Radio Tadio

Ulemavu

11 September 2025, 8:36 pm

Wananchi wakaribishwa ‘Mara day’

Maadhimisho hayo ya 14 yanatarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 12 hadi Septemba 15, 2025, katika Viwanja vya Mwenge, Wilaya ya Butiama, mkoani Mara. Na Thomas Masalu Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, amewataka wananchi wa Mkoa wa Mara na…

9 September 2025, 09:44

Mwenge wa uhuru kumulika miradi ya maendeleo Kasulu

Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Isaac Mwakisu amesema mwenge wa uhuru utetembelea na kuweka jiwe la msingi katika miradi ya maendeleo utakapowasili Wilayani humo Na Hagai Ruyagila Wananchi wilayani ya Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika…

23 July 2025, 12:35 pm

Mwili wakutwa ukining’inia kwenye mkorosho Lindi

Omari Bakari Hidobelele (35), mkazi wa Madangwa, Lindi, amekutwa amejinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali. Polisi wamesema marehemu alikuwa na msongo wa mawazo. Familia imeshangazwa na tukio hilo, ikieleza kuwa hakuwa na matatizo yoyote. Polisi wamehimiza jamii kusaidia wenye changamoto…

2 April 2025, 6:49 pm

Magala atahadharisha rushwa kuelekea uchaguzi

Amewataadharisha viongozi hao kuepuka watu wanaotaka nafasi za uongozi kwa kutumia rushwa. Na Adelinus Banenwa Katibu wa Elimu, malezi na Maadili jumuiya ya wazazi CCM Bunda ndugu Masau Magala ameitaka jamii kuzingatia kuzingatia suala la Maadili na kuepuka vitendo vya…

15 March 2025, 5:46 pm

Bunda kuadhimisha miaka minne ya Rais Samia Machi 17

Miongoni mwa maeneo yatakayoangaziwa ni pamoja na sekta mbalimbali za serikali ikiwemo Maji, Umeme, Afya, Barabara pamoja na Elimu. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imewaomba wananchi wote kuudhuria maadhimisho ya miaka minne ya serikali ya awamu ya sita chini…

February 5, 2025, 10:36 pm

Ushetu yainidhisha bajeti ya shilingi bilioni 41.2

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio ya bajeti ya Shilingi bilioni 41.2 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Na Leokadia Andrew Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio…

23 January 2025, 6:36 pm

Aliyekuwa mhasibu wa zahanati ya Endanachani afikishwa mahakamani

Aliyekuwa mhasibu msaidizi katika zahanati ya Endanachani wilayani Babati mkoani Manyara Mohamed Baya amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Babati na kusomewa mashtaka 52. Na Mzidalfa Zaid Aliyekuwa mhasibu msaidizi katika zahanati ya Endanachani wilayani Babati mkoani Manyara Mohamed Baya…

15 January 2025, 4:34 pm

Huduma za Mawasiliano za zidi kuimalika Sengerema

Sengerema ni miongoni mwa Halmashauri zilizonufaika na mradi wa ujenzi minara ya mawasiliano 758 nchini, ambapo minara miwili imekamilika na kuanza kutoa huduma kwa wananchi Sengerema. Na;Elisha Magege Jamii imetakiwa kutunza na kuilinda miundombinu ya mawasiliano inayoendelea kujengwa ili kuimalisha…