Ulinzi
11 Septemba 2023, 13:21
DC Kasulu awataka vijana wa JKT Mtabila kuwa wazalendo
Vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT Kambi ya Mtabila Wialayni Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa wazalendo. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isack Mwakisyu amewataka wahitimu wa mafunzo ya awali ya kijeshi kikosi namba…
6 Septemba 2023, 12:39
Vijana waliohitimu mafunzo JKT Bulombora watakiwa kuwa wazalendo
Kikosi cha Jeshi la kujenga Taifa JKT Bulombora kimesema kitaendelea kuwafundisha ujuzi na uzalendo vijana wote ili waweze kulitumikia Taifa. Na, Tryphone Odace. Vijana waliohitimu mafunzo ya kijeshi oparesheni miaka 60 katika kambi ya Jeshi la kujenga Taifa JKT, kikosi…
5 Septemba 2023, 9:44 mu
Vijana zaidi ya 200 wajiunga sungusungu kulinda kijiji chao Geita
Uhaba wa askari wa Jeshi la Polisi wilayani Geita umewaibua vijana kujiunga katika Jeshi la Jadi ili kulinda kijiji chao. Na Mrisho Sadick: Zaidi ya vijana 200 wa kijiji cha Buyagu wilayani Geita wamejiunga katika Jeshi la Jadi maarufu kama…
14 Agosti 2023, 4:32 um
Wawili mbaroni tuhuma kifo cha mwanafunzi wa chuo
Watu wawili wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za mauaji ya mwanafunzi wa chuo cha Tabora polytechic ambae alipotea kwa takribani siku kumi. Na Salma Abdul Kamanda wa polisi mkoa wa Tabora kamishna msaidizi Richard Abwao amesema kuwa tukio…
12 Agosti 2023, 10:03 mu
Polisi Iringa yakamata meno ya tembo, silaha
Na Frank Leonard Oparesheni zinazoendelea kufanywa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa, zimewezesha kukamata vipande saba vya meno ya tembo pamoja na silaha mbili zinazomilikiwa kinyume cha sheria. Akizungumza leo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi amesema…
4 Agosti 2023, 3:46 um
”Wananchi toeni taarifa za uhalifu kwasababu Polisi ni wachache” -D…
Wananchi wameombwa kufichua taarifa za wahalifu kufuatia kuwepo kwa idadi ndogo ya askari Polisi. Na Salma Abdul. Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto, Naibu Kamishna wa Polisi DCP Maria Nzuki ameomba ushirikiano wa wananchi katika kutoa taarifa za vitendo vya uhalifu kwa Jeshi la…
31 Julai 2023, 5:40 um
Geita kujenga vituo vya polisi kila kata kukabiliana na uhalifu
Bajeti zinazopitishwa na halmashauri ya wilaya ya Geita na Mji wa Geita zimetakiwa kuzingatia vipaumbele vya ujenzi wa vituo vya polisi kila kata wilayani humo ili kukabiliana na vitendo vya uvunjifu wa amani. Na Mrisho Sadick: Wilaya ya Geita imeweka…
25 Julai 2023, 5:26 um
Geita kuendelea kuwaenzi mashujaa kwa vitendo
Wananchi na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Geita wamejitokeza katika viwanja vya Mashujaa kuadhimisha kumbukumbu ya mashujaa waliojitoa maisha yao kwa ajili ya watanzania. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa mkoa wa Geita Mhe Martin Shigela amesema mkoa wa Geita utaendelea…
23 Julai 2023, 2:30 um
Wakumbwa na mshangao kijana kufariki kwa kuchomwa kisu
Matukio ya kiuhalifu na kujichukulia sheria mkononi yamekithiri katika baadhi ya mitaa mkoani Geita, jambo linalosababisha baadhi ya vifo kutokea, huku wananchi wakishindwa kutoa taarifa katika vyombo husika juu ya uhalifu huo. Na Zubeda Handrish- Geita Katika hali ya kusikitisha…
19 Julai 2023, 10:33 mu
Polisi kata hewa wachukuliwe hatua
Matukio ya uhalifu yakiwemo ya wizi na udokozi yameendelea kuwa changamoto katika baadhi ya mitaa na vijiji, jambo lililopelekea Kamanda Jongo kuwataka Polisi kata kuwajibika ipasavyo. Na Said Sindo- Geita Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Geita ACP Safia…