Mazingira
11/04/2023, 13:00
Serikali yapiga marufuku matumizi ya vifungashio vya plastiki
Na Fred Cheti. Serikali hivi karibuni ilipiga marufuku matumizi yasiyo sahihi ya mifuko laini ya plastiki kutumika kama vibebeo vya bidhaa huku jambo hilo likitajwa kuwa ni ukiukwaji wa sheria ambapo imeahidi kuwachukulia hatua wanaofanya hivyo Baada ya tamko hilo…
06/04/2023, 17:21
Wawekezaji Mundemu wapewa siku 45 kudhibiti vumbi
Hivi karibuni Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)- Kanda ya Kati kwa kushirikiana na Ofisi ya Afisa Madini Mkazi – Dodoma na Ofisi ya Mkurugenzi wa Wilaya ya Bahi ilifanya Ukaguzi katika eneo la mradi huo.…
05/04/2023, 17:16
Ishi na mti kauli njema ya kutunza mazingira
Kampeni ya ISHI NA MTI ni kampeni iliyoanzishwa na Kampuni ya Dodoma Media Group kwa lengo la kuunga mkono juhudi za serikali katika utunzaji wa Mazingira hasa upandaji wa miti katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dodoma. Na Fred Cheti.…
04/04/2023, 18:18
Taka ngumu zageuka ajira na kipato
Hapa nchini pia hatua mbalimbali zimekua zikichukuliwa na serikali katika kuyahifadhi mazingira. Na Fred Cheti. Uhifadhi wa mazingira unatajwa kuwa ni moja ya hatua muhimu kutokana na kuwa rasilimali ardhi pamoja na kua nguzo kuu katika maendeleo ya nchi mbalimbali…
03/04/2023, 17:43
Serikali yendelea kuhamasisha utunzaji wa mazingira
Serikali kwa kushirikiana na wadau wengine wa mazingira imekuwa ikiiendeleea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa utunzaji wa mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Na Fred Cheti. Serikali imekuwa ikihamasisha makundi mbalimbali katika jamii kushiriki katika utunzaji wa…
29 Machi 2023, 8:05 um
Mwanakijiji asalimisha silaha aina ya Gobole kwa Mhifadhi wa Ruaha
Elimu ya Uhifadhi inayotolewa na wahifadhi katika maeneo yanayozunguka hifadhi ya taifa ya Ruaha imesaidia wananchi kusalimisha silaha wanazotumia kufanya ujangili. Na Vitor Meena Hifadhi ya Taifa ya Ruaha Mkoani Iringa, imeendelea na ziara ya kuzungukia Vijiji vinavyozunguka hifadhi hiyo…
20 Machi 2023, 5:05 um
Miti yapandwa kituo cha afya Kazima
KATAVI Wanawake wa kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania [KKKT ]na Wanawake wakatoliki wa Tanzania [WAWATA]jimbo la Mpanda wameeleza umuhimu wa utunzaji mazingira ikiwa ni pamoja na upandaji wa miti. Wameyasema hayo wakati wa zoezi la upandaji miti ambalo limefanywa…
14/03/2023, 16:21
Katika juhudi za kukijanisha Dodoma RC Senyamule aongoza wananchi kupanda miti
Kuuendeleza juhudi za kuukijanisha Mkoa wa Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule leo ameongoza wazazi,waalimu na wanafunzi wa shule ya Msingi Chang’ombe B kupanda miti. Na Fred Cheti. Katika kuuendeleza juhudi za kuukijanisha Mkoa wa Dodoma Mkuu…
03/03/2023, 14:05
Wananchi watumie kumbukizi ya siku zao za kuzaliwa kupanda miti
Hatua hii inatoa tafsiri ya moja kwa moja na kuhitaji uhamasishaji wa pamoja wakufikia azma serikali ya Lengo la kupanda miti 5,075,000, katika kipindi cha miaka minne. Na Selemani Kodima Wito umetolewa kwa wananchi jijini Dodoma kutumia kumbukizi ya siku…
22 Febuari 2023, 6:28 um
Sheria ya Mita 60 Bado Changamoto
MPANDA Utekelezaji wa sheria ya kutofanya shughuli za kibinaadamu ndani ya mita 60 kutoka mtoni umekuwa bado una changamoto kwa wakazi wanaoishi karibu na maeneo ya mito licha ya msisitizo kuhusu sheria hiyo. Baadhi ya wakazi wanaoishi kuzunguka mto Mpanda…