Radio Tadio

Uchumi

9 Machi 2023, 1:12 um

Watu wenye ulemavu washauriwa kuchangamkia mikopo ya halmashauri

KATAVI Watu Wenye ulemavu Mkoani Katavi  wameshauriwa  kuchangamkia fursa ya  mikopo ya asilimia mbili inayotolewa na serikali kupitia  halmashauri zote nchini. Katibu wa Chama cha watu wenye ulemavu Mkoa wa Katavi  Godfrey Sadala ameiambia Mpanda Radio kuwa watu wenye ulemavu…

9 Machi 2023, 12:45 um

Jamii yaaswa kuacha dhana potofu katika umiliki wa mali

KATAVI. Jamii mkoani Katavi imetakiwa kuondokana Na dhana potofu inayomkandamiza mwanamke kupata haki ya kumiliki mali, na badala yake kuwapa haki hiyo kama ilivyo kwa wanaume. Wakizungumza Na mpanda redio fm baadhi ya wanawake mkoani hapa, wameeleza kuwa bado jamii…

30 Januari 2023, 7:00 mu

Shirika la ndege la KLM laiomba Radhi Tanzania

Shirika la ndege la KLM limetoa ufafanuzi na kuomba radhi juu ya kusitisha safari zake za ndege kuja Tanzania pamoja na kutoa taarifa ya uwepo wa machafuko Nchini. Kupitia barua ya Meneja wa Air France-KLM Tanzania, kwa Waziri wa Ujenzi…

22 Januari 2023, 10:45 mu

Uzalishaji wa sukari umeongezeka hapa Nchini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amesema kuwa uzalishaji wa sukari nchini umeongezeka hadi kufikia zaidi ya tani 70,000 na kufanya kuwa na zaidi ya tani 160,000 kwenye maghala katika kipindi cha 2022 /2023…

6 Januari 2023, 4:55 um

Maumivu kwa jamii bei za vyakula zikizidi kupaa

Shirika la Chakula Duniani, FAO, limesema bei za vyakula duniani zilipungua mwezi Desemba na kuashiria kushuka kwa mwezi wa tisa mfululizo, ingawa zilifikia kiwango cha juu zaidi katika rekodi ya mwaka mzima wa 2022. Faharasa ya bei ya chakula ya…

1 Disemba 2022, 5:05 mu

Serikali iingilie kati kipindi cha mauzo ya Pamba

TANGANYIKA Wakulima wa pamba wilayani Tanganyika Mkoa wa Katavi wameiomba serikali kipindi cha mauzo ya pamba kuingilia kati na kusimamia zoezi ili kuepusha sintofahamu ambayo huwa inajitokeza kwa baadhi ya maeneo watu kutokulipwa stahiki Zao. Maombi hayo wameyatoa wakati wa…