Ulemavu
23 Julai 2025, 12:35 um
Mwili wakutwa ukining’inia kwenye mkorosho Lindi
Omari Bakari Hidobelele (35), mkazi wa Madangwa, Lindi, amekutwa amejinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali. Polisi wamesema marehemu alikuwa na msongo wa mawazo. Familia imeshangazwa na tukio hilo, ikieleza kuwa hakuwa na matatizo yoyote. Polisi wamehimiza jamii kusaidia wenye changamoto…
4 Aprili 2025, 5:09 um
Jumuiya ya wazazi CCM Bunda yatembelea kituo cha watoto yatima St. Francis
Katika wiki ya wazazi jumuiya hiyo imefanya kazi mbalimbali kwenye jamii ikiwemo ufanyaji wa usafi katika maeneo mbalimbali, upandaji miti, kutembelea vituo vya afya. Na Adelinus Banenwa Jumuiya ya wazazi chama cha mapunduzi CCM wilaya ya Bunda kimepongeza kituo cha…
2 Aprili 2025, 6:49 um
Magala atahadharisha rushwa kuelekea uchaguzi
Amewataadharisha viongozi hao kuepuka watu wanaotaka nafasi za uongozi kwa kutumia rushwa. Na Adelinus Banenwa Katibu wa Elimu, malezi na Maadili jumuiya ya wazazi CCM Bunda ndugu Masau Magala ameitaka jamii kuzingatia kuzingatia suala la Maadili na kuepuka vitendo vya…
15 Machi 2025, 5:46 um
Bunda kuadhimisha miaka minne ya Rais Samia Machi 17
Miongoni mwa maeneo yatakayoangaziwa ni pamoja na sekta mbalimbali za serikali ikiwemo Maji, Umeme, Afya, Barabara pamoja na Elimu. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imewaomba wananchi wote kuudhuria maadhimisho ya miaka minne ya serikali ya awamu ya sita chini…
Febuari 5, 2025, 10:36 um
Ushetu yainidhisha bajeti ya shilingi bilioni 41.2
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio ya bajeti ya Shilingi bilioni 41.2 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Na Leokadia Andrew Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio…
23 Januari 2025, 6:36 um
Aliyekuwa mhasibu wa zahanati ya Endanachani afikishwa mahakamani
Aliyekuwa mhasibu msaidizi katika zahanati ya Endanachani wilayani Babati mkoani Manyara Mohamed Baya amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Babati na kusomewa mashtaka 52. Na Mzidalfa Zaid Aliyekuwa mhasibu msaidizi katika zahanati ya Endanachani wilayani Babati mkoani Manyara Mohamed Baya…
15 Januari 2025, 4:34 um
Huduma za Mawasiliano za zidi kuimalika Sengerema
Sengerema ni miongoni mwa Halmashauri zilizonufaika na mradi wa ujenzi minara ya mawasiliano 758 nchini, ambapo minara miwili imekamilika na kuanza kutoa huduma kwa wananchi Sengerema. Na;Elisha Magege Jamii imetakiwa kutunza na kuilinda miundombinu ya mawasiliano inayoendelea kujengwa ili kuimalisha…
3 Januari 2025, 2:33 um
Jafo aanika mafanikio ya Kisarawe
Moja ya mafanikio ni ujenzi wa shule nane za sekondari mpya na kuweka miundombinu mipya katika sekondari zote za zamani. Na Seleman Kodima.Mbunge wa Kisarawe ambaye ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo ameelezea mafanikio mbalimbali yaliyopatikana…
25 Oktoba 2024, 1:58 mu
CHADEMA waeleza kubaini udanganyifu zoezi la uandikishaji Geita mjini
Leo ni siku tano tangu kukamilika kwa zoezi la uandikishaji katika daftari la makazi kwaajili ya mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji unaotarajia kufanyika Novemba 27, 2024. Na: Edga Rwenduru – Geita Chama cha demokrasia na maendeleo…
4 Septemba 2024, 17:14
Wazazi waomba chakula shuleni kizingatie usafi
Ulaji wa chakula shuleni umeongeza ufaulu kwa wanafunzi wengi, hivyo wanafunzi wanapoandaliwa chakula inapaswa kuwepo na Mazingira ya usafi ili kuwaepusha na magonjwa ya tumbo ikiwemo kuhara. Na mwandishi wetu Baadhi ya wazazi na walezi jijini Mbeya wamewataka walimu kuwasimamia…