Kagera
20 April 2024, 1:59 pm
Serikali kujenga mabweni mawili sekondari Bugene
Shule ya sekondari Bugene wilayani Karagwe. Picha Na. Eliud Rwechungura Licha ya jitihada kubwa za serikali kuboresha miundo mbinu, shule nyingi za msingi na sekondari za umma hukabiliwa na baadhi ya changamoto ambazo kila mara huziwasilisha kwa viongozi wanapopata fursa…
19 April 2024, 2:39 pm
Bashungwa akunwa na uwekezaji wa KARADEA
Elimu ni urithi pekee usio hamishika kwa mwanadamu, tuwapeleke watoto shule ili wapate maarifa. Na Devid Geofrey: Waziri wa Ujenzi na mbunge wa jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa ametoa wito kwa viongozi na wasimamizi wa shule za serikali na binafsi…
16 April 2024, 8:10 am
DAS Karagwe akabidhi misaada ya Rais Samia kwa makundi maalum
Imekuwa desturi ya viongozi wakuu wa serikali na mashirika ya umma na binafsi kutoa zawadi za sikukuu za kidini kama Krismas, Mwaka mpya, Pasaka na hata Eid El fitri na eid el addha kwa ajili ya kuwezesha makundi maalum kufurahia…
16 April 2024, 1:18 am
DC Karagwe awakalia kooni askari wala rushwa
Rushwa ni adui wa haki, utu, heshima na haki msingi za binadamu hivyo jamii lazima ishiriki vyema kuitokomeza Na Devid Geofrey: Mkuu wa wilaya ya Karagwe mkoani Kagera Julius Kalanga Laizer amepiga marufuku vituo vya polisi kuwatoza wananchi fedha kwa…
6 April 2024, 3:47 pm
DC Kyerwa aitaka KDCU kuhamasisha matumizi ya miche bora ya kahawa iliyofanyiwa…
Mkuu wa wilaya ya Kyerwa Zaituni Abdallah Msofe akihutubia katika mkutano mkuu wa chama kikuu cha ushirika cha wilaya za Karagwe na Kyerwa, kushoto (aliyekaa) ni Mkuu wa wilaya ya Karagwe Julius Kalanga Laiser. Picha na: Eliud Henry Uchumi wa…
13 March 2024, 4:39 pm
CPCT Karagwe kupambana na ukatili wa kijinsia-Makala
Akofu wa kanisa la Calvary Assembles God Tanzania – Kagera ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Makanisa ya Kipentekoste Tanzania CPCT Wilaya Karagwe Askofu Danian Dominic Rwabutikula ameongoza wachungaji wa makanisa hayo na kujadili namna ya kutokomeza vitendo vya…
16 February 2024, 5:45 pm
Mabweni matatu Missenyi yapokea shilingi Milioni 517.8
Halmashauri ya wilaya ya Missenyi imeweka utaratibu wa kufuatilia hali ya utekelezaji wa miradi iliyopokea fedha za serikali kila robo ambapo kwa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2023/2024 wameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya elimu afya na maji…
29 January 2022, 10:01 pm
Halmashauri ya Missenyi yatoa mkopo shilingi Milioni 294.8
Halmashauri ya Wilaya Missenyi imetoa mikopo isiyo na riba yenye thamani ya shilingi milioni 294.8 kwa vijana,wanawake na watu wenye ulemavu Katika tukio lakukabidhi mikopo hiyo kwa vikundi 50 vya wajasiriamali, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Missenyi Projestus Tegamaisho amesema…
27 January 2022, 9:33 pm
WASTAAFU MILANGO YA KUSHIRIKIANA NA HALMASHAURI IPO WAZI~DED MULEBA
Na Lucia Binamungu, Muleba Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, Ndugu Elias Kayandabila amekutana na kufanya mazungumzo na Mstaafu Ndugu Angelo Paul Rutainurwa tarehe 27.01.2022, mkazi wa Kata ya Nshamba ambaye kwa sasa anajishugulisha na masuala ya ushauri…
16 December 2021, 3:22 pm
CWT Kagera, jiungeni na Benki ya Walimu
Katibu wa chama cha Walimu Tanzania CWT Mkoa Kagera Tinda Paulini amewaasa viongozi wa chama hicho wilayani Missenyi mkoani Kagera kuwekeza katika Benki ya Walimu ili kuondokana na mikopo kandamizi inayotolewa na baadhi ya taasisi za kifedha Akifunga mafunzo kwa…