali za mitaa na kata kulinda maeneo ya serikali yaliyotengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo katika maeneo yao. Na Adelinus Banenwa Mbunge Wa Jimbo La…
28 March 2024, 9:50 am
Mtoto mwingine wa miaka 7 ajeruhiwa na fisi kijiji cha Mumagunga Bunda
Misipina Silivester 7 mkazi wa kitongoji cha Arusha kijiji cha Mumagunga halmashauri ya wilaya ya Bunda ameshambuliwa na fisi akiwa anaanua udaga mwambani karibu na nyumbani kwao. Na Adelinus Banenwa Mtoto mwingine ajeruhiwa na fisi kijiji cha Mumagunga zikiwa ni…
8 March 2024, 12:51 pm
Wananchi Nyasura washiriki kuchimba mitaro wapate maji
Imeelezwa kuwa ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo ni suala muhimu na la msingi katika kujiletea maendeleo katika vijiji na mitaa. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo ni suala muhimu na la msingi…
8 March 2024, 10:40 am
Kambarage atoa mabati 50 ujenzi nyumba ya katibu UWT Bunda
Mwenyekiti wa kamati ya fedha na uchumi CCM wilaya ya Bunda Eng Kambarage Wasira ametoa mabati 50 ujenzi nyumba ya katibu UWT Bunda Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa kamati ya fedha na uchumi CCM wilaya ya Bunda Eng Kambarage Wasira…
2 March 2024, 6:05 pm
Bobaboda wapewa onyo kali kujichukulia sheria mkononi
Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe Jumanne Sagini amekemea madereva pikipiki maarufu kama bodaboda kukiuka sheria za usalama barabarani. Na Adelinus Banenwa Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe Jumanne Sagini amekemea madereva pikipiki maarufu…
21 February 2024, 9:28 pm
Bajeti Bunda DC 2024 na 2025 ni zaidi ya bilioni 31.3
Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara tarehe 20 Feb, 2024 limeidhinisha makadirio ya bajeti ya mapato na matumizi ya zaidi ya shilingi bilioni 31.3 kwa mwaka wa fedha 2024 na 2025. Na Adelinus Banenwa Baraza la…