Dodoma FM

kuhifadhi mazao

9 January 2024, 9:01 pm

Ndugai akerwa na wanafunzi wanaojifelisha darasa la saba

March 14 mwaka 2023 Halmashauri ya wilaya ya Kongwa kupitia kwa mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya hiyo white zuber ilitangaza kuanza kuwanunulia mahitaji yote ya msingi wanafunzi wenye wazazi wasiojiweza kiuchumi watakaofaulu na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza. Na…

30 October 2023, 12:20 pm

Umbali mrefu chanzo wanafunzi kukatisha masomo Mbandee

Kupitia mradi wa BOOST umeendelea kuimarisha elimu msingi kwani takribani shilingi trilioni moja zimejenga madarasa ya shule za msingi 9,705 na kukarabati shule za msingi kongwe kwa mwaka wa fedha 2022/23. Na Mindi Joseph. Umbali mrefu wanaotembea wanafunzi wa kitongoji…

11 October 2023, 9:43 am

Serikali kuendelea kushirikiana na wadau binafsi kuboresha elimu

Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na Taasisi binafsi katika kuboresha Mfumo wa Elimu nchini. Na Thadei Tesha. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda  amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na Taasisi binafsi katika kuboresha Mfumo wa…

30 August 2023, 3:12 pm

Elimu ya usalama barabarani yaendelea kutolewa kwa wananchi

Ili kupunguza vitendo vya ajali za Mara kwa mara madereva na watumiaji wa barabara kwa ujumla wameendelea kuaswa kuzingatia sheria za usalama barabarani . Na Thadei Tesha. Ili kupunguza ajali za barabarani zinazoweza kusabababishwa na uzembe pamoja na kutokutii sheria…

1 May 2023, 4:28 pm

Bahi Sekondari wamshukuru Rais Samia

Amewaomba viongozi hao kusaidia kutoa elimu ili wazazi wachangie chakula cha mchana kwa watoto jambo ambalo litasaidia kuinua kiwango cha elimu shuleni hapo. Na Bernad Magawa. Uongozi wa Shule ya sekondari bahi umetoa shukrani kwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano…