mazingira
21 December 2020, 2:47 pm
Waziri wa Maji afanya ziara ya kushtukiza kukagua uchimbaji visima
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji wa Mzakwe wenye thamani zaidi ya milioni 200 unaotarajiwa kuzalisha maji lita laki nne kwa saa katika kuendelea kupunguza adha ya maji kwa Mkoa wa…
18 December 2020, 3:41 pm
Kila Halmashauri ipande miti milioni moja na laki tano
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Serikali imewataka maafisa mazingira wa Mikoa yote Nchini kuhakikisha Halmshauri zote zilizopo katika Mikoa yao zinapanda miti milioni moja na laki tano kila mwaka ili kuhifadhi mazingira kwa vizazi vya sasa na vijavyo.Akizungumza na Waandishi wa habari…
2 December 2020, 8:38 am
Wananchi Wilayani Kongwa wanavyoshiriki kutunza mazingira
Na Selemani Kodima Dodoma. Ushirikiano wa wananchi na Uongozi wa Kijiji cha Sejeli Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma umetajwa kama njia inayoweza kukomesha uharibifu wa mazingira hususani ukataji wa Miti hovyo. Hayo yanajiri baada ya hivi karibuni Uongozi wa Kijiji…