Wazee
6 Mei 2026, 12:41
DAS Kasulu ataka wanufaika mikopo ya 10% kuirejesha kwa wakati
Kamati ya Uhakiki wa mikopo ya asilimia 10 katika Wilaya ya Kasulu imefanya zoezi la kuhakiki vikundi mbalimbali vilivyowasilisha maombi ya mikopo kupitia Halmashauri ya Wilaya hiyo, kwa ajili ya kutolewa katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa…
4 Mei 2026, 17:26
Uroa gizani kwa wizi wa transfoma, serikali yachukua hatua
Meneja wa ZECO, Haji Haji, amewataka wananchi kuacha mara moja kuharibu miundombinu ya umeme visiwani Zanzibar akibainisha kuwa vitendo hivyo vinaleta hasara kubwa kwa serikali. Na Mary Julius. Meneja wa Shirika la Umeme Zanzibar ZECO Haji Haji amewataka wananchi kuacha…
Aprili 30, 2026, 6:11 um
Sekta binafsi Geita wafungua fursa za ajira
Serikali inathamini nafasi ya sekta binafsi ambayo ni asilimia 70 kwenye pato la taifa na kwamba itaendelea kutekeleza malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kupiga hatua zaidi. Na Clement Shawishi- GEITA. Serikali imesema kuwa uwekezaji unaofanywa na…
29 Aprili 2026, 12:11
Vikundi 13 vya wenye ulemavu vyapatiwa mikopo Kakonko
Vikundi 13 vya walemavu vimepatiwa mkopo kati ya vikundi 23 ambavyo vimepatiwa mkopo wa halmashauri ya wilaya ya Kakonko katika robo ya pili ya mwaka wa fedha wa 2025/2026 Mkopo huo umetolewa ikiwa ni mkakati wa serikali wa kuviwezesha vikundi…
22 Aprili 2026, 14:57
Mikopo umiza ilivyo mwiba kwa wananchi Kasulu
Kujiepusha na mikopo ya kausha damu kunasaidia kulinda uhuru wa kifedha, afya ya akili, na heshima ya mtu binafsi. Na Michael Mpunije Wenyeviti wa Serikali za mitaa katika Kata ya Nyansha halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutoa elimu…
22 Aprili 2026, 12:19
Jukwaa la uwezeshaji wanawake kiuchumi Uvinza lazinduliwa
Wanawake wa wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika maeneo yao ikiwemo mikopo ya kuwawezesha kufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kuwasaidia kuepukana na uchumi tegemezi. Na Mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza imezindua rasmi jukwaa…
15 Aprili 2026, 12:53
Vikundi vya kuweka na kukopa vyapewa elimu ya fedha Kasulu
Elimu ya fedha ni muhimu sana kwa vikundi vya kuweka na kukopa kwa sababu inasaidia wanachama kusimamia fedha zao kwa ufanisi na kuepuka hasara Na Hagai Ruyagila Serikali imeendelea kutoa elimu ya kifedha pamoja na mwongozo wa namna sahihi ya…
8 Aprili 2026, 09:40
Mbunge Villa akabidhi meza 90 kwa wajasiriamali
Meza hizo zimekabidhiwa ikiwa ni hatua ya kuwafanya wajasiriamali wafanye kazi zao katika mazingira rafiki. Na Fredrick Siwale Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mjini Mh. Dickson Lutevele Villa ametimiza ahadi yake kwa kukabidhi meza 90 kwa wajasiriamali wa Soko la…
3 Aprili 2026, 10:28
DC Kigoma ataka vikundi kurejesha mikopo kwa wakati
Benki ya CRDB Kigoma imetoa elimu ya fedha kwa vikundi mbalimbali vilivyopo katika Manispaa ya Kigoma Ujiji lengo likiwa ni kuviwezesha vikundi hivyo kufahamu namna ya kutumia mikopo wanayopewa ili iweze kuwanufaisha zaidi. Na Tryphone Odace Mkuu wa Wilaya Kigoma…
25 Machi 2026, 16:32
Changamoto ya umeme Zanzibar kubaki historia
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Dk Juma Malik Akil, amesema Zanzibar itapata umeme wa uhakika ndani ya miezi michache ijayo kutokana na miradi mipya ya nishati. Amesema serikali inawekeza katika umeme wa jua na upepo ili kuongeza uzalishaji hadi…