Utamaduni
Agosti 27, 2023, 8:28 um
Tuulinde Utamaduni wetu-Waziri Balozi Dkt. Pindi
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amesema utamaduni unaodumishwa katika Taifa umesaidia kudumisha Amani tofauti na Mataifa mengine.
Agosti 27, 2023, 7:58 um
Watanzania Tuenzi Mila na Desturi zetu-Mhe. Mkuchika
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Maalum Mhe. Kapt Mstaafu George Mkuchika ameiasa jamii kuenzi mila na desturi za Tanzania ambazo ndio utambulisho wa Taifa hilo ndani na nje ya nchi, na kuacha kuiga utamaduni usiofaa wa Mataifa mengine.
19 Julai 2023, 6:23 um
CHAMIJATA yaja na mikakati kuenzi tamaduni
Inadaiwa kuwa utandawazi ni moja ya njia inayopelekea mila na desturi za kiafrika kusahaulika, na watu wa tamaduni hizo kufuata mambo ya kigeni, hilo limewainua CHAMIJATA kusimama kidete katika kuzilinda tamaduni hizo. Na Kale Chongela- Geita Katika kuendelea kuboresha utamaduni…
11 Julai 2023, 10:54
DC kigoma amepiga maarufuku ramli chonganishi kwenye jamii
Serikali imesema itawachukulia hatua za kisheria yeyote atakaye jihusisha ama kusaidia shughuli za Rambaramba (Kamchape) wanaopiga ramli chonganishi na haitawaonea huruma. Na, Lucas Hoha Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Salum Kalli ameomba viongozi wa Dini pamoja viongozi wa Serikali za…
13 Aprili 2023, 6:33 um
Ifahamu maana ya alama ya Ndonye kwa kabila la Wagogo
Ndonye ilitumika kwa watoto wadogo hapo zamani wa kabila hili la wagogo kama kinga ya macho lakini kwasasa wanasema hawaweki tena alama hiyo. Na Yussuph Hassan. Makabila mbalimbali Afrika na Tanzania huwa na alama mbalimbali ambazo hutambulisha kabila hilo kwa…
3 Febuari 2023, 9:47 mu
Simulizi Ya Utawala wa Kitemi katika Kabila La Kigogo
Simulizi hii inatuonyesha maswala mazima ya utawala na vitu mbalimbali ambavyo alikuwa akitumia Mtemi wa kabila la Kigogo. Na Yussuph Hassan Chifu Razaro Masuma Chihoma kutoka katika kata ya Iyumbu Imaya ya Bwibwi jijini Dodoma asimulia simulizi yote hiyo ya…
1 Aprili 2022, 2:31 um
Wakazi wa mtaa wa Itega walalamikia kuzagaa kwa takataka
Na; Neema Shirima. Wananchi wa mtaa wa Itega kata ya Nkuhungu jijini Dodoma wamelalamikia suala la kuzagaa kwa takataka katika maeneo hayo kutokana na kutokuwepo gari ya kuzoa takataka hizo. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema magari yanayojishughulisha…
22 Machi 2022, 2:11 um
Wananchi watakiwa kuitumia[…
Na; Seleman Kodima Wito umetolewa kwa wananchi kutumia mwezi huu wa mfungo wa kwaresma kutenda matendo ya huruma kwa jamii ikiwemo kuwajali na kuwapa mahitaji watu wasiojiweza . Hayo yamesemwa na Vijana wa Kanisa la waadventista wa sabato kutoka kanisa…
15 Machi 2022, 1:52 um
Wakazi wa Dodoma waaswa kuacha kuchimba mchanga katika viwanja vya watu
Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi wa mkoa wa Dodoma wenye tabia ya kuchimba mchanga katika viwanja vya watu wametakiwa kuacha tabia hiyo kwani watachukuliwa hatua kali mara tu watakapokamatwa wakifanya vitendo hivyo Hayo yamesemwa na Afisa mazingira mkoa wa…
16 Febuari 2022, 3:43 um
Zoezi la uchukuaji wa miti katika ofisi za maliasili litekelezwe na kila mwananc…
Na; Thadei Tesha. Wananchi jijini Dodoma wamewataka viongozi wa mitaa mbalimbli jijini hapa kuendelea kuhamasisha kufika katika ofisi za maliasili kuchukua miche ya kupanda katika maeneo yao Wakizungumza na taswira ya habarri baadhi ya wananchi jijini hapa wamesema ni wakati…