Radio Tadio

Wazee

15 Aprili 2026, 12:53

Vikundi vya kuweka na kukopa vyapewa elimu ya fedha Kasulu

Elimu ya fedha ni muhimu sana kwa vikundi vya kuweka na kukopa kwa sababu inasaidia wanachama kusimamia fedha zao kwa ufanisi na kuepuka hasara Na Hagai Ruyagila Serikali imeendelea kutoa elimu ya kifedha pamoja na mwongozo wa namna sahihi ya…

8 Aprili 2026, 09:40

Mbunge Villa akabidhi meza 90 kwa wajasiriamali

Meza hizo zimekabidhiwa ikiwa ni hatua ya kuwafanya wajasiriamali wafanye kazi zao katika mazingira rafiki. Na Fredrick Siwale Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mjini Mh. Dickson Lutevele Villa ametimiza ahadi yake kwa kukabidhi meza 90 kwa wajasiriamali wa Soko la…

3 Aprili 2026, 10:28

DC Kigoma ataka vikundi kurejesha mikopo kwa wakati

Benki ya CRDB Kigoma imetoa elimu ya fedha kwa vikundi mbalimbali vilivyopo katika Manispaa ya Kigoma Ujiji lengo likiwa ni kuviwezesha vikundi hivyo kufahamu namna ya kutumia mikopo wanayopewa ili iweze kuwanufaisha zaidi. Na Tryphone Odace Mkuu wa Wilaya Kigoma…

25 Machi 2026, 4:32 um

Changamoto ya umeme Zanzibar kubaki historia

Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Dk Juma Malik Akil, amesema Zanzibar itapata umeme wa uhakika ndani ya miezi michache ijayo kutokana na miradi mipya ya nishati. Amesema serikali inawekeza katika umeme wa jua na upepo ili kuongeza uzalishaji hadi…

3 Machi 2026, 11:14

Wananchi waaswa kujiepusha na mikopo umiza

Katika miaka ya karibuni, kumekuwa na ongezeko la taasisi na programu za simu zinazotoa mikopo ya haraka inayojulikana kama mikopo kausha damu na mikopo hii huvutia watu wengi kwa sababu ya urahisi wa kuipata bila dhamana kubwa au taratibu ndefu…

19 Febuari 2026, 18:35

Uongozi wa Mguso wawafungua MTAKUWWA Mkata

“Mafunzo haya yameniwezesha kukumbuka majukumu yangu katika kamati hii ya MTAKUWWA hivyo nilichokipokea ni kujitathimini na pia kuwa na mshikamano kwa ajili ya kwenda kupinga ukatili katika maeneo yetu” Wajumbe wa MTAKUWWA Mkata Na Cosmas Clement Wajumbe wa kamati ya…

9 Januari 2026, 11:53

Mikopo ya 10% ilivyoinua maisha ya wananchi Kigoma

Mikopo ni nyenzo muhimu ya kuwawezesha vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika kujenga maisha bora na kuchangia maendeleo endelevu. Na Orida Sayon Baadhi ya wananchi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji hasa vijana wameomba kuendelea kupewa elimu ya mikopo ya…

4 Januari 2026, 12:45

Ni lini MV Kilambo itarejea?

Wananchi wa Kilambo na maeneo ya mpakani na Msumbiji wanaiomba Serikali kurejesha kivuko cha MV Kilambo kilichosimama kufanya kazi, Serikali imesema matengenezo yanaendelea Na Musa Mtepa Wananchi na watumiaji wa kivuko cha Kilambo kinachounganisha Tanzania na nchi jirani ya Msumbiji…

24 Disemba 2025, 09:12

Pikipiki 6 zakabidhiwa kwa wajasiriamali Kigoma

Serikali imesema itaendelea kutoa mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu huku ikisisitiza waliopata mkopo kuzitumia kwa manufaa na kurejesha kwa wakati Na mwandishi wetu Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, imekabidhi pikipiki sita kwa vikundi viwili…

20 Novemba 2025, 3:02 um

Muziki wawaongezea utulivu ng’ombe wakati wa kukamuliwa

Asajile amekuwa akiwasoma Ng’ombe wake tabia hii humsaidia kupata maziwa kwa wingi zaidi Na Anyisile Fredy MKAZI na mfugaji wa ng’ombe  wa maziwa mjini Vwawa Mbozi Mkoani Songwe, Mikaya Asajile amesema  amewagundua  ng’ombe wake kwamba wanapenda muziki wakati wa kukamuliwa.…