mazingira
3 June 2021, 12:35 pm
Maafisa mazingira wametakiwa kuhakikisha sheria ya mazingira inazingatiwa
Na; Mariam Matundu. WAZIRI wa nchi,Ofisi ya Makamu wa Rais,Muungano na Mazingira Selemani Jafo amewataka maafisa Mazingira katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha Sheria ya Mazingira ya Mwaka 2004 inasimamiwa katika maeneo yao. Hayo yamesemwa leo Jijini Dodoma na…
2 June 2021, 10:55 am
Vikundi vya ukusanyaji taka vimetakiwa kufuata utaratibu ili kupunguza kero ya m…
Na; Sani Nicolous. Wito umetolewa kwa vikundi vya kukusanya taka katika maeneo mbalimbali jijini Dodoma kuzingatia utaratibu waukusanyaji taka uliowekwa na viongozi ili kupunguza kero zilizopo mtaani. Akizungumza na Dodoma fm Afisa mazingira Bw. Dickson Kimaro amesema kuwa utaratibu ukifuatwa…
1 June 2021, 10:29 am
Jiji la Dodoma laagizwa kupanda miti katika maeneo yake yote
Na; Mariam Matundu. Waziri mkuu wa Jmuhuri ya muungano wa Tanzania Mh.Kassimu Majaliwa ameliagiza jiji la Dodoma kuweka mpango mkakati wa maeneo yaliyopimwa na yanayopimwa kupandwa miti ili kuifanya Dodoma kuwa ya kijani . Waziri mkuu ametoa kauli hiyo wakati…
31 May 2021, 12:54 pm
Mrundikano wa taka wahatarisha maisha ya wakazi wa Ilazo
Na; Shani Nicolous. Wakazi wa mtaa wa Ilazo kati kata ya Ipagala jijini Dodoma wamelalamikia ucheleweshwaji wa uondoshaji wa taka takika mazingira yao hali inayosababisha kuzagaa kwa uchafu mtaani. Wakizungumza na Dodoma fm wakazi hao wamesema kuwa kuna wakati taka…
29 May 2021, 3:29 pm
Halmashauri zaagizwa kupanda miti Milioni moja na laki tano
Na; Mindi Joseph. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh.Seleman Jafo ameziagiza Halmshauri zote nchini kupanda miti isiyopungua Milioni moja na laki tano kila mwaka ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Waziri Jafo ametoa maagizo…
24 May 2021, 1:54 pm
Uharibifu wa mazingira ni chanzo cha mabadiliko ya tabia Nchi
Na;Mindi Joseph . Uharibifu wa mazingira nchini umetajwa kuchangia kuongezeka kwa mabadiliko ya tabia nchi hali ambayo imepelekea kiwango cha maji kuzidi kuongezeka Nchini Tanzania. Akizungumza jijini Dodoma leo Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh.Selemani Said Jafo…
18 May 2021, 9:02 am
Wakazi wa mtaa wa nduka walalamikia ubovu wa miundombinu ya maji taka
Na; Benjamin Jackson Mtaa wa Nduka katika Kata ya Chamwino jijini Dodoma unakabiliwa na ubovu wa miundombinu ya maji taka yanayotiririka katika maeneo ya watu. Wananchi wa eneo hilo wameiambia Dodoma fm kuwa hali hii imekuwa ikijitokeza mara kwa mara…
21 April 2021, 10:04 am
NEMC yafanya operesheni vifungashio visivyo na ubora.
Na; Mindi Joseph. Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Kanda ya Kati Dodoma limefanya operesheni ya ukaguzi wa vifungashio visivyokidhi ubora sokoni na kukamata vifungashio takribani kilo 125 na kuvitaifisha. Akizungumza na taswira ya Habari baada ya kufanya ukaguzi huo…
19 April 2021, 1:23 pm
Changamoto ya Maji safi na salama kijiji cha Banyibanyi bado yakosa ufumbuzi
Na; Selemani Kodima Licha ya Jitihada mbalimbali kuendelea kufanyika ,Bado kijiji cha Banyi banyi wilayani Kongwa kimeendelea kukabiliwa na Changamoto ya ukosefu wa maji safi na salama. Hili limeendelea kujiri baada ya Kupitia zaidi ya Mwezi mmoja tangu Uongozi wa…
19 April 2021, 12:19 pm
Ushirikiano watakiwa kukomesha wizi wa maji Dodoma
Na; Benard Filbert. Wenyeviti wa mitaa katika jiji la Dodoma wametakiwa kutoa ushirikiano kwa mamlaka ya maji DUWASA ikiwepo kutoa taarifa za watu wanaojiunganishia maji kinyume na sheria. Hayo yanajiri kufuatia agizo la mkuu wa Mkoa Dkt.Binilith Mahenge alilolitoa hivi…