Joy FM

BoT

5 June 2024, 11:43

BoT yawataka wananchi kutunza fedha kwa njia sahihi

Katika kuhakikisha fedha zilizopo kwenye mzunguko nchini zinaendelea bora na kutokuwa na madhara kwa watumiaji, Benki kuu ya tanzania imeelekeza wananchi kuhakikisha wanaweka pesa zao katika mazingira rafiki. Na Tryphone Odace Wito umetolewa kwa wananchi nchini kutunza fedha kwa njia…

3 May 2024, 7:43 pm

Kemikali ya zebaki tishio kwa wachimbaji Geita

Kukosekana kwa mbadala wa kemikali yenye gharama nafuu ya uchenjuaji wa madini ya dhahabu, imeendelea kuziweka rehani afya za wachimbaji wa madini mkoani Geita kwa kutumia kemikali ya zebaki yenye madhara kiafya. Na Mrsiho Sadick – Geita: Serikali imeanza kutoa…

3 May 2024, 09:48

Wanawake jitokezeni kupata mafunzo ya kujenga ndoa zenu

Kutokana na utandawazi kuendelea kukua katika ulimwengu huu wanawake wametakiwa kujitokeza katika semina mbalimbali kujifunza namna bora ya kuishi kwenye ndoa zao. Na Iman Anyigulile Wanawake mkoani Mbeya wametakiwa kujifunza mara kwa mara mafundisho ya ndoa ili kuweza kuimarisha ndoa…

16 April 2024, 10:04 am

Mfumo wa stakabadhi ghalani kuwanufaisha wakulima Simiyu

  Na Nicholaus Machunda Wakulima Mkoani Simiyu wapata mwarobaini wa bei ya mazao baada ya kilio cha muda mrefu cha kukosa soko la uhakika Wananchi  Mkoani  Simiyu  Wameishukuru  Serikali  Kuruhusu  kuuza  Mazao  yao  ya  Nafaka  kupitia  Mfumo  wa  Stakabadhi  Ghalani …

April 7, 2024, 4:30 pm

Cherehani apongezwa kuwezesha mawasiliano, atoa ahadi ya maji

“Mpaka sasa jimbo la Ushetu tunaendelea kulifungua kwa miradi mbalimbali ikiwemo ya barabara na madaraja kwenye barabara zinazohitaji madaraja hivyo serikali chini ya mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Ushetu tunamshukuru kwa kuendelea kutupatia fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi…