Dodoma FM

mazingira

24 November 2025, 10:04 pm

Wakulima Iringa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

Wananchi wanakumbushwa kudumisha uhifadhi wa mazingira huku wakichukua hatua za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Na Joyce Buganda Nuru FM imekuandalia makala fupi kuhusu mkakati wa serikali mkoani Iringa wenye lengo la kuwaunganisha wananchi katika mifumo na miradi…

16 November 2025, 15:37 pm

Wafanyabiashara Mtwara walia na ongezeko la tozo

Wafanyabiashara wa Mtwara wamelalamikia ongezeko la tozo na ushuru linalodaiwa kupandisha bei za bidhaa, huku wakitaka serikali kupitia upya kanuni hizo. Manispaa imesisitiza kuwa tozo zinatekelezwa kwa mujibu wa sheria na iko tayari kushughulikia malalamiko kupitia majadiliano Na Musa Mtepa…

16 November 2025, 15:23 pm

Mtwara kutenga milioni 500 kuboresha Soko Kuu

Manispaa ya Mtwara–Mikindani imetangaza mpango wa kutenga zaidi ya shilingi milioni 500 kwa ajili ya kuboresha Soko Kuu la Mtwara, ikilenga kuboresha miundombinu na mazingira ya biashara huku wafanyabiashara wakiyakaribisha maboresho hayo na kuomba kupewa kipaumbele baada ya ujenzi kukamilika…

16 November 2025, 10:08 am

DC Mtwara awataka wajasiriamali kuwajibika kwa mikopo

Mkuu wa Wilaya Abdala Mwaipaya amesisitiza uwajibikaji huo kwenye mkutano wa WABISOKO na kuwapongeza wafanyabiashara kwa kudumisha amani na kuwasilisha changamoto zao kwa utulivu. Makamu Mwenyekiti Rashidi Johana amewasilisha maendeleo na changamoto za ushirika. Na Musa Mtepa Wajasiriamali wametakiwa kutimiza…

11 November 2025, 4:55 pm

Barabara za TACTIC Geita mjini kukamilika mapema mwaka kesho

Mkandarasi wa mradi huo hatapewa muda wa nyongeza baada ya siku 100 kukamiliza mapema mwezi wa pili mwaka kesho. Na Mrisho Sadick: Wananchi wa Mtaa wa Mwatulole Manispaa ya Geita Mkoani Geita wameiomba serikali kuendelea kumsukuma mkandarasi anayetekeleza mradi wa…

27 October 2025, 4:13 pm

Makala: Uongozi si jinsia, ni uwezo

Sikiliza hoja zenye kutafakalisha, simulizi za kweli, na sauti zinazovunja ukimya kuhusu ushiriki wa wanawake kwenye maamuzi ya nchi. Na Dina Shambe na Edward Lucas Katika kipindi hiki maalumu cha Redio Mazingira FM ,wachambuzi wa masuala ya kijamii,Viongozi wanawake,na wananchi…

25 October 2025, 14:45 pm

Vikundi vya Jogging Mtwara vyahamasisha uchaguzi wa Amani

Vikundi kumi vya jogging Mtwara Mikindani vimeshiriki mbio fupi kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, zikiwa na kaulimbiu “Mazoezi kwa Afya, Uchaguzi wa Amani ni Msingi wa Maendeleo.” Na Musa Mtepa MTWARA-Vikundi kumi vya jogging kutoka…

21 October 2025, 8:08 am

TAMWA yaja na mkakati wa kutetea usawa wa kijinsia

“Kufuatia matokeo hayo wamiliki wa vyombo vya habari wanahitaji kuongeza juhudi zaidi katika kufikia mkakati wa serikali unaolenga kuwa na 50% ya uwakilishi sawa kwenye vyombo vya maamuzi ikiwemo Bunge na Baraza  la wawakilishi kwa upande wa Zanzibar kwa kuruhusu…

October 20, 2025, 9:30 pm

Wananchi jiepusheni na vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu

”Hakuna jasho la Mtu linalotumika bure kama wananchi watachagua viongozi wanaotoa rushwa viongozi hao watakaposhinda watatumia muda wao mwingi kurejesha fedha walizotumia kuhonga wananchi hivyo huduma za kijamii kuwa duni”William Eliyau ambae ni Mchunguzi kutoka tasisi ya kuzuia na kupambana…

19 October 2025, 4:25 pm

Elimu juu ya madhara ya mila ya ukeketaji sehemu 4

Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…