Jamii FM

Mtwara news

15 May 2024, 21:33 pm

Watuhumiwa 14 wakamatwa kuhusika na mali za wizi Mtwara

Napenda kuwajulisha wananchi kuwa mkoa wa Mtwara upo shwari dhidi ya uhalifu na Elimu ya kuzuia na kutanzua imeendelea kutolewa kwa wananchi kupitia wakaguzi wa kata katika maeneo mbalimbali ya mkoa. Na Musa Mtepa Jeshi la polisi mkoa wa Mtwara…

23 April 2024, 16:58 pm

RC Mtwara akabidhi vifaa vya TEHAMA kwa walimu

Vifaa hivi vitasaidia walimu kupakua na kujiongezea maarifa kupitia mtandao ambayo yatasaidia katika kuboresha hali ya ufaulu katika shule zetu Na Musa Mtepa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala  Leo tarehe 23/4/ 2024 amekabidhi vifaa vya TEHAMA kwa…

22 April 2024, 16:30 pm

Watumishi wa umma watakiwa kufanya kazi kwa weledi

Inaonesha kumekuwa na ongezeko la vitendo vya utovu wa nidha kwa  watu wa umma wakiwa kazini ikiwemo Rushwa na upungufu wa maadili. Na Mwanahamisi Chikambu Kamishina wa utumishi umma  Balozi John Haule amewataka watumishi wa umma mkoa wa Mtwara kufanya…

10 April 2024, 23:17 pm

RPC Mtwara: Zingatieni sheria za usalama barabarani

kKuvaa kofia ngumu kwa mwendesha wa pikiki ni suala la kisheria hivyo ni wajibu kwa maafisa usafirishaji (Bodaboda) wote mkoani Mtwara na abiria wake kuzingatia sheria hiyo. Na Musa Mtepa Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara Kamishna Mwandamizi…

6 April 2024, 20:58 pm

RC Kanali Sawala aitaka jamii ya Mtwara kuliombea Amani Taifa

 Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanal Patrick Sawala akitoa neno la shukrani kwa hadhira iliyojitokeza kufuturu hapo jana(Picha na Mtwara rs) Binadamu hakuna aliyekamilika  mmoja anaweza kumkosea mwingine kwa bahati mbaya bila kutambua hivyo tuendelee kusameheana Na Musa Mtepa Mkuu…

25 November 2021, 11:37 am

Tume ya Haki za Binadamu watoa elimu

“Hatuwezi kufanya peke yetu tunajua kwamba Tume ni Taasisi huru ya Serikali lakini lazima tufanye kazi kwa pamoja kwahiyo ni wajibu wetu mkubwa kama alivyosema ndugu yangu Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa tuendelee kuelimisha ndugu zetu Wananchi kwenye maeneo mbalimbali lakini…

9 July 2021, 16:30 pm

VIKUNDI 52 KUKOPESHWA MILIONI 205 MTWARA

Na Karim Faida. Jumla ya vikundi 52 kutoka Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara, wamepewa mkopo wenye thamani ya Tsh 205,047,000. Hayo yametanabaishwa na Afisa maendeleo ya jamii manispaa ya Mtwara mikindani mkoani hapa Bi Juliana Manyama jana katika hafla…