BoT
29 July 2024, 11:16 am
Mwanamke atoa mimba na kukitupa kiumbe kwenye shimo la choo
Mwanamke adaiwa kutoa mimba ya miezi saba na kukitupa kiumbe kwenye shimo la choo mjini Bunda. Na Adelinus Banenwa Tukio limetokea July 29, 2024 mtaa wa Makumbusho kata ya Nyasura Halmashauri ya mji wa Bunda. Mwenyekiti wa mtaa wa Makumbusho…
21 July 2024, 8:27 pm
Mwalimu amsumbua mwanafunzi kimapenzi, mzazi amhamisha shule
Na Thomas Masalu Robert Chilare, mzazi wa mwanafunzi wa kike wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Mekomaliro, iliyoko kata ya Mihingo, wilaya ya Bunda, amemhamishia mtoto wake shule nyingine baada ya kuteswa mara kwa mara na mmoja wa…
3 July 2024, 16:25
Hizi ndizo sababu za kuvunjika kwa ndoa nyingi katika karne ya sasa
Je,unafahamu sababu za kuvunjika kwa ndoa nyingi katika karne ya sasa?Ziko sababu nyingi zinatajwa na inawezekana ukizijua zitakusaidia. Na Hobokela Lwinga Mabadiliko ya sayansi na teknolojia yatajwa kuwa sababu kubwa ya ongezeko kubwa la talaka Kwa wanandoa wengi. Hayo yemesemwa…
5 June 2024, 12:12
“Wafanyabiashara fanyeni miamala benki kuepuka fedha bandia”
Wafanyabiashara nchini wametakiwa kutumia benki kuu ya tanzania ili kuhakiki pesa zao kabla ya kufanya miamla ya pesa kwa lengo la kuepuka kuoewa pesa bandia. Na Tryphone Odace Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa wito kwa wafanyabiashara nchini kufanya miamala…
5 June 2024, 11:43
BoT yawataka wananchi kutunza fedha kwa njia sahihi
Katika kuhakikisha fedha zilizopo kwenye mzunguko nchini zinaendelea bora na kutokuwa na madhara kwa watumiaji, Benki kuu ya tanzania imeelekeza wananchi kuhakikisha wanaweka pesa zao katika mazingira rafiki. Na Tryphone Odace Wito umetolewa kwa wananchi nchini kutunza fedha kwa njia…
3 May 2024, 7:43 pm
Kemikali ya zebaki tishio kwa wachimbaji Geita
Kukosekana kwa mbadala wa kemikali yenye gharama nafuu ya uchenjuaji wa madini ya dhahabu, imeendelea kuziweka rehani afya za wachimbaji wa madini mkoani Geita kwa kutumia kemikali ya zebaki yenye madhara kiafya. Na Mrsiho Sadick – Geita: Serikali imeanza kutoa…
3 May 2024, 09:48
Wanawake jitokezeni kupata mafunzo ya kujenga ndoa zenu
Kutokana na utandawazi kuendelea kukua katika ulimwengu huu wanawake wametakiwa kujitokeza katika semina mbalimbali kujifunza namna bora ya kuishi kwenye ndoa zao. Na Iman Anyigulile Wanawake mkoani Mbeya wametakiwa kujifunza mara kwa mara mafundisho ya ndoa ili kuweza kuimarisha ndoa…
16 April 2024, 10:04 am
Mfumo wa stakabadhi ghalani kuwanufaisha wakulima Simiyu
Na Nicholaus Machunda Wakulima Mkoani Simiyu wapata mwarobaini wa bei ya mazao baada ya kilio cha muda mrefu cha kukosa soko la uhakika Wananchi Mkoani Simiyu Wameishukuru Serikali Kuruhusu kuuza Mazao yao ya Nafaka kupitia Mfumo wa Stakabadhi Ghalani …
April 7, 2024, 4:30 pm
Cherehani apongezwa kuwezesha mawasiliano, atoa ahadi ya maji
“Mpaka sasa jimbo la Ushetu tunaendelea kulifungua kwa miradi mbalimbali ikiwemo ya barabara na madaraja kwenye barabara zinazohitaji madaraja hivyo serikali chini ya mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Ushetu tunamshukuru kwa kuendelea kutupatia fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi…
20 February 2024, 3:28 pm
Uzinduzi soko la kijiji cha Engonongoi wilaya ya Simanjiro
Wakaazi wa kijiji cha Engonongoi iliyopo kata ya Terrat wilaya ya Simanjiro wameungana na wananchi wenzao na wafanyabiashara kutoka vijiji vya wilaya ya Simanjiro na wilaya za jirani katika ufunguzi wa soko katika kijiji cha Engonongoi. Na Baraka David Ole…