Karagwe FM

Kagera

9 November 2021, 11:52 am

200 wapewa mbinu ili kutimiza ndoto zao.

Imeelezwa kuwa suala la vijana kutumiwa na baadhi ya vikundi vya watu kuanzisha vurugu mbalimbali inaweza kuwa chanzo kikubwa cha kuhatarisha amani ya nchi na kuharibu ndoto za vijana kufikia malengo yao. Akizungumuza novemba 7 mwaka huu wakati wa kufunga…

6 November 2021, 11:35 am

Kitendawili kizito chateguliwa Bushenya!

Wananchi wanaoishi katika msitu wa Bushenya kata ya Nsunga wilaya ya Missenyi wametakiwa kuhama katika maeneo hayo kabla ya serikali kuanza operesheni ya kuwaondoa. Agizo hilo limetolewa na mkuu wa wilaya Misenyi Kanali Wilson Sakulo kupitia kikao cha Baraza la…

29 September 2021, 7:20 am

Katunguru wajisaidia vichakani na ziwani.

Baadhi ya wavuvi wanaofanya shughuli zao katika mwalo wa Katunguru kata ya Gwanseri wilayani Muleba wako hatarini kupata mlipuko wa magonjwa kutokana na mwalo huo kutokuwa na choo hali inayosababisha baadhi yao kujihifadhi vichakani na ziwani.

29 September 2021, 7:02 am

Ngeze achaguliwa kuwa mwenyekiti wa ALAT

Mweyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Bukoba Murshid Ngeze amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa mamlaka ya viongozi wa serikali za mitaa ALAT Taifa katika uchaguzi uliofanyika mwishoni mwa wiki Jijini Dodoma. Akiongea na Radio Karagwe kwa njia ya simu…

29 September 2021, 6:44 am

Maulidi kitaifa kuadhimishwa mkoani Kagera

Baraza kuu la waislamu Tanzania BAKWATA Makao makuu linatarajia kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume Muhammad maarufu kama Maulidi mwaka huu kitaifa mkoani Kagera. Akiongea na wandishi wa habari Septemba 28 mwaka huu Sheikh wa mkoa wa Kagera alhaji Haruna Kichwabuta…

31 August 2021, 11:10 am

Sensa ya majaribio kufanyika Sept 11,2021

Wakazi wa Kijiji cha Mutukula kilichoko Missenyi Mkoani Kagera wametakiwa kutoa ushirikiano ili kufanikisha sensa ya majaribio itakayofanyika tarehe 11 Septemba 2021 Akihamasisha Wananchi kushiriki zoezi la majaribio ya sensa katika Mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Mutukula kilichoko…

11 August 2021, 7:28 am

World Vision yatoa msaada wa Mil-16.

Shirika la World Vission mradi wa Missenyi ADP wilayani Missenyi, limekabidhi zaidi ya shilingi million 65 za matundu 16 ya vyoo vya wanafuzi katika shule za misingi Gabulanga, Rwazi na Kilimilile.

11 August 2021, 7:16 am

Viongozi: Epukeni upendeleo TASAF

Viongozi kwa kushirikiana na wananchi wilayani Karagwe wametakiwa kupitisha wananchi wenye kaya masikini kwa kuzingatia sifa za walengwa wa mfuko wa TASAF bila upendeleo ili kuepusha manung’uniko. wito huo umetolewa naye bwana AhamWito huo umetolewa na Bwana Ahamed Mafyu Kwaniaba…

2 August 2021, 9:34 am

Mtendaji wa kijiji atumbuliwa na Madiwani

Baraza la madiwani wilaya ya Karagwe mkoani Kagera limemfukuza kazi mtendaji wa kijiji cha Omkakajinja kata ya Rugela kwa tuhuma za kuuza Ardhi ya kijiji hekari 30. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Karagwe na Diwani kata ya Nyaishozi, Mhe. Wallace…

29 June 2021, 8:22 am

Agizo kwa waliopata Hati yenye mashaka.

Mkuu wa mkoa wa Kagera Meja General Charles Mbuge ameliagiza baraza la madiwani wa Halmashauri ya wilaya Karagwe mkoani Kagera kuhakikisha linawachulia hatua za kisheria  watumishi waliobainika kutumia vibaya madaraka ya ofisi na kusababisha Halmashauri hiyo kupata hati ya mashaka…