Ulemavu
12 Januari 2026, 12:50 um
Mil. 253 kuanzisha mashamba darasa 300 ya malisho nchini
“Kufuga mifugo siyo kufungo tunataka kuwaona wafugaji waone faida ya kuitwa mfugaji lazima sasa tutoke huko tuanze kufuga kwa tija ili waweze kuendesha maisha yao mazuri na familia zao ikiwemo elimu nzuri kwa watoto wao ,makazi mazuri .” Na,Daniel Manyanga …
9 Januari 2026, 12:11 um
Nyang’hwale yaendelea kuwa kinara uandikishaji wanafunzi
“Kimsingi zoezi la kuandikisha wanafunzi linaendelea hadi Marchi 31, 2026 kwa mujibu wa mwongozo wa serikali kupitia wizara ya elimu” – Mwalimu Mtweve Na: Ester Mabula Afisa elimu mkoa wa Geita Mwalimu Antony Mtweve amewahimiza wazazi na walezi kuendelea kujitokeza…
Januari 5, 2026, 6:39 um
Walimu wakuu, tehama Mbozi wapata mafunzo ya SIS
Ni mafunzo ya mfumo wa School Information System. Na Devi Moses JUMLA ya walimu 110 kutoka Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wameshiriki mafunzo ya matumizi ya mfumo wa School Information System (SIS) yaliyofanyika ukumbi wa Shule ya Sekondari Vwawa Day. Mafunzo hayo…
5 Januari 2026, 16:00 um
Jamii FM yatoa tuzo kwa wasikilizaji bora wa mwaka 2025
Jamii FM Redio imetangaza wasikilizaji na wachangiaji bora wa vipindi vyake kwa mwaka 2025. Washindi walichaguliwa na wasikilizaji kupitia SMS na kukabidhiwa tuzo katika hafla iliyofanyika katika studio za kituo hicho Na Musa Mtepa Jamii FM Redio imetangaza wasikilizaji na…
27 Disemba 2025, 4:57 mu
Afisa elimu Geita ahimiza wazazi kuendelea kuandikisha wanafunzi
“Kila mwaka zoezi la uandikishaji huanza mwezi Septemba na kukamilika tarehe 31, marchi ili kutoa nafasi kwa wazazi na walezi kuandikisha watoto wao” – Afisa elimu mkoa wa Geita Na: Ester Mabula Afisa elimu mkoa wa Geita Mwalimu Antony Mtweve…
9 Disemba 2025, 12:25 um
Jamii yahimizwa kuepuka hisia katika kutatua migogoro
Afisa wa TASA, imeitaka jamii kutenga muda wa kufikiria na kutoa maamuzi sahihi katika kutatua migogoro, ikisisitiza kuepuka hisia na kutoegemea upande wowote Na Musa Mtepa Jamii imetakiwa kutenga muda wa kufikiria, kuchakata na kutoa maamuzi sahihi katika kutatua migogoro…
11 Septemba 2025, 8:36 um
Wananchi wakaribishwa ‘Mara day’
Maadhimisho hayo ya 14 yanatarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 12 hadi Septemba 15, 2025, katika Viwanja vya Mwenge, Wilaya ya Butiama, mkoani Mara. Na Thomas Masalu Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, amewataka wananchi wa Mkoa wa Mara na…
9 Septemba 2025, 09:44
Mwenge wa uhuru kumulika miradi ya maendeleo Kasulu
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Isaac Mwakisu amesema mwenge wa uhuru utetembelea na kuweka jiwe la msingi katika miradi ya maendeleo utakapowasili Wilayani humo Na Hagai Ruyagila Wananchi wilayani ya Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika…
24 Julai 2025, 11:04 mu
Masanja ajitosa ubunge jimbo la Mpanda mjini kupitia CHAUMA
Masanja akiwa amekabidhiwa fomu ya kugombea ubunge. Picha na Benny Gadau “Jimbo la Mpanda mjini ni jimbo la wanamageuzi” Na Benny Gadau Kamishna wa kanda maalum ya magharibi wa Chama Cha Ukombozi wa Umma CHAUMA Masanja Musa Katambi amechukua fomu…
23 Julai 2025, 12:35 um
Mwili wakutwa ukining’inia kwenye mkorosho Lindi
Omari Bakari Hidobelele (35), mkazi wa Madangwa, Lindi, amekutwa amejinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali. Polisi wamesema marehemu alikuwa na msongo wa mawazo. Familia imeshangazwa na tukio hilo, ikieleza kuwa hakuwa na matatizo yoyote. Polisi wamehimiza jamii kusaidia wenye changamoto…