Radio Tadio

Wazee

20 May 2026, 15:00

Viongozi wa kamati za mikopo ya 10% wafanya tathmini Uvinza

Kikao cha kamati za mikopo ya asilimia 10 husaidia kuhakikisha uwazi na usahihi katika utoaji wa mikopo kwani viongozi hupitia taarifa mbalimbali za vikundi na waombaji wa mikopo ili kuhakikisha fedha zinawafikia walengwa sahihi wenye sifa zinazotakiwa. Na Mwandishi wetu…

15 May 2026, 15:27

Mil. 214 zawanufaisha walemavu, wanawake, vijana Kasulu

Mikopo ni mojawapo ya njia muhimu zinazosaidia maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika jamii kwa makundi tofauti ya watu ili kuwawezesha kujiletea maendeleo na miongoni mwa makundi yanayonufaika sana na mikopo ni wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Na Hagai…

4 May 2026, 17:26

Uroa gizani kwa wizi wa transfoma, serikali yachukua hatua

Meneja wa ZECO, Haji Haji, amewataka wananchi kuacha mara moja kuharibu miundombinu ya umeme visiwani Zanzibar akibainisha kuwa vitendo hivyo vinaleta hasara kubwa kwa serikali. Na Mary Julius. Meneja wa Shirika la Umeme Zanzibar ZECO Haji Haji amewataka wananchi kuacha…

April 30, 2026, 6:11 pm

Sekta binafsi Geita wafungua fursa za ajira

Serikali inathamini nafasi ya sekta binafsi ambayo ni asilimia 70 kwenye pato la taifa na kwamba itaendelea kutekeleza malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kupiga hatua zaidi. Na Clement Shawishi- GEITA. Serikali imesema kuwa uwekezaji unaofanywa na…

29 April 2026, 12:11

Vikundi 13 vya wenye ulemavu vyapatiwa mikopo Kakonko

Vikundi 13 vya walemavu vimepatiwa mkopo kati ya vikundi 23 ambavyo vimepatiwa mkopo wa halmashauri ya wilaya ya Kakonko katika robo ya pili ya mwaka wa fedha wa 2025/2026 Mkopo huo umetolewa ikiwa ni mkakati wa serikali wa kuviwezesha vikundi…

22 April 2026, 14:57

Mikopo umiza ilivyo mwiba kwa wananchi Kasulu

Kujiepusha na mikopo ya kausha damu kunasaidia kulinda uhuru wa kifedha, afya ya akili, na heshima ya mtu binafsi. Na Michael Mpunije Wenyeviti wa Serikali za mitaa katika Kata ya Nyansha halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutoa elimu…

22 April 2026, 12:19

Jukwaa la uwezeshaji wanawake kiuchumi Uvinza lazinduliwa

Wanawake wa wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika maeneo yao ikiwemo mikopo ya kuwawezesha kufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kuwasaidia kuepukana na uchumi tegemezi. Na Mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza imezindua rasmi jukwaa…

8 April 2026, 09:40

Mbunge Villa akabidhi meza 90 kwa wajasiriamali

Meza hizo zimekabidhiwa ikiwa ni hatua ya kuwafanya wajasiriamali wafanye kazi zao katika mazingira rafiki. Na Fredrick Siwale Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mjini Mh. Dickson Lutevele Villa ametimiza ahadi yake kwa kukabidhi meza 90 kwa wajasiriamali wa Soko la…