kijamii
19 February 2024, 11:26 am
Nyatwali mbioni kulipwa
Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amelihakikishia baraza la madiwa la mji wa Bunda kuwa taratibu za kuwalipa wakazi wa Nyatwali zipo ukingoni na muda wowote kutoka sasa wakazi hao wataanza kulipwa. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya…
21 April 2022, 5:37 pm
mashindano ya Quran Bunda Ally Hashimu Hakimu aibuka mshindi
Ally Hashimu Hakimu ameibuka mshindi kwenye mashindano ya kutunza Quran tukufu wilaya ya Bunda mashindano hayop yamefanyika leo AprilĀ 16, 2022 katika msikiti wa Ijumaa Bunda mjini ambayo yameandaliwa na Kamati ya Kukuza na Kueneza UislamuĀ Bunda huku mgeni…
9 March 2022, 8:52 pm
Mh.Nassar: Azindua zoezi la Anwani za makazi Wilaya ya Bunda
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh Joshua Nassar amezindua rasmi zoezi la uwekaji wa anuani za makazi Hafla hiyo imefanyika viwanja vya stendi ya zamani Bunda mjini Leo march 9, 2022 Akizungumza kwenye uzinduzi huo mkuu wa Wilaya ya Bunda…
9 March 2022, 6:57 am
Mtangazaji wa Mazingira fm Tedy Thomas: atangazwa mwanamke shujaa Mkoa wa Mara k…
Wakati Dunia ikiadhimisha siku ya wanawake Duniani nchini Tanzania pia ni miongoni mwa mataifa yaliyoungana na Dunia kusherekea siku hii muhimu kwa kauli Mbiu isemayo *@Haki na usawa kwa maendeleo endelevu. Jitokeze kuhesabiwa#* Mkoani Mara Mwandishi wa Habari na mtangazaji…
8 March 2022, 9:36 am
UWT Bunda: watembelea hospital ya Manyamanyama kuwasalimia wanawake waliojifungu…
Kuelekea siku ya kilele Cha maadhimisho siku ya wanawake duniani march 8 jumuiya ya UWT wilaya ya Bunda na kamati ya utekelezaji chama Cha Mapinduzi wametembelea hospital ya Manyamanyama iliyopo Halmashauri ya Mji wa Bunda ili kuwaona wanawake waliojifungua katika…
8 March 2022, 7:49 am
Nassar: ili tumkomboe mwanamke inabidi tuanze na fikra Uchumi.
Halmashauri ya Mji wa Bunda imeadhimisha Siku ya Wanawake Duniani ambayo kidunia huadhimishwa tarehe 08/03/2022. Katika Maadhimisho hayo, Mgeni rasmi ambae pia ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Joshua Nassari amewapongeza wanawake wote wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya…
7 March 2022, 7:35 pm
Serengeti: kesi ya babu wawili waliobaka mjukuu kwa zamu mmoja akutwa na Hatia
HUKUMU YA KESI YA BABU WAWILI WALIOBAKA MJUKUU KWA ZAMU MMOJA AKUTWA NA HATIA SERENGETI.Mahakama ya Wilaya ya Serengeti imemhukumu Hamisi Maganga(50) mkazi wa kijiji cha Natta kutumikia kifungo cha miaka 30 na faini ya Sh1milioni kwa kosa la kubaka…
4 March 2022, 6:00 pm
WAFUNGWA MIAKA 20 KWA KUKUTWA NA MENO YA TEMBO NA BUNDUKI,
Washitakiwa wanne wa Ujangili wamefungwa kila mmoja kifungo cha miaka 20 katika Mahakama ya Wilaya ya Serengeti kwa kukutwa na meno manne ya tembo na bunduki aina Riffle 458 kinyume cha Sheria. Waliokumbwa na adhabu hiyo katika kesi ya Uhujumu…
3 February 2022, 8:17 am
Tembo waua tena wawili na kujeruhi mmoja Bunda
Watu wawili wamepoteza maisha na mwingine mmoja kujeruhiwa baada ya kushambuliwa na tembo wakati wakijaribu kuwafukuza tembo waliokuwa wamevamia makazi ya watu katika mtaa wa Bushigwamala kata ya Guta, Wilaya ya Bunda mkoani Mara. Akizungumzia tukio hilo mwenyekiti wa mtaa…
26 January 2022, 1:36 pm
Serengeti Mara: Ajinyonga Baada ya kuthibitika kuwachinja watoto wake wanne
Daud Samwel (30) mkazi wa Kitongoji cha Burunga Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara amejinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali yake baada ya kudhibitiwa kuwachinja watoto wake wanne kufuatia mke kumkimbia baada ya kuzidiwa na kipigo. Tukio hilo limethitibitishwa na na…