Radio Tadio

Ulinzi

11 Septemba 2023, 13:21

DC Kasulu awataka vijana wa JKT Mtabila kuwa wazalendo

Vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT Kambi ya Mtabila Wialayni Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa wazalendo. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isack Mwakisyu amewataka wahitimu wa mafunzo ya awali ya kijeshi kikosi namba…

6 Septemba 2023, 12:39

Vijana waliohitimu mafunzo JKT Bulombora watakiwa kuwa wazalendo

Kikosi cha Jeshi la kujenga Taifa JKT Bulombora kimesema kitaendelea kuwafundisha ujuzi na uzalendo vijana wote ili waweze kulitumikia Taifa. Na, Tryphone Odace. Vijana waliohitimu mafunzo ya kijeshi oparesheni miaka 60 katika kambi ya Jeshi la kujenga Taifa JKT, kikosi…

14 Agosti 2023, 4:32 um

Wawili mbaroni tuhuma kifo cha mwanafunzi wa chuo

Watu wawili wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za mauaji ya mwanafunzi wa chuo cha Tabora polytechic ambae alipotea kwa takribani siku kumi. Na Salma Abdul Kamanda wa polisi mkoa wa Tabora kamishna msaidizi Richard Abwao amesema kuwa tukio…

12 Agosti 2023, 10:03 mu

Polisi Iringa yakamata meno ya tembo, silaha

Na Frank Leonard Oparesheni zinazoendelea kufanywa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa, zimewezesha kukamata vipande saba vya meno ya tembo pamoja na silaha mbili zinazomilikiwa kinyume cha sheria. Akizungumza leo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi amesema…

25 Julai 2023, 5:26 um

Geita kuendelea kuwaenzi mashujaa kwa vitendo

Wananchi na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Geita wamejitokeza katika viwanja vya Mashujaa kuadhimisha kumbukumbu ya mashujaa waliojitoa maisha yao kwa ajili ya watanzania. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa mkoa wa Geita Mhe Martin Shigela amesema mkoa wa Geita utaendelea…

23 Julai 2023, 2:30 um

Wakumbwa na mshangao kijana kufariki kwa kuchomwa kisu

Matukio ya kiuhalifu na kujichukulia sheria mkononi yamekithiri katika baadhi ya mitaa mkoani Geita, jambo linalosababisha baadhi ya vifo kutokea, huku wananchi wakishindwa kutoa taarifa katika vyombo husika juu ya uhalifu huo. Na Zubeda Handrish- Geita Katika hali ya kusikitisha…

19 Julai 2023, 10:33 mu

Polisi kata hewa wachukuliwe hatua

Matukio ya uhalifu yakiwemo ya wizi na udokozi yameendelea kuwa changamoto katika baadhi ya mitaa na vijiji, jambo lililopelekea Kamanda Jongo kuwataka Polisi kata kuwajibika ipasavyo. Na Said Sindo- Geita Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Geita ACP Safia…