Radio Tadio

Utamaduni

Agosti 27, 2023, 7:58 um

Watanzania Tuenzi Mila na Desturi zetu-Mhe. Mkuchika

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Maalum Mhe. Kapt Mstaafu George Mkuchika ameiasa jamii kuenzi mila na desturi za Tanzania ambazo ndio utambulisho wa Taifa hilo ndani na nje ya nchi, na kuacha kuiga utamaduni usiofaa wa Mataifa mengine.

19 Julai 2023, 6:23 um

CHAMIJATA yaja na mikakati kuenzi tamaduni

Inadaiwa kuwa utandawazi ni moja ya njia inayopelekea mila na desturi za kiafrika kusahaulika, na watu wa tamaduni hizo kufuata mambo ya kigeni, hilo limewainua CHAMIJATA kusimama kidete katika kuzilinda tamaduni hizo. Na Kale Chongela- Geita Katika kuendelea kuboresha utamaduni…

11 Julai 2023, 10:54

DC kigoma amepiga maarufuku ramli chonganishi kwenye jamii

Serikali imesema itawachukulia hatua za kisheria yeyote atakaye jihusisha ama kusaidia shughuli za Rambaramba (Kamchape) wanaopiga ramli chonganishi na haitawaonea huruma. Na, Lucas Hoha Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Salum Kalli ameomba viongozi wa Dini pamoja viongozi wa Serikali za…

13 Aprili 2023, 6:33 um

Ifahamu maana ya alama ya Ndonye kwa kabila la Wagogo

Ndonye ilitumika kwa watoto wadogo hapo zamani wa kabila hili la wagogo kama kinga ya macho lakini kwasasa wanasema hawaweki tena alama hiyo. Na Yussuph Hassan. Makabila mbalimbali Afrika na Tanzania huwa na alama mbalimbali ambazo hutambulisha kabila hilo kwa…

3 Febuari 2023, 9:47 mu

Simulizi Ya Utawala wa Kitemi katika Kabila La Kigogo

Simulizi hii inatuonyesha maswala mazima ya utawala na vitu mbalimbali ambavyo alikuwa akitumia Mtemi wa kabila la Kigogo. Na Yussuph Hassan Chifu Razaro Masuma Chihoma kutoka katika kata ya Iyumbu Imaya ya Bwibwi jijini Dodoma asimulia simulizi yote hiyo ya…

1 Aprili 2022, 2:31 um

Wakazi wa mtaa wa Itega walalamikia kuzagaa kwa takataka

Na; Neema Shirima. Wananchi wa mtaa wa Itega kata ya Nkuhungu jijini Dodoma wamelalamikia suala la kuzagaa kwa takataka katika maeneo hayo kutokana na kutokuwepo gari ya kuzoa takataka hizo. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema magari yanayojishughulisha…

22 Machi 2022, 2:11 um

Wananchi watakiwa kuitumia[…

Na; Seleman Kodima Wito umetolewa kwa wananchi kutumia mwezi huu wa mfungo wa kwaresma kutenda matendo ya huruma  kwa jamii ikiwemo kuwajali na kuwapa mahitaji watu wasiojiweza . Hayo yamesemwa na Vijana wa Kanisa la waadventista wa sabato kutoka kanisa…