Radio Tadio

Mazingira

5 Juni 2025, 5:46 um

Lishe bora kinga ya ugonjwa wa macho kwa watoto

Mratibu wa huduma ya macho dokta Japhet Chomba. Picha na Anna Mhina “Tunaomba tupewe elimu ya lishe bora” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali iwape elimu ya kuwakinga watoto na…

26 Mei 2025, 16:03

Wanaume ni vichwa na viongozi kuweni kielezo cha kanisa Kasulu

“Wanapokutana wanaume wakatoliki na kufanya hafla mbali mbali ni moja ya kuendelea kujenga  umoja  ikiwemo  kutiana moyo katika kuendelea kushiriki matendo ya huruma kwa kuwatunza wahitaji wenye shida mbalimbali” Na Mwandishi wetu Wanaume wa kanisa katoliki parokia ya mrubona jimbo…

6 Machi 2025, 09:40

Waamini wapewa mbinu kufanikisha malengo yao

Waumini wa Dini ya Kikristo Mkoani Kigoma Wametakiwa kumtegemea Mungu pasipo kukata tamaa ili kutimiza malengo yao waliyojiwekea katika maisha yao. Na, Hagai Ruyagila Kauli hiyo imetolewa na askofu mkuu wa kanisa la FPCT Tanzania Askofu Steven Mulenga wakati wa…

28 Disemba 2024, 20:45 um

DC Mwaipaya azindua rasmi Msangamkuu Beach festival

Msangamkuu Beach festival hii awamu ya nne ya tamasha hili ambapo dhamira ya tamasha hili ni kutangaza utalii wa fukwe na vivutio vilivyopo katika mkoa wa Mtwara Na Musa Mtepa Mkuu wa wilaya ya Mtwara, Mhe. Abdala Mwaipaya, leo Desemba…

6 Disemba 2024, 8:33 um

Uhuru wa kujieleza na haki za wanawake

Changamoto za wanawake kutoaminiana na jamii kushindwa kumuamini mwanamke bado ni kikwazo kwa wanawake wengi kushindwa kupata nafasi ya kujieleza kikamilifu kwenye jamii Hayo yameelezwa na Rebecca Gibore katika kipindi cha radio mazingira fm kilichokuwa bna mada isemayo uhuru wa…

5 Disemba 2024, 9:53 mu

‘Hoja za wenye ulemavu zisikilizwe’

Katiba ya Tanzania imetoa uhuru wa watu kujieleza lakini changamoto kubwa kwa watu wenye ulemavu ni hoja zao na mawazo yao kutopewa nguvu katika jamii. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa mapokeo hafifu ya hoja zinazotolewa na watu wenye ulemavu ni…