kijamii
26 January 2022, 7:55 am
Bunda: Nyumba tatu zabomolewa na wananchi wenye hasira kali kwa tuhuma za wizi
Nyumba tatu (slop) za mzee Paul Muhere Maneno mkazi wa mtaa wa Kilimahewa Kata ya Kabarimu halmashauri ya mji wa Bunda Mkoani Mara zimebomolewa na wananchi wenye hasira kali. Akizungumzia na Redio Mazingira fm,mtendaji wa Kata ya Kabarimu Ndugu William…
20 January 2022, 8:50 pm
Bunda: serikali ya wilaya kumtafuta mwananchi aliyepotea katika mazingira ya kut…
Waakazi wa kata ya Balili halmasahauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wametakiwa kuwa na subira kuhusu kupatikana kwa ndugu yao aliyetoweka katika Mazingira ya kutatanisha.Akizungumza katika kikao cha kupata ufumbuzi wa suala hilo katibu tawala wilaya ya Bunda Salum…
20 January 2022, 10:31 am
Serengeti: Wamuua kikongwe kwa ahadi ya laki tano
Watu wanne akiwemo mwanamke mmoja wakazi wa kijiji cha Rigicha wanashikiliwa na Polisi wilaya ya Serengeti kwa tuhuma ya mauaji ya kikongwe kwa ahadi ya ujira wa sh500,000 wakimtuhumu kwa ushirikina. Hata hivyo taarifa za awali zinadai kwamba hadi wanakamatwa…
13 January 2022, 6:24 am
Watu 14 wamepoteza maisha wakiwemo wanahabari watano m
Watu 14 wamepoteza maisha wakiwemo wanahabari watano na abiria wa kawaida katika ajali iliyohusisha magari mawili ikiwa moja ni la abiria aina ya Toyota Hiace na jingine lenye namba za usajili STK 8140 mali ya Serikali lililokuwa limebeba waandishi wa…
12 December 2021, 1:51 pm
BUNDA – mwingine apoteza maisha kwa kuliwa na mamba
Bahati Galaya 32 mkazi wa Myatwali kijana aliyeshikwa MAMBA eneo la Nyatwali mtaa wa Kariakoo Halmashauri ya Mji wa Bunda usiku wa kuamkia ijumaa ya tarehe 10 dec 2021 amepatikana akiwa amepoteza maisha Akizungumza na Redio mazingira fm mwenyekiti wa…
28 November 2021, 7:35 am
DC Nassar: Afunga shughuli za uchimbaji Madini Mgodi wa Kunanga Stooni baada ya…
Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Sharifu Mriba 26 mzanaki mkazi wa kyabakali amepoteza Maisha wakati akichimba Madini Mgodi wa Kunanga Tukio hilo limetokea tarehe 17 Nov 2021 katika machimbo ya Kunanga Stooni kinyambwiga kata ya Guta Halmashauri ya Mji…
19 October 2021, 5:26 pm
Wananchi wa Tamau wapata kivuko kipya kilichogharimu 420000/Tsh
Uongozi wa serikali ya mtaa wa Tamau kata ya Nyatwali Halmashauri ya mji wa Bunda leo umekabidhi kivuko kipya kwa wananchi wa eneo la Tamau ujaluoni ili kurahisisha shughuli za uvukaji katika eneo hilo. Akikabidhi mtumbwi huo uliogharimu kiasi cha…
5 October 2021, 5:48 pm
Bunda:- Hofu ya mamba na viboko wananchi walazimika kutumia maji ya kwenye madim…
Kutokana na matukio ya mara kwa mara ya wananchi kujeruhiwa au kuuawa na mamba, baadhi ya wananchi wamelazimika kuwa wanatumia maji yaliyotuwama kando kando ya barabara kwa hofu ya kwenda Ziwani au Mtoni kutoka na matukio hayo. Mazingira Fm imeshuhudia…
5 October 2021, 3:01 pm
Apoteza maisha wakati akivuka mkondo wa maji wa ziwa Victoria
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Dotto Mbogo au maarufu kama Mwanambogo mkazi wa Tamau kata ya Nyatwali Halmashauri ya mji wa Bunda amefariki dunia baada ya kuanguka na kufa maji katika mkondo wa mto Rubana na Ziwa Victoria. Mashuhuda…
3 October 2021, 11:07 am
Ahofiwa kupoteza Maisha wakati akivua samaki ziwa Victoria
Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Lugoye Ndimila (31) mkazi wa mtaa wa Kariakoo Kata ya Nyatwali Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara anasadikiwa kufariki duniani akiwa katika shughuli za uvuvi kando ya Ziwa Victoria usiku wa kuamkia tarehe…