Chai FM

Habari za kitaifa

9 May 2024, 1:16 pm

Jamii kukabiliana na ukatili mtandaoni Rungwe

Kutokana na kuwepo kwa vitendo vya ukatili mtandaoni dhidi ya watoto wazazi na walezi watakiwa kuwa mstari wa mbele katika malezi kwa watoto Na Noah Kibona Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu imeendesha kampeni maalumu dhidi…

1 May 2024, 6:47 pm

Serikali kuagiza kuundwa kwa mabaraza sherehe za mei mosi

ili kukabiliana na vitendo vya unyanyasaji wa kinjisia mahala pakazi mabaraza yametakiwa kuamzisha lengo ni kukabiliana na changamoto kwa watumishi. Rungwe-Mbeya Na Lennox Mwamakula Serikali imeziagiza taasisi zote umma na binafsi kuunda mabaraza kwenye taasisi hizo ili kuwawezesha watumishi  wao…

26 April 2024, 2:59 pm

Wanafunzi kumaliza vitendo vya ukatili shuleni

Vijana wametakiwa kuwa msitari wa mbele kutoa taarifa oindi wanapo fanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia MBEYA Na Lennox Mwamakula Kutokana na ongezeko la vitendo vya ukatili vinavyoripotiwa kwenye maeneo mbalimbali mkoani mbeya, serikali kwa kushrikiana na wadau mbalimbali wamekutana…

26 April 2024, 2:09 pm

Jamii yatakiwa kutunza mazingira Rungwe

katibu tawala wa wilaya ya Rungwe Ally Kiumwa akisoma taarifa mbele ya mkuu wa wilaya kwenye siku ya maadhimisho ya miaka 60 ya muungano [picha na Lennox Mwamakula] wananchi wametakiwa kuendelea kudumisha amani iliyopo kwa kulinda muungano wa tanzania RUNGWE-MBEYA…

25 April 2024, 1:49 am

Dsw kuimarisha mifumo ya kuzuia ukatili wa kijinsia

ili kukabiliana na vitendo ya ukatili wa kijinsia kwa watoto jamii imetakiwa kuwa mstari wa mbele kutoa tarifa kwenye vyombo vya kisheria. MBEYA Na Lennox Mwamakula Shirika lisilo la kiserikali la DSW Tanzania linalojihusisha na masuala ya maendeleo Kwa vijana…

19 April 2024, 3:16 pm

Vitendo vya wizi vyaongezeka Rungwe

Jamii imeshauriwa kutoa taarifa kwenye viongozi wa maeneo yao bindi wanapo ona vyaashiria ya uwizi au uvunjifu wa amani kwenye maeneo yao. NA lennox Mwamakula Wananchi wa mtaa wa Mpindo uliopo kata ya Bulyaga wilayani  Rungwe wamekubaliana kuanzisha ulinzi shirikishi…

4 April 2024, 6:45 pm

Baada ya daraja kubomoka wananchi wakosa huduma Rungwe

wananchi wakishuhudia daraja likisobwa na maji baada ya mvua kunyesha[picha na Lennox Mwamakula] Jamii imeshauriwa kutolima kwenye vyanzo vya maji kwani kunapelekea madhara makubwa kwenye shughuli za kibinadamu. Rungwe-Mbeya Na lennox Mwamakula Wananchi wilayani Rungwe wameiomba serikali kuwajengea daraja lililo…

1 April 2024, 11:23 am

Mvua yasababisha majanga Rungwe

Moja ya nyumba iliyonusulika kubomoka [picha na Lennox Mwamakula] Richa ya kuwepo kwa sera mipango miji nchini jamii imewaomba wasimamizi kuendelea kufuatia na kuratibu ili kufanikisha suala hilo RUNGWE-MBEYA Lennox Mwamakula Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini wananchi wilayani…

28 March 2024, 6:54 pm

Jamii kuepuka majanga ya moto Rungwe

ili kuhakikisha majanga ya moto yanaepukika wananchi wanatakiwa kutoa taarifa juu ya majanga ya moto. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Jeshi la polisi kwa kushirikiana na jeshi la zimamoto na uokoaji wilayani Rungwe mkoani Mbeya limewataka wananchi wa mtaa wa Igamba…

21 March 2024, 6:15 pm

Transfoma yahatarisha usalama wa wafanyabiashara Rungwe

Ili kuhakikisha shughuli za kibinadamu kufanyika, binadamu anatakiwa kuweka mazingira ya kazi yake salama. Na lennox Mwamakula Wafanyabiashara wa ndizi kwenye soko la Mabonde lililopo kata ya Msasani wilayani Rungwe wameiomba serikali kuwaboreshea soko hilo. Baadhi ya wafanyabiashara wakiendelea na…