mazingira
16 February 2024, 4:46 pm
Athari za taka za plastiki kwa viumbe wa baharini na Afya za binadamu
Inaonyesha kwamba ingawa tuna maarifa, tunahitaji kujitolea kwa hatua za dharura ili kukabiliana na changamoto hizi zinazoongezeka kila siku katika mazingira. Na Mariam Kasawa. Uchafuzi wa mazingira katika maeneo ya bahari unatajwa kuwa na athari kwa viumbe hai waishio chini…
5 February 2024, 6:02 pm
Taka, chupa za plastiki ni mali katika mazingira
Kwa mujibu wa redio Vatican inasena chupa za plastiki ambazo zilipaswa kutumika tena, lakini sehemu kubwa ya shehena za chupa inaishia kuwa ni taka zinazoendelea kutupwa na hivyo kuhatarisha maisha ya watu wengi duniani chupa hizi kamwe hazitaoza na zitaendelea…
15 March 2022, 1:52 pm
Wakazi wa Dodoma waaswa kuacha kuchimba mchanga katika viwanja vya watu
Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi wa mkoa wa Dodoma wenye tabia ya kuchimba mchanga katika viwanja vya watu wametakiwa kuacha tabia hiyo kwani watachukuliwa hatua kali mara tu watakapokamatwa wakifanya vitendo hivyo Hayo yamesemwa na Afisa mazingira mkoa wa…
13 January 2022, 2:32 pm
Umwagaji wa mafuta machafu hovyo huchangia kuharibika kwa barabara
Na; Thadei Tesha. Imeelezwa kuwa miongoni mwa ajali zinazotokea mara kadhaa nchini baadhi ya ajali hizo zinatokana na umwagaji wa mafuta machafu hovyo na kusababisha kuharibika kwa miundombinu ya barabarani. Baadhi ya madereva pamoja na watembea kwa miguu jijini hapa…
17 September 2021, 1:54 pm
Uelewa hafifu juu ya sheria za usafi wa mazingira unachangia kwa kiasi kikubwa u…
Na ;FRED CHETI . Inaelezwa kuwa uelewa hafifu kuhusu sheria ndogo za usafi wa mazingira na rasilimali za asili umekua ukichangia kwa kiasi kikubwa uchafuzi wa mazingira katika jamiii. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wakazi Jijini Dodoma wakati wakizungumza na…
10 August 2021, 12:15 pm
Wakazi wa Hombolo wauomba uongozi wa kata kuimarisha utunzaji mazingira mnadani
Na;Mindi Joseph . Wananchi wa vijiji vinavyozunguka mnada wa Hombolo mkoani Dodoma wameomba uongozi ngazi ya kata kuwasogezea huduma ya vyoo pamoja na kuweka usimamizi madhubuti wa utunzaji wa Mazingira mnadani hapo . Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya…
1 July 2021, 11:07 am
Matumizi makubwa ya nishati ya mkaa na kuni yatajwa kuwa chanzo kikuu cha uharib…
Na;Mindi Joseph . Matumizi ya kuni na Mkaa huchangia miti mingi kukatwa na kusababisha uharibifu wa mazingira. Kwa mujibu wa ripoti ya Hali ya Upatikanaji wa Nishati iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu mwaka 2016 inaonyesha kuwa asilimia 88.2…
29 June 2021, 12:38 pm
Serikali za mitaa na Mikoa zatakiwa kusimamia utekelezaji wa kanuni za usimamizi…
Na;Mindi Joseph. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Selemani Jafo amezitaka mamlaka za serikali za mitaa na Mikoa kusimamia utekelezaji wa kanuni za usimamizi wa mazingira katika udhibiti wa kelele na mitetemo ili kulinda afya za…
28 June 2021, 1:01 pm
Jamii imetakiwa kufuatilia na kufahamu sheria ndogondogo za utunzaji wa mazingir…
Na; JOAN MSANGI. Imeelezwa kuwa endapo jamii itafuatilia na kufahamu sheria ndogondogo za utunzaji wa mazingira itasaidia kwa kiasi kikubwa katika utunzaji wa mazingira pamoja na kuwa na mazingira bora. Hayo yameelezwa na Bw.Dicksoni Kimaro Afisa Mazingira wa jiji la…
4 June 2021, 1:36 pm
Wananchi wametakiwa kutunza mazingira ili kunusuru kizazi cha sasa na baadae
Na; Shani Nicolous. Kuelekea kilele cha siku ya mazingira Duniani wananchi wametakiwa kuzingatia utunzaji wa mazingira ili kunusuru kizazi cha sasa na baadae. Wito huo umetolewa na mdau wa utunzaji wa mazingira kutoka kampuni ya Vilidium Tanzania ambao ni watengenezaji…