kijamii
29 September 2021, 10:22 am
Auawa kwa kisu kisa 1000 ya kamali
Ni Jumanne Jackson miaka 21 mkazi wa mtaa wa kabusule Kata ya Nyamakokoto Halmashauri ya Mji wa Bunda amechomwa kisu nakupoteza Maisha katika ugomvi wa kamali Tukio hilo limetokea September 28, 2021 majira ya jioni ambapo kwa kujibu wa mashuhuda…
28 September 2021, 4:48 pm
Wananchi wa Miembeni kata Bunda stoo wachimba Barabara kwa zana zao za asili
Wananchi wa mtaa wa Miembeni kata ya Bunda stoo Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara, wameamua kuchonga barabara za mitaa yao kwa kutumia zana za asili baada ya kukosa huduma hiyo kwa muda mrefu. Wakizungumza na Radio Mazingira fm…
28 September 2021, 4:26 pm
Mbunge wa Bunda mjini Robert Mabotto Afanya Ziara kata ya Nyasura
mbunge wa Jimbo la Bunda mjini Mh Robert Chacha Mabotto ametoa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milion mbili kwenye gereza la Bunda lililoko kata ya Nyasura Halmashauri ya Mji wa Bunda katika Ziara hiyo mh Mabotto aliongozana na…
16 September 2021, 9:42 am
Aweso: aagiza matumizi bora ya maji ya mabonde ya mito
By Thomas Masalu Waziri wa maji mheshimiwa Jumaa Aweso ameagiza bodi za maji za mabonde nchini kuhakikisha wanaandaa mipango ya matumizi ya maji katika mabonde madogo ili kuhakikisha matumizi bora ya maji katika shughuli za kijamii na kiuchumi. Aweso ametoa…
10 September 2021, 8:09 pm
Thomas Masalu mtangazaji Radio Mazingira Fm mshindi wa Tuzo za umahiri EJAT 2020…
by Adelinus Banenwa Mwandishi na mtangazaji wa redio mazingira fm Thomas Masalu ametwaa Tuzo ya Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT)2020 katika kipengele cha habari za Utalii na uhifadhi. akizungumza na mazingira baada ya kutangazwa mshindi thomas amesema Washindi…
10 September 2021, 10:12 am
Mh Mabotto: wananchi wa bunda mjini wamevumilia sana mradi wa maji
By Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda Mjini Mh Robert Chacha Mabotto amewataka wananchi wa jimbo hilo kuendelea kuwa wavumilivu kwenye suala la mradi wa maji kwa kuwa bado anazidi kulipigania Akizungumza na Radio Mazingira FM kwa njia ya…
6 September 2021, 4:43 pm
Bunda: Tembo aua mmoja ajeruhi mmoja
By Adelinus Banenwa Kwandu Mtorogo (67) mkazi wa mtaa wa butakare kata ya bunda stoo wilayani bunda amepoteza maisha kwa kukanyagwa na tembo wakati anatoka kusenya kuni Tukio hilo limetokea leo sept 5, 2021 ambapo kwa mujibu wa mashuuda wamesema…
2 September 2021, 7:55 pm
Bunda; 4 Sept 2021 siku ya usafi wilaya nzima
By Hawa Mbulula Katibu tawala wa wilaya ya bunda Salum Mtelela ametoa wito kwa wananchi wote wa bunda kwa ujumla kuwa tarehe 4/9/2021 siku ya jumamosi ni siku ya usafiĀ mkoa wa mara Mteela ameyasema hayo leo sept 2 ,2021…
2 September 2021, 8:56 am
Aliyekuwa DC Bunda aagwa baada ya kustaafu
By Adelinus Banenwa Umoja wa watumishi Makada wilaya ya Bunda mkoani Mara,leo umefanya sherehe ya kumuaga aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Bunda mwalimu Lydia Bupilipili na kumkaribisha mkuu wa wilaya ya Bunda Mheshimiwa Joshua Nasarr. Akizungumza wakati wa kufungua sherehe…
2 September 2021, 8:17 am
Mtangazaji wa Mazingira Fm Thomas Masalu amefanikiwa kutinga fainali za tuzo za…
Tuzo hizo zinazoandaliwa na baraza la habari Tanzania MCT, ndiyo tuzo kubwa zaidi za uandishi wa habari nchini, zinazopimwa kwa kushindanisha kazi Bora zilizowahi kuripotiwa nchini katika kipindi cha mwaka mzima. Thomas Masalu Mtangazaji na mwandishi wa Habari kutoka radio…