kuhifadhi mazao
7 December 2022, 11:29 am
Wananchi washiriki maendeleo ya kata Mparanga
Na ;Victor Chigwada. Kuongezeka kwa elimu ya ushiriki wa maendeleo katika jamii imesaidia kuongeza nguvu kwa Serikali juu ya utatuzi wa changamoto mbalimbali zinazo wazunguka wananchi Hayo yanajiri baada ya wananchi wa Kata ya Mpalanga kushiriki pamoja kukusanya fedha na…
2 December 2022, 6:52 am
Kata ya majeleko yakamilisha ujenzi wa madarasa
Na ;Victor Chigwada . Ujenzi wa vyumba vya madarasa unaendelea kuwa kipaumbele katika maeneo mengi nchini ili kuendana na sera ya elimu bila malipo ambayo imechangia kuongeza idadi ya udahili wa wanafunzi. Mwenyekiti wa kijiji cha Chinangali one Kata ya…
1 December 2022, 7:16 am
Bahi sokoni waiomba serikali kuongeza madara
Na; Benard Filbert. Wananchi wa wilaya ya Bahi Kata ya Bahi Sokoni wameiomba serikali kuongeza madarasa shule ya Msingi Bahi Sokoni ili kukidhi idadi ya wanafunzi waliopo katika shule hiyo. Wakizungumza na taswira yahabari wamesema ni vyema serikali ika ongeza…
19 October 2022, 9:29 am
Wakazi wa Njoge waishukuru serikali kwa kuboresha sekta ya elimu
Na ;Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Lenjulu Wilaya ya Kongwa wametoa shukrani zao kwa Serikali ya awamu ya sita kwa jitihada za kuendelea kuboresha sekta ya elimu nchini Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamepongeza jitihada…
12 October 2022, 12:43 pm
Uhaba wa madarasa Miganga wawanyima uhuru wanafunzi
Na; Benard Filbert. Uhaba wa madarasa katika shule ya msingi Miganga kata ya Idifu wilaya ya Chamwino imetajwa kuwa kikwazo cha wanafunzi kujifunza kwa uhuru. Hayo yameelezwa na wazazi wa wanafunzi katika kijiji cha Miganga wakati wakizungumza na Taswira ya…
5 October 2022, 2:23 pm
Wilaya ya Kongwa yatarajia kuanza ujenzi wa vyumba 70 vya madarasa
Na; Alfred Bulahya. Halmashauri ya wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma, imepokea kiasi cha fedha shilingi bilion moja na milioni mia nne kwa lengo la ujenzi wa vyumba vipya 70 vya madarasa kwa ajili ya wanafunzi watakaofaulu mtihani wa darasa la…
1 September 2022, 9:30 am
Umbali wa shule wapelekea baadhi ya wanafunzi Pandambili kuacha shule
Na; Victor Chigwada. Umbali mrefu wanaotembea wanafunzi wa sekondari lenjulu mpaka pandambili umetajwa kuwa kikwazo cha kuwakatisha tamaa na kushindwa kumaliza masomo. Hilo limefahamika baada ya Taswira ya Habari kuzungumza na baadhi ya Wananchi ambapo Wamesema kuwa adha hiyo ya…
28 June 2022, 8:43 am
Chigongwe walalamikia ukosefu wa nyumba za walimu
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Chigongwe jijini Dodoma wamelalamikia ukosefu wa nyumba za walimu pamoja idadi ndogo ya walimu katika shule ya msingi Ngh’ambala. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa changamoto ni idadi…
11 May 2022, 2:45 pm
Belege waishukuru serikali kuboresha sekta ya Elimu
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Belege Wilayani Mpwapwa wameishukuru Serikali ya awamu ya tano pamoja na awamu ya sita kwa jitihada za kuboresha sekta ya elimu Akizungumza na taswira ya habari Diwani wa Kata hiyo kwa niaba ya…
13 August 2021, 12:24 pm
Wakulima wilayani Kondoa washauriwa kuhifadhi mazao yao kwa njia ya asili na kis…
Na; Benard Filbert. Ikiwa ni wakati wa mavuno wakulima katika Wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma wameshauriwa kuhifadhi mazao yao kwa njia za asili na kitaalamu ili kuepuka kupatwa na sumu kuvu ambayo ni hatari kiafya. Ushauri huo umetolewa na mkuu…