Radio Tadio

Ulemavu

15 March 2025, 5:46 pm

Bunda kuadhimisha miaka minne ya Rais Samia Machi 17

Miongoni mwa maeneo yatakayoangaziwa ni pamoja na sekta mbalimbali za serikali ikiwemo Maji, Umeme, Afya, Barabara pamoja na Elimu. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imewaomba wananchi wote kuudhuria maadhimisho ya miaka minne ya serikali ya awamu ya sita chini…

February 5, 2025, 10:36 pm

Ushetu yainidhisha bajeti ya shilingi bilioni 41.2

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio ya bajeti ya Shilingi bilioni 41.2 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Na Leokadia Andrew Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio…

23 January 2025, 6:36 pm

Aliyekuwa mhasibu wa zahanati ya Endanachani afikishwa mahakamani

Aliyekuwa mhasibu msaidizi katika zahanati ya Endanachani wilayani Babati mkoani Manyara Mohamed Baya amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Babati na kusomewa mashtaka 52. Na Mzidalfa Zaid Aliyekuwa mhasibu msaidizi katika zahanati ya Endanachani wilayani Babati mkoani Manyara Mohamed Baya…

15 January 2025, 4:34 pm

Huduma za Mawasiliano za zidi kuimalika Sengerema

Sengerema ni miongoni mwa Halmashauri zilizonufaika na mradi wa ujenzi minara ya mawasiliano 758 nchini, ambapo minara miwili imekamilika na kuanza kutoa huduma kwa wananchi Sengerema. Na;Elisha Magege Jamii imetakiwa kutunza na kuilinda miundombinu ya mawasiliano inayoendelea kujengwa ili kuimalisha…

3 January 2025, 2:33 pm

Jafo aanika mafanikio ya Kisarawe

Moja ya mafanikio ni ujenzi wa shule nane za sekondari mpya na kuweka miundombinu mipya katika sekondari zote za zamani. Na Seleman Kodima.Mbunge wa Kisarawe ambaye ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo ameelezea mafanikio mbalimbali yaliyopatikana…

4 September 2024, 17:14

Wazazi waomba chakula shuleni kizingatie usafi

Ulaji wa chakula shuleni umeongeza ufaulu kwa wanafunzi wengi, hivyo wanafunzi wanapoandaliwa chakula inapaswa kuwepo na Mazingira ya usafi ili kuwaepusha na magonjwa ya tumbo ikiwemo kuhara. Na mwandishi wetu Baadhi ya wazazi na walezi jijini Mbeya wamewataka walimu kuwasimamia…

6 December 2023, 8:27 pm

Jaccafo yafanya maadhimisho ya watu wenye ulemavu Maswa

Jamii wilayani Maswa imeaswa kuwafichua watoto wenye ulemavu waliofungiwa majumbani ili waweze kuzifikia ndoto zao kielimu, kiuchumi  na kijamii. Na Alex Sayi Shiriki lisilo la kiserikali la Juniors and Child Care Foundation (JACCAFO) limefanya maadhimisho ya siku ya walemavu Duniani…