FM Manyara

Recent posts

14 May 2025, 8:11 pm

Sendiga awataka wakulima kujiunga na vyama vya ushirika

Jukwaa la maendeleo ya vyama vya ushirika mkoa wa Manyara limefanyika leo, ambapo mkuu wa mkoa wa Manyara Qqueen Sendiga, amewataka wananchi kujiunga na vyama vya ushirika ili kunufaika na fursa zinazopatikana ndani ya vyama hivyo. Na Mzidalfa Zaid Mkuu…

13 May 2025, 6:49 pm

TAKUKURU Manyara  yaokoa zaidi ya shilingi milioni 300

Kaim Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Manyara Adam Mbwana, amesema TAKUKURU mkoa wa Manyara imeokoa zaidi ya  shilingi milioni 300 kwa kipindi cha janaury -march Na Mzidalfa Zaid Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa Manyara imeokoa…

12 May 2025, 2:16 pm

Wahalifu watangaziwa kiama Babati

Mkuu wa Wilaya ya Babati amezungumza na wananchi wa kata ya Galapo juu ya vitendo vya kihalifu hususani ukatili, huku akiahidi kuanza operesheni maalumu akishirikiana na dawati la jinsia kukomesha vitendo hivyo ambavyo si vya kiungwana na vyakujirudia mara kwa…

8 May 2025, 5:51 pm

Jamii Manyara yatakiwa kusaidia wasichana shuleni kupata taulo za kike

Na Mzidalifa Zaid Katibu Tawala Mkoa wa Manyara Maryam  Ahmed  Muhaji ameitaka jamii kuunganisha nguvu za pamoja katika kusaidia wasichana shuleni ili kupata taulo za kike katika kustawisha hedhi salama na kufanya vizuri katika masomo yao. Muhaji ameyasema wilayani  Babati…

7 May 2025, 5:27 pm

Wakulima Manyara tumieni mbegu za asili

Wakulimà mkoani Manyara watakiwa kuendelea kuzalisha mbegu za asili na kuzitumia kwa matumizi ya chakula na biashara ili zisitoweke kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi.  Na Angel Munuo Wakulimà mkoani Manyara  wametakiwa kulima kwa kutumia mbegu za asili za…

7 May 2025, 12:56 pm

Wakulima Manyara watakiwa kuacha kutegemea kilimo cha mvua

kwa upande wake  mwakilishi kutoka ofisi ya mkoa wa manyara Magreth wiza aliyekuwa mgeni rasmi,amesema kuna haja ya wakulimà kuvuna maji kipindi cha mvua ili kulima kilimo cha umwagiliaji hususani  msimu wa kiangazi na kuacha kutegemea mvuaa ambayo haitoi matokeao…

6 May 2025, 5:39 pm

Sillo awaasa wananchi Babati kushiriki uchaguzi mkuu Oktoba 2025

Serikali ya awamu ya sita kwa kushirikiana na taasisi ya Karimu Foundation na shirika lisilokuwa la Kiserikali la So They Can Tanzania (STC) imefanikisha miradi mbali mbali ya kimaendeleo ikiwemo ujenzi wa vituo vya fya. Na Marino kawishe Naibu waziri…

6 May 2025, 5:31 pm

So They Can Tanzania kupiga jeki ujenzi wa madarasa

Mkurugenzi mkaazi wa shirika la So They Can Tanzania (STC)  amesema kipaumbele cha mradi unaotekelezwa na shirika hilo ni uboreshaji wa madarasa, majiko banifu pamoja na ujenzi wa vyoo vipya kwenye shule za msingi na sekondari. Na Marino Kwishe Zaidi…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.