Podcasts
19 December 2022, 11:27 am
Kipindi: Wanawake na Msimu wa Korosho
Na Grace Hamisi sikiliza makala haya juu ya kinachotokea kwa wanawake mara baada ya msimu wa korosho kuisha. Sikiliza Hapa
19 December 2022, 11:14 am
Kipindi: Mwanamke na kutokuwa na uhuru wa kujieleza
Na Grace Hamisi Sikiliza kipindi ambacho kimeandaliwa na mwandishi wetu juu ya uhuru wa mwanamke katika kujieleza pale anapokuwa katika maeneo ya kazi. Sikiliza hapa
16 December 2022, 10:19 AM
Waandishi wa Habari Radio Fadhila wapigwa Msasa
Na Lawrence Kessy Waandishi wa Habari wa Kituo cha Radio Fadhila wamepata mafunzo ya jinsi ya kuandaana kuchakata habari za Mitandao ya Kijamii pamoja na kuzingatia maadili ya tasnia ya habari Mafunzo hayo yametolewa Alhamisi Desemba 15, 2022 na Amua…
12 December 2022, 2:26 pm
Serikali yaahidi kuendeleza ushirikiano na viongozi wa dini
Serikali imeahidi kuendelea kushirikiana na viongozi wa Dini hapa nchini kwakuwa wamekuwa msaada katika kuchochea shughuli mbalimbali za maendeleo pamoja na kupambana na vitendo vya Ukatili wa kijinsia katika jamii. Kauli…
2 December 2022, 17:32 pm
Wakulima washauriwa kufuatilia utabiri wa hali ya hewa ya hewa wa kilimo
Na Mussa Mtepa Wakulima wameshauriwa kuacha kilimo cha mazoea na kuanza kufuata taratibu zinazoelekezwa na wataalamu wa kilimo. Akizungumza na Jamii fm Radio afisa utabiri wa hali ya hewa kutoka kituo cha utafiti na kilimo TARI Naliendele Omari Rashidi Kahoki…
30 November 2022, 18:07 pm
Ufafanuzi juu ya adhabu za kujihusisha na Dawa za kulevya
Na Musa Mtepa, Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya imejipanga kuweka adhabu kali kwa watu wote wanaojihusisha uuzaji na madawa ya kulevya ikiwemo Walimaji na watumiaji wa Bangi nchini. Wakiwa kwenye Wiki ya Maadhimisho ya siku ya…
30 November 2022, 12:12 pm
Ujanja ni kuchanja – sikiliza kipindi kuhusu chanjo ya Uviko 19
Na Mohamed Massanga Chanjo ya uviko 19 imekuwa na mapokezi mazuri kwa jamii ya watu wa mkoa wa mtwara na lindi, sikiliza kipindi hiki upate elimu juu ya chamjo na usikilize shuhuda za watu waliochanja.
28 November 2022, 14:54 pm
Tunajenga chuo cha Mafuta, Gesi na Umeme ili kuwajengea uwezo watu wetu
Waziri wa Nishati, Januari Makamba akiwa kwenye utiaji saini mkataba wa uzalishaji na ugawanaji mapato (PSA) kitalu cha Ruvuma – Mtwara, Waziri Makamba amesema >> ‘Ndugu zangu wa Lindi na MTWARA – sasa nchi yetu inaanza kuingia kwenye uchumi wa…
November 17, 2022, 6:29 pm
Wanafufunzi kidato cha nne watakiwa kuepuka udanganyifu
Wanafunzi wa kidato cha nne wilayani Kahama mkoani Shinyanga waliotahiniwa kufanya mtihani wa taifa wa kidato cha nne wametakiwa kuepuka udanganyifu kwenye chumba cha mtihani ulioanza hii leo Novemba 14, 2022. Wito huo umetolewa leo Novemba 14,2022 na mkuu wa…
November 9, 2022, 12:32 pm
KAHAMA:Washinda Kaburini wakimuomba Rais Samia awasaidie kurejesha Ardhi yao ili…
Wajukuu wa Marehemu Mussa Sekke Wakiwa Wamekaa kwenye Kaburi Katika hali isiyo ya kawaida wajukuu wa Marehemu Musa Sekke Kasuka wa kijiji cha Mpera Kata Ya Isagehe wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameamua kushinda kwenye kaburi la babu yao Wakimuomba Rais…