FM Manyara

Recent posts

22 July 2025, 11:37 pm

RC Sendiga azitaka NGOs kujikita kusaidia jamii 

Mashirika yasiyo ya kiserikali mkoani Manyara yametakiwa kujikita katika shughuli za kuisaidia jamii kwa kutatua changamoto zinazoikabili jamii hususani katika masuala ya lishe bora. Na Angel Munuo Wito huo umetolewa  leo na mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga wakati akifungua kikao…

20 July 2025, 8:25 pm

Kanisa la Mungu Tanzania lawataka waumini kushiriki uchaguzi mkuu

Waumini wa dhehebu la Kanisa la Mungu Tanzania wametakiwa kushiriki uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika october mwaka huu kwa amani na utulivu na kumchagua kiongozi mwenye sifa ya kuongoza. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na Profesa Pastory Majembe ambae ni…

18 July 2025, 5:15 pm

Wanahabari Manyara wapatiwa mafunzo ya ukaguzi

Waandishi wa habari mkoani Mmanyara wamepatiwa mafunzo ya kujengewa uwezo wa  kufanya shughuli zao za kuelimisha jamii zinazohusu habari za ukaguzi. Mafunzo hayo yametolewa na wataalamu kutoka Tasisi ya mkaguzi mkuu wa serikali (CAG) kwa lengo la kuwawezesha waandishi wa habari…

18 July 2025, 4:57 pm

Wananchi zaidi ya laki moja kunufaika na mradi wa maji Mbulu

Mwenge wa uhuru umezindua mradi wa  tenk la kuhifadhia  maji lenye ujazo wa lita million mbilis  lenye thamani ya zaidi ya shilingi billion 41 katika wilaya ya Mbulu kwakua  itasaidia kuondokana na changamoto ya ukosefu wa maji safi na salama…

13 July 2025, 11:39 pm

DC Kaganda awataka waandishi wa habari kukemea ukatili

Mkuu wa wilaya ya Babati mkoani Manyara Emmanuela Kaganda, amewataka waandishi wa habari mkoani Manyara kuendelea kuibua na kuripoti matukio ya kikatili ili wahusike wachukuliwe hatua kali za kisheria na vitendo hivyo vidhibitiwe . Na Mzidalfa Zaid Kaganda ametoa kauli…

13 July 2025, 11:04 pm

Wananchi zaidi ya 3,000 wanufaika na huduma ya maji Nadonjukin -simanjiro

Zaidi ya wanachi 3,000 Katika Kijiji cha Nadonjukin wilaya ya simanjiro Mkoani Manyara wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kutafuta Maji baada ya Mwenge wa Uhuru kuzindua  mradi wa Maji  kutoka RUWASA  uliogharimu zaidi ya Shilingi Million miasita. Na Emmy…

11 July 2025, 10:53 pm

TMDA yawaonya wananchi kuuza dawa sehemu za minada

Wafanya biashara wa dawa za mifugo mkoani Manyara wametakiwa kuacha Tabia ya kuuza dawa hizo katika minada au sehemu ambayo haitambuliwi na serikali kwani dawa hizo zinakuwa zimepoteza ubora na ufanisi. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa Leo  na afisa…

2 July 2025, 6:58 pm

Mwenge wa uhuru kukagua miradi 8 Babati mji

Jumla ya miradi nane yenye thamani ya sh Bilion 3.29 inatarajiwa kukaguliwa na kuwekewa mawe ya msingi wakati wa mbio za mwenge wa uhuru kwenye halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara ambapo utakimbizwa julai 15 mwaka huu. Na Mzidalfa…

2 July 2025, 4:05 pm

KINNAPA yaitaka jamii kuwapeleka shule watoto waliokatiza masomo

Jamii mkoani Manyara imetakiwa kuwarudisha shule wanafunzi  wa kike ambao walikatiza masomo yao kwa sababu mbali mbali ikiwemo ujazito, ndoa za utotoni au sababu nyingine ambazo zilipelekea wanafunzi hao kukatisha masomo yao. Na Mzidalfa Zaid

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.