Podcasts
4 September 2023, 5:19 pm
Fahamu asili ya jina Dodoma
Je ni kweli jina la Dodoma lilitokana na tembo kudidimia katika eneo la Kikuyu kilipo chuo cha mtakatifu Yohana leo hii?
3 September 2023, 11:00 am
Maonesho ya sita ya madini Geita, kusisitiza uhifadhi wa mazingira
Maonesho ya sita ya Madini yanayotarajiwa kufanyika mwaka huu mkoani Geita, yanatajwa kuwa chachu ya kuufungua mkoa kiuchumi na kuongeza fursa mbalimbali za uwekezaji katika sekta ya Madini. Na Said Sindo -Geita Bwana Charles Chacha kutoka Idara ya Uwekezaji, viwanda…
30 August 2023, 12:19 pm
Kipindi: Uchumi wa bluu kuwainua wanawake Pemba
Wanawake wilaya ya Mkoani wanufaika na sera ya uchumi wa bluu kwa kujishughulisha na shughuli mbalimbali zikiwemo kilimo cha mwani ambacho ni maalum kinacholimwa baharini na kwa sasa ni kilimo biashara ambacho wakaazi wanaoishi mwambao wa bahari wanalima kibiashara.
29 August 2023, 2:27 pm
Wanandoa waaswa kuacha mfumo dume
Wanandoa katika manispaa ya Tabora wametakiwa kuacha dhana ya mfumo dume na badala yake washirikiane katika masuala ya uzalishaji mali na kisha kutoa maamuzi ya pamoja kwa ajili ya maendeleo. Zaituni Juma ametuandalia taarifa ambayo imeangazia umuhimu wa ushirikino kwa…
29 August 2023, 1:29 pm
Huduma ya kuzalisha wajawazito yarejea kisiwani Tumbatu
Kurejea kwa huduma za kuzalisha akina mama wajawazito Tumbatu kutawaondoshea usumbufu akina mama hao kisiwani humo. Mwandaaji ni Maulid Juma na Msimulizi ni Mwanahawa Hassan.
24 August 2023, 3:37 pm
Kipindi: NGOs Pemba zafanikiwa kukabiliana na kesi za udhalilishaji
21 August 2023, 6:15 pm
Jinsi ajira kwa watoto zinavyoathiri maisha ya mtoto
Alfred Bulahya amezungumza na binti ambaye aliajiriwa katika umri mdogo lakini mwajiri wake aliamua kumuendeleza kielimu. Na Alfred Bulahya. Ajira kwa watoto inarejelea unyonyaji wa watoto kupitia aina yoyote ya kazi ambayo inawanyima utoto wao, inaingilia uwezo wao wa kuhudhuria shule ya kawaida, na inawadhuru kiakili,…
21 August 2023, 5:55 pm
Jukumu la afya ya uzazi si la mama peke yake-Dkt. Festo Mnyiriri
Na Zaituni Juma Wanaume katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora wamekumbushwa kujali afya ya mama mjamzito na hata baada ya kujifungua. Zaituni Juma ametuandalia taarifa ambayo imelenga ushiriki wa wazazi wote wawili (baba na mama) kwenda kliniki kwa pamoja hasa …
21 August 2023, 10:34 am
Makala – Urejeshaji masomoni kwa wasichana waliokatisha masomo
Na Musa Mtepa Mdondoko wa wanafunzi katika masomo ya sekondari kutokana na mambo mbalimbali ikiwemo mimba, selikari ya awamu ya sita imetoa jukumu kwa wazazi kuwarejesha masomoni watoto wa kike ili waweze kuendelea na masomo. Bonyeza hapa kusikiliza makala haya
19 August 2023, 4:38 pm