DOYODO
21 August 2023, 5:09 pm
Yafahamu madhara ya kuweka simu karibu na kichwa wakati wa kulala
Kwa mujibu wa chapisho la Ukurasa wa gazeti la Mwananchi la Febrauari 19,2021 linasema kuwa, Madaktari bingwa wa Ubongo na Mishipa ya fahamu na wale wa Magonjwa ya Saratani wanaonya kuwa kulala karibu na simu kuna madhara kiafya na kunaweza…
16 August 2023, 2:52 pm
Muhimbili mbioni kuanza kutoa huduma za upandikizaji mimba
Amesema kuwa wataanza na kliniki za kawaida kisha hatua za upandikizaji zitafutwa kwa kushirikiana na wataalamu elekezi kutoka nje ya nchi ili kufanyikisha huduma za upandikizaji mimba ambao wataelendelea kuwajengea uwezo wataalam wa Hospitalini. Na WAF, Dodoma. Hospitali ya Taifa…
15 August 2023, 2:32 pm
Serikali yazindua kituo cha umahiri wa masuala ya afya kidigitali
Kaimu Mkurugenzi wa TEHAMA Wizara ya Afya Bw. Silvanus Ilomo amefafanua namna kituo hicho kitakavyosaidia kuboresha huduma za afya. Na Alfred Bulahya. Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghe amezindua Kituo cha Umahiri katika masuala ya afya kidigitali (Center…
14 August 2023, 6:25 pm
Wananchi watakiwa kufahamu umuhimu wa Parachichi
Kwa mujibu wa Jarida la Jumuiya ya Moyo la Amerika linaelezea kuwa kula Parachichi kunaweza kupunguza hatari ya Ugonjwa wa Moyo na Mishipa kulingana na utafiti mpya uliochapishwa hivi karibuni. Na Abraham Mtagwa. Wananchi Jijini Dodoma wameshauriwa kuwa watumiaji wazuri…
14 August 2023, 4:24 pm
Usugu wa dawa watajwa kugharimu maisha ya binadamu
Inakadiriwa kuwa kama hatua madhubuti hazitachukuliwa janga hili litaua watu milioni 10 kwa mwaka ifikapo 2050 kwani tathmini iliyofanywa mwaka 2019 ilionesha uwepo na vifo vya watu takribani milioni 1.27, ambavyo vilisababishwa moja kwa moja na vimelea sugu kwa dawa.…
10 August 2023, 2:28 pm
Baba, mama lishe watakiwa kuzingatia usafi
Watoaji wa huduma ya vyakula katika maeneo mbalimbali ikiwamo migahawa na hotel wanashauriwa kuwa katika hali ya usafi ikiwemo uvaaji wa mavazi nadhifu ili kulinda afya ya walaji. Na Mariam Msagati. Usafi binafsi kwa wafanyabishara wanaojihusisha na biashara ya kuuza…
10 August 2023, 1:37 pm
TMDA yaanzisha mfumo wa ufuatiliaji wa usalama wa dawa
Pamoja na hayo TMDA imesisitiza Wagonjwa na jamii kutoa taarifa mapema kwenye hospitali ,kituo cha afya,zahanati au duka la dawa ambapo matibabu yalitolewa ambapo utoaji wa taarifa za madhara ya dawa ni jukumu la kila mmoja ili kusaidia kuboresha sekta…
10 August 2023, 12:45 pm
Jamii yatakiwa kuondokana na matumizi holela ya dawa
Kwa Mujibu wa Mtaalamu Teobad Abdon ameeleza kuwa matumizi holela ya dawa husababisha madhara katika mwili wa binadamu ikiwemo matumizi ya dawa ambazo sio za ugonjwa husika. Na Diana Massae. Jamii imetakiwa kuondokana na matumizi holela ya dawa bila…
7 August 2023, 1:28 pm
Utandawazi, mitindo ya maisha vyatajwa kuathiri unyonyeshaji
Maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji yamezinduliwa Agosti Mosi mwaka huu na kilele chake ni Agosti 08. Na Mariam Msagati. Baadhi ya wananchi jijini Dodoma wameelezea kuwepo kwa sababu mbalimbali zinazochangia baadhi yao kushindwa kunyonyesha watoto ipasavyo. Wakizungumza na Dodoma TV…
31 July 2023, 4:24 pm
Wananchi Membe waiomba serikali kuwaboreshea huduma za afya
Sera ya afya ya mwaka 2007 inataka huduma za afya kwa wazee, wajawazito na watoto chini ya umri miaka mitano kupata huduma bure bila malipo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha mlimwa kata ya Membe wameiomba serikali kuboresha huduma…