
Wazee

11 September 2023, 9:58 pm
Wazee wanolewa kuhusu matumizi bora ya fedha
Wazee wa kikundi cha wazee Bikolweengozi kata ya Bugandika wilayani Missenyi wameanzisha chama cha kuweka akiba ya fedha na kukopa kwa lengo la kujiinua kiuchumi. Na: Jovinus Ezekiel Missenyi Mwenyekiti wa kikundi cha wazee Bikolweengozi cha kata ya Bugandika wilayani…

3 August 2023, 8:00 pm
Wazee CCM Iringa walaani wanaobeza uwekezaji wa Bandari
Na Frank Leonard Wazee wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa wametangaza kuishiwa na uvumilivu na kuamua kulaani vikali mwenendo wenye viashiria vya kisiasa unaotishia kuigawa nchi kupitia matamko na maoni mbalimbali yanayotolewa kuhusu suala la uwekezaji wa bandari.…

July 26, 2023, 10:37 pm
Wajitolea kuwasaidia wazee wasiojiweza
Kusaidia ni moyo na si utajiri kama msemo wa wahenga, hivyo unaweza kusaidia pale penye uhitaji kama ambavyo amesisitiza mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Magogo B. Na Kale Chongela- Geita Jamii imekumbushwa kujenga desturi ya kuwatembelea wazee na kuwasaidia…

19 April 2021, 5:41 am
Rais Samia awashukia wabunge kuhusu mijadala isio na tija kwa taifa
Na ; Mariam kasawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na mijadala inayoendelea bungeni ya kumlinganisha na mtangulizi wake, hayati John Magufuli. Akizungumza jana Jumapili Aprili 18, 2021 katika kongamano la viongozi wa dini, …