Utamaduni
9 Febuari 2022, 3:22 um
Wananchi wametakiwa kujitokeza kuchukua miche ya miti
Na ;Thadei Tesha. Ofisi ya maliasili jijini Dodoma kwa kushirikiana na wakala wa misitu TFS wametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kuchukua miche ya miti kwa ajili ya kupanda kipindi hiki cha mvua. Akizungumza na taswira ya habari afisa…
31 Januari 2022, 4:02 um
Viongozi watakiwa kuwa mstari wa mbele kuhimiza usafi katika maeneo
Na ;Thadei Tesha. Baadhi ya wananchi jijini hapa wamesema ili kuhakikisha suala la usafi linapewa kipaumbele katika mitaa mbalimbali ya jiji viongozi wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kuhimiza suala hilo. wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi jijini hapa…
13 Januari 2022, 2:32 um
Umwagaji wa mafuta machafu hovyo huchangia kuharibika kwa barabara
Na; ThadeiĀ Tesha. Imeelezwa kuwa miongoni mwa ajali zinazotokea mara kadhaa nchini baadhi ya ajali hizo zinatokana na umwagaji wa mafuta machafu hovyo na kusababisha kuharibika kwa miundombinu ya barabarani. Baadhi ya madereva pamoja na watembea kwa miguu jijini hapa…
23 Septemba 2021, 11:22 mu
Wadau waiomba serikali kuwahusisha vijana na makundi maalum dhidi ya mabadiliko…
Na; Nadhiri Hamisi. Wadau wa utunzaji wa mazingira Nchini wameiomba Serikali kuwahusisha vijana na makundi maalum katika mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabianchi na utunzaji wa mazingira. Wakizungunza na Dodoma fm Neema Mwaikyusa mtaalamu wa mazingira na Bw. Sudi Salum…
17 Septemba 2021, 1:54 um
Uelewa hafifu juu ya sheria za usafi wa mazingira unachangia kwa kiasi kikubwa u…
Na ;FRED CHETI . Inaelezwa kuwa uelewa hafifu kuhusu sheria ndogo za usafi wa mazingira na rasilimali za asili umekua ukichangia kwa kiasi kikubwa uchafuzi wa mazingira katika jamiii. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wakazi Jijini Dodoma wakati wakizungumza na…
31 Agosti 2021, 11:56 mu
Mnada wa Dabalo wakabiliwa na ukosefu wa matundu ya vyoo
Na; Beanrd Filbert. Ukosefu wa matundu ya vyoo katika mnada wa Dabalo kata ya Dabalo wilayani Chamwino imetajwa kuwa changamoto kwa wafanyabiashara hali inayoweza kuhatarisha afya zao. Hayo yameelezwa na Diwani wa kata ya Dabalo Bwana Isihaka Rajab wakati akizungumza…
30 Agosti 2021, 1:50 um
Uzalishaji wa maji taka umekuwa sababu ya kuharibu mazingira
Na;Yussuph hans, Uzalishaji uliokithiri wa majitaka umekuwa sababu kubwa ya kuharibika kwa mazingira pamoja na chanzo cha maradhi mbalimbali ya mlipuko katika jamii. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya Wakazi Mkoani Dodoma wamesema kuwa jamii imekuwa na ufahamu kuhusu madhara ya…
19 Agosti 2021, 1:06 um
Wakazi wa Dodoma watakiwa kuzingatia elimu ya kisiki hai.
Na;Yussuph Hans. Wakulima na wafugaji Mkoani Dodoma wameshauriwa kuzingatia elimu ya kisiki hai itakayowasaidia kuwa na kilimo bora pamoja na malisho ya kutosha kwa wanyama. Ushauri huo umetolewa na Mratibu wa Mradi wa kisiki hai Wilaya ya mpwapwa Olipa chipwaza…
10 Agosti 2021, 12:15 um
Wakazi wa Hombolo wauomba uongozi wa kata kuimarisha utunzaji mazingira mnadani
Na;Mindi Joseph . Wananchi wa vijiji vinavyozunguka mnada wa Hombolo mkoani Dodoma wameomba uongozi ngazi ya kata kuwasogezea huduma ya vyoo pamoja na kuweka usimamizi madhubuti wa utunzaji wa Mazingira mnadani hapo . Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya…
4 Agosti 2021, 9:51 mu
Shule ya msingi sokoni wilayani Bahi yakabiliwa na upungufu wa matundu ya vyoo
Na; Mariam Matundu. Kukosekana kwa vyoo bora na rafiki kwa Wanafunzi wenye ulemavu katika shule ya msingi Sokoni wilayani Bahi umesababisha wanafunzi kushindwa kujisitiri pale wanapohitaji kutumia vyoo hivyo. Wanafunzi hao Wamesema wamekuwa wakipata magonjwa ya kichocho hasa kwa wanafunzi…