Dodoma FM

ulinzi

17 August 2023, 4:19 pm

Bei ya maharage yazidi kupaa sokoni

Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa hivi karibuni kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu ilibainisha bei ya mazao ya chakula ikiwemo maharage imepungua kutoka asilimia 33.5 hadi asilimia 28.3 kwa mwaka ulioshia mwezi Julai 2023 ikilinganishwa na mwaka ulioshia mwezi Juni…

15 August 2023, 5:44 pm

Wafanyabiashara Sabasaba walalamika kusumbuliwa

Ikumbukwe kuwa kituo cha daladala katika soko hilo kilihamishiwa katika soko la Machinga complex lililopo Bahi road Jijini Dodoma. Wafanyabishara katika eneo la sabasaba wamelalamika kusumbuliwa na baadhi ya watu wanao dai kupewa eneo hilo kwaajili ya kuuzia nguo za…

8 August 2023, 5:06 pm

Wajasiriamali waeleza kunufaika na elimu ya biashara

Shirika la Wanawake na Uchumi wa Viwanda Wauvi limekuwa mnyororo wa kuwakutanisha wajasiriamali mbalimbali na kuwapa elimu juu ya ujasiriamali na namna ya kukabiliana na masoko ya kiuchumi. Na Yussuph Hassan.Wajasiriamali kutoka maeneo mbalimbali Dodoma wanajivunia mafanikio mbalimbali kupitia elimu…

2 August 2023, 1:36 pm

Vijana sokoni Majengo waeleza kunufaika na ubebaji mizigo

Wanasema kazi hiyo inawasaidia kujiingizia kipato chao cha kila siku na kuwasaidia kujikwamua kiuchumi. Na Aisha Shaban. Baadhi ya vijana wanaojishughulisha na shughuli ya kubeba mizigo kwa kutumia mikokoteni wameeleza namna shughuli hiyo inavyowasaidia kuendesha shughuli zao na kujikwamua kiuchumi.…

25 July 2023, 1:26 pm

Wawekezaji wazidi kuongezeka Dodoma

Watu mbalimbali wanakaribishwa kuwekeza katika jiji la Dodoma kwani kuna fursa mbalimbali za uwekezaji. Na Thadei Tesha. Kufuatia kukua kwa jiji la Dodoma pamoja na ongezeko la watu kumepelekea wawekezaji mbalimbali kupata fursa ya kuwekeza katika maeneo mbalimbali ya mkoa…

18 July 2023, 6:30 pm

Wananchi waeleza umuhimu na faida za vikundi

Baada ya kuwepo kwa mfululizo wa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa kujiunga katika vikundi mbalimbali vya kuweka na kukopa sasa wananchi wameelewa umuhimu wa vikundi hivyo . Na Aisha Shaban. Baadhi ya wananchi jijini Dodoma wameeleza juu ya…

12 July 2023, 2:45 pm

Bei ya vitunguu maji yazidi kupanda  

Wastani wa bei ya vitunguu maji katika masoko mbalimbali ya jiji la Dodoma ni kati ya shilingi 10000 kwa ujazo wa sado moja na shilingi laki tatu na elfu ishirini kwa ujazo wa gunia moja. Na Thadei Tesha. Wakazi wa…

10 July 2023, 4:49 pm

Biashara ya tangawizi, vitunguu swaumu yadoda Dodoma

Kwa sasa miongoni mwa viungo vinavyoonekena kushamiri katika masoko mbalimbali jijini Dodoma ni pamoja na vitunguu swaumu na tangawizi ambapo wengi wa wafanyabiashara hao wanasema kuwa msimu wa bidhaa hizo ni sasa kutoka mashambani. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara…

7 July 2023, 6:12 pm

Msimu wa mavuno, bei ya mchele yashuka sokoni

Kwa sasa wastani wa bei ya mchele sokoni ni kati ya shilingi 2,300, 2,500 na kuendelea ambapo hapo awali ilikuwa kati ya shilingi 3,000, 3,500 na kuendelea na kwa mujibu wa wafanyabiashara wanasema kushuka kwa bei ya bidhaa hiyo kumetokana…

7 July 2023, 5:27 pm

Wafanyabiashara Dodoma watakiwa kwenda maeneo waliyotengewa

Mara kadhaa Dodoma Tv imeshuhudia baadhi ya wafanyabiashara wakilalamikia mgambo wa jiji kuwafukuza katika maeneo ambayo wamekatazwa kufanya biashara ambapo mara kadhaa halmashauri ya jiji imekuwa ikiwataka kuhamia katika maeneo waliyopangiwa. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara wanaofanya biashara katika eneo lilopo…