Dodoma FM
Dodoma FM
15 July 2025, 12:31 pm
“Fedha hizi zitawasaidia wafanyabiashara wa soko la Mashine tatu na kuanza upya biashara kutokana na madhara ya moto” Jesca Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini anayemaliza Muda wake Jesca Msambatavangu, ameanzisha Mfuko Maalum wa Msaada kwa ajili…
10 July 2025, 12:46
Halmashauri ya Wilaya Kakonko Mkoani Kigoma imetakiwa kuweka mikakati ya kuzalisha mazao ya biashara yenye ushindani ndani na nje ya nchi kwa maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla. Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro…
8 July 2025, 17:26
Mkoa wa Kigoma unaendelea kufanya vizuri kitaifa katika uzalishaji wa zao la Muhogo ambapo makadirio kwa mwaka hufikia hadi tani milioni 1.2 za muhogo mkavu na mbichi huku matarajio ikiwa ni kufikia zaidi ya tani milioni 3 ifikapo mwaka 2030.…
7 July 2025, 12:59
Vikundi vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu wametakiwa kutumia mikopo inayotolewa na Halmashauri kutumia mikopo hiyo kwa malengo yaliyokusudiwa. Na Mwandishi Zaidi ya shilingi milioni 800 zinatarajia kutolewa na Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma kwa vikundi 71 vya wajasiliamali…
5 July 2025, 5:07 pm
Matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi yameendelea kuleta athari ikiwemo mauaji ya watu ambao wengine huenda wakawa hawana hatia. Na Mrisho Sadick: Mama wa kijana Enock Muhangwa (25) aliyeuawa kwa kipigo katika Kijiji cha Uyovu Wilaya ya Bukombe, mkoani Geita…
2 July 2025, 12:00 pm
Kushamiri kwa vitendo vya watoto wadogo kutumikishwa kwenye shughuli za bar imewaibua wananchi Sengerema Na Emmanuel Twimanye: Wamiliki wa bar katika kata ya misheni Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wamepigwa marufuku kuajiri watoto chini ya umri wa miaka 18 kwa kuwa…
26 June 2025, 7:44 pm
Mradi huu kuletwa Kilombero katika Halmashauri ya Mlimba unastahili kutokana na umuhimu wa bonde hili Kiuchumi na upekee wake kiikolojia Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mradi wenye thamani ya Tsh.Bil 6 wa Kuboresha Mifumo Jumuishi ya Usimamizi wa Chakula, Ardhi na…
23 June 2025, 8:24 pm
Ulipaji wa kodi siyo tu wajibu wa kisheria, bali ni jukumu la kizalendo katika kuchangia maendeleo ya nchi Na Katalina Liombechi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Morogoro imeendelea kuwatembelea walipakodi kwa lengo la kuwakumbusha kulipa kodi kwa hiari…
14 June 2025, 15:46
Kampuni ya soma Biblia imefikisha miaka kumi katika kuadhimisha miaka hiyo wametembelea jeshi la magereza Rwanda Mbeya kuwatazama wafungwa na kutoa msaada wa vitu mbalimbli. Na Ezra Mwilwa Wadau na taasisi mbalimbali wameombwa kutowatenga wahitaji badala yake wanatakiwa kujenga utamaduni…
28 May 2025, 5:43 pm
Changamoto ya wafanyajasiriamali wadogo Manispaa ya Iringa kuvamia katika maeneo yasiyo Rasmi kufanya shughuli zao imepatiwa mwarobaini. Na Godfrey Mengele Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imepanga kuanzia masoko mengine kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo ikiwa ni mpango mkakati wa kuhakikisha…