Jamii FM

Mtwara news

8 April 2021, 17:32 pm

Kizito aibuka mshindi uchaguzi TCCIA

Kizito Garnoma ameibuka mshindi kwa nafasi ya Mwenyekiti wa chama cha wafanyabiashara, kilimo na Viwanda TCCIA mkoa wa Mtwara kwa miaka minne ijayo. Kizito amechaguliwa kushika wadhifa huo leo katika ukumbi wa Tiffany Diamond Mtwara huku akishinda kwa kura 45…

14 March 2021, 18:08 pm

Wazazi simamieni ndoto za watoto wa kike

Shirika la Sports Development Aid (SDA) limeadhimisha siku ya Wanawake Duniani Machi 12, 2021 kwa kuandaa tamasha lililowakutanisha wanafunzi wa shule ya Msingi na Sekondari Naliendele zilizopo Manispaa ya Mtwara Mikindani Mkoani Mtwara. Lengo la tamasha hilo likilenga kuwapa elimu…