Podcasts

16 December 2022, 10:19 AM

Waandishi wa Habari Radio Fadhila wapigwa Msasa

Na Lawrence Kessy Waandishi wa Habari wa Kituo cha Radio Fadhila wamepata mafunzo ya jinsi ya kuandaana kuchakata habari za Mitandao ya Kijamii pamoja na kuzingatia maadili ya tasnia ya habari Mafunzo hayo yametolewa Alhamisi Desemba 15, 2022 na Amua…

12 December 2022, 2:26 pm

Serikali yaahidi kuendeleza ushirikiano na viongozi wa dini

                   Serikali imeahidi kuendelea kushirikiana na viongozi wa Dini hapa nchini kwakuwa wamekuwa msaada katika  kuchochea shughuli mbalimbali za maendeleo pamoja na kupambana na vitendo vya Ukatili wa kijinsia katika jamii. Kauli…

30 November 2022, 18:07 pm

Ufafanuzi juu ya adhabu za kujihusisha na Dawa za kulevya

Na Musa Mtepa, Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya imejipanga kuweka adhabu kali kwa watu wote wanaojihusisha  uuzaji na madawa ya kulevya ikiwemo  Walimaji na watumiaji wa Bangi nchini. Wakiwa kwenye Wiki ya Maadhimisho ya siku ya…

November 17, 2022, 6:29 pm

Wanafufunzi kidato cha nne watakiwa kuepuka udanganyifu

Wanafunzi wa kidato cha nne wilayani Kahama mkoani Shinyanga waliotahiniwa kufanya mtihani wa taifa wa kidato cha nne wametakiwa kuepuka udanganyifu kwenye chumba cha mtihani ulioanza hii leo Novemba 14, 2022. Wito huo umetolewa leo Novemba 14,2022 na mkuu wa…